Undava King
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,422
- 5,659
- Thread starter
- #2,861
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787]Bora ya taira kuliko mtu aliyepewa mimba na kichaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787]Bora ya taira kuliko mtu aliyepewa mimba na kichaa.
Ebo! Mtoto wakiume michambo achia dada zako, ebu leta tupicha twa hosteli na lecture rooms za SAUT dizain nimemiss kucheka chuo kama sekondari ya kata ya shamaliwa.Hivi ndio vinini? Tatizo la watu kufika mjini wakiwa wanaelekea kustaafu.
Kuna mtu anaweza kuumizwa na jiji la ovyo kama Mwanza lenye ndoto ambayo haitokaa itimie ya siku moja kuja kuwa na lami kali mitaani za njia nne zaidi ya moja kama Dodoma, viwanja vya kisasa vya ndege,gardens, stadiums, Arena, malls, stendi,vyuo vikuu, viwanda,cities ndani ya city, makazi bora na ya kisasa, planned infrastructure and superstructure, SGR, mahoteli ya kisasa, real estates zakutosha, masoko, maghorofa kila kona yanayochomoza, hospitali za kisasa, brt,reli za umeme za mjini, nakadhalika nakadhalika..Hivi huwa unahumia na Mwanza ukiwa wapi? Kila mada zako lazima uitaje Mwanza.
Huwa sibishani na vichaa, huna fact, huna data, hujui lolote kazi kubwabwaja tu, hicho kipori kilichochomoza kipindi cha mwenda zake kakishindanishe na kigoma ujiji.Kuna mtu anaweza kuumizwa na jiji la ovyo kama Mwanza lenye ndoto ambayo haitokaa itimie ya siku moja kuja kuwa na lami kali mitaani za njia nne zaidi ya moja kama Dodoma, viwanja vya kisasa vya ndege,gardens, stadiums, Arena, malls, stendi,vyuo vikuu, viwanda,cities ndani ya city, makazi bora na ya kisasa, planned infrastructure and superstructure, SGR, mahoteli ya kisasa, real estates zakutosha, masoko, maghorofa kila kona yanayochomoza, hospitali za kisasa, brt,reli za umeme za mjini, nakadhalika nakadhalika..
Mwanza kashindane huko na kisumu miji ya uvuvi ambayo haijaendelea muwe na ndoto moja ya kujenga mitumbwi mikubwa ya uvuvi ndio ligi yenu.
Punguza mihemko na chuki leta fact, ni kitu gani kinachovutia mtu kuwekeza dodoma kuliko Mwanza, hilo jiji la dodoma linavyoharibu pesa za serikali lakini hakuna mabadiliko ya kutisha miji mingine, je hizo ngivu wangewekeza ata singida hakika singida ingekuwa kama capetown, serikali inatumia nguvu kubwa sana hapo lakini hakuna mtu anayetaka kuishi hapo.
Kaka ww unaongelea Dodoma ipi, nimejarbu kufafanua kidogo hapo juu post no: #2864 Dodoma haikui tena zaidi ya hapo kasi imepungua maana serikari tayari imeshafanya kwa uwezo wake, Majengo ya Wizara tayari yamejengwa Mtumba, Ikuru tayari imekamilika, Maofisi 90% yote yamejengwa Polisi tayari, Jeshi tayari wamejenga Kikombo, TMDA wamejenga jirani na Martin Luthur, Takukuru ipo mkabara na uwanja wa ndege jirani na Kazimoto mapikipikiWe ndio una chuki nani kasema Dodoma haibadiliki mpaka ifananishwe na vimiji kama Mwanza, pili uwekezaji ni dhana pana unaweza kuwa na vigezo vingi cha ajabu mwenzako bado akakupiga bao vilevile, wakawa kwako wanakuja kuchimba dhahabu,kununua Sato kwa kuwa ni kijijini na raw material ni nyingi ila kuspendi wanakuja mjini, kuwekeza kwenye uchumi wa viwanda, miundombinu, real estate n.k
Jibu ni kuwa Dodoma imeimarika zaidi kimiundombinu, inazidi kukua kwa kasi ikiwa na future population yenye kipato cha kati kwa wingi, geographical advantage ya kuwa kitovu cha nchi kwa maana ya katikati ya nchi na kiunganishi cha mikoa yote kunaifanya kuchangamka,kuwa na movement kubwa ya watu na goods, kuongezeka kwa shughuli za kudumu za serikali na spendings,uwekezaji endelevu katika sekta ya makazi na majengo ya kibiashara, viwanda,vyuo vikuu,biashara za huduma na bidhaa, usafirishaji wa anga, reli na barabara, bandari kavu, mazao ya kibiashara kama zabibu, karanga, alizeti, na soko kubwa la ndani lenye buying power n.k Kunaipa sifa zaidi ya kuvutia uwekezaji kuliko unavyodhani na ndiyo maana kila siku gepu linazidi kuwa kubwa kati yenu wavuvi na jiji la kisasa.
Wew umemaliza Kila kituPian
Kaka ww unaongelea Dodoma ipi, nimejarbu kufafanua kidogo hapo juu post no: #2864 Dodoma haikui tena zaidi ya hapo kasi imepungua maana serikari tayari imeshafanya kwa uwezo wake, Majengo ya Wizara tayari yamejengwa Mtumba, Ikuru tayari imekamilika, Maofisi 90% yote yamejengwa Polisi tayari, Jeshi tayari wamejenga Kikombo, TMDA wamejenga jirani na Martin Luthur, Takukuru ipo mkabara na uwanja wa ndege jirani na Kazimoto mapikipiki
Ofisi ya waziri mkuu ipo tayari nyuma ya jengo la ukumbi wa Jakaya, Benki kuu tayari, TANROAD, NEC nk zimebaki ofisi chache sana, unaweza kuniambia n mfanyakazi gani hajahamia bado Dodoma? Hapo Dodoma ilipo wote ambao serikari ilitaka wahamie wameshahamia na bado kuna nyumba hazina watu
Haya niambie ni mwekezaji gani kawekeza Dodoma uwekezaji mkubwa au kuna kiwanda gani tofauti na vile vya kukata mabati pale 4 ways kwenda nala? Sema kiwanda gani kipo Dodoma !!?
Hapa tunasubiri ring road tu kazi kwisha, et Mwanza wana kuja kufuata madini tu bata wanalia mjini,,,,, hivi una akili wewe Dodoma kuna kiwanja gani pale? Lkn naweza nisikushangae sana maana wenyeji wa Dodoma ni wagogo na wagogo hawatembei huwezi mkuta Mgogo kajichanganya miji ya watu
Mim nimesoma pale mipango ,,Hadi 2021 ,,,sifa zinazoongelewa humu kuhusu dodoma Kwa anayeijua anaweza Baki kucheka tu ,,watu ambao hawajafika kule ndo wanaotusumbua humu [emoji28]Ngoja na mimi nichangie kidogo hapa;
Mm nipo Dodoma toka 2017, Dom ilikuwa na watu wengi sana mda huo nyumba nyingi sana zimejengwa, Ilazo, Swaswa, Nzuguni, Meriwa, Kisasa, Iyumbu, Mkonze pia Michese (hii ni mitaa mipya kabisa tulioijenga sisi, ikumbukwe mm n mkandarasi)
Kabla ya hapo mitaa iliyokuwa na watu ilikuwa ni Nkuhungu, Maili 1 & 2, Majengo, Changombe(kwa warangi), kuna mtaa umenitoka ila ni karibu na CBE zilipo ofisi za mapasi naona siku hiz uongozi wa mji wamevunja wanampango wa kuweka bustani, pia kulikuwa na vijumba kidogo juu ya station ya TRC kama unaenda Ntyuka mitaa ya Pestana
Ipo hivi Dodoma imejenga sana kuliko Mwanza kwa kipindi hiki hakuna ubishi, maana mitaa niliyotaja hapo mwanzo yote ni mipya, changamoto ni moja tu hiyo mitaa mpya haina watu, utakuta nyumba moja wanaishi watu wanne tu, yaani familia ya baba mama mtoto na beki tatu
Na ndio maana hata upande wa usafiri Dom ni changamoto sana, Dom hakuna daladala za kutosha nadhani hii ni sababu ya uchache wa watu thats why daladala zote za Dom zinaishia sehemu moja na zinatosha (sabasaba) na zingine kidogo Majengo, My friend Mwanza hakuna eneo unaweza kuweka daladala za mji mzima sehemu moja zikatosha
Pia hapo hapo kwenye usafiri Dom ina root chache sana za daladala naweza kuziweka hapa, Nane nane - 77, Mipango-77, Ntyuka-77, Kwa massta (Nzugun)-77, Nkuhungu-77, Chan'gombe-77, Swaswa-77, Msalato-77,
pia kuna kidogo zinaishia majengo ambazo ni Mnada mpya- Majengo, Mkonze-Majengo pia. zipo daladala kama mbili au tatu zinajaribu kwenda Michese, unaweza nikumbusha nimesahau root ipi ya daradara hapo mkuu
Wakati huo huo mtu anaetoka Nanenane kwenda Chang'ombe kwa mfano hawezi kupata root ya moja kwa moja ni lazima aingie sabasaba achukue daladala lingine aendelee na safari, kuna sehemu kama Kikuyu hakuna daladala kabisa ni mwendo wa bajaji , njoo Kisasa anzia hapo Kwa mnama njoo mpka La Liga zunguka hiyo ring road Kisasa sekondari, Amazon ingia ndani ndani kote hakuna usafiri
Kufikia hatua mnaiongelea Mwanza najua mtakuwa mmeshafika mnapajua vizuri mm sitaki kueleza maana ndio nyumbani mnaweza kusema ni sehem gan kwa Mwanza pamoja na kuwa jiografia yake ni milima ni sehemu gani unaweza unga dalala ukiitoa Nyashana?( kwa ambao mnaiponda tu Mwanza kwa kusikia mnakosea sana) Mm mji yote Tz naijua
Tafuteni mafundi ujenzi au watu waliopo kwenye sekta ya ujenzi muulize kuhusu kasi ya ujenzi ilivyo Dom sasa hivi mtajua kuwa Dom pia imeanza kwenda taratibu,, ni tofauti sana na ilivyokuwa before na sababu ni kuwa nyumba zimekuwa nyingi lkn hazina watu, (maana Dom nyumba wanajengewa wageni na tayari wameshapata, wenyeji wapo wapo tu)
Nenda Kisasa, Swawa, Ilazo kote 30% ya nyumba hazina watu, na hapa nishauri tu uwekezaji wa real estate unaenda kudorora Dom, watu wamejenga lakini hakuna wapangaji Dom haina watu, mfano Dodoma soko la maana lenye watu lipo moja tu (sabasaba) na limebeba bidhaa zote japokuwa majengo kidogo inavyakula, ikitoka city center ya Dom center ndogo ndogo kama Buzuruga, Mecco, Nyakato, Kona ya Bwiru, Buhongwa, Nyegezi, Sabasaba(mbao), Nyasaka nk kwa Mwanza Dom huzikuti na hata ukizikuta ni ndogo sana kama Makuru, Meriwa, Kwa mnama
Maanake ni kwamba mjasiriamali mdogo wa genge la matunda na mboga mboga wa Mwanza kama yupo Buzuruga anachukulia bidhaa zake Mecco sokon kama yupo Buhongwa anachukulia hapo hapo Buhongwa ila Dom wote wanaenda Sabasaba mpaka mtu wa Chamwino anahemea sabasaba
Dodoma majengo marefu yaliyokamilika mpaka sasa ni matatu tu (Kambarage, PSSSF na Dom city hotel kwingine kote ni vijengo vya ghorofa tano kushuka chini
Ukubwa wa mji Dom inaanzia Nala upande wa magharibi, Mkonze na Ntyuka Kusini magharibi, Ng'ong'ona, UDOM, Iyumbu upande wa Kusini mashariki, Nane nane, Ilazo upande wa magharibi (hapa Ihumya naitoa maana hapo katikati Elishadai na St Peters kuna kipori, Chama Msalato na Mipango upande wa kasikazini hapo Dom ndio ilipo Mtumba ipo nje sana na katikati kuna eneo kubwa sana la wazi tunaitoa japo ipo nda ya halmashauri
Dom nimeifahamu yote ndan ya wiki moja na hakuna sehem unanidanganya,,,,, oyaaaaa eeeeeh? Njoo Mwanza sasa!!!
Kiukwel huwaga naumia sana kusikia mtu anaiongelea Mwanza na Dom, Mwanza ina manispaa mbili ndan ya mji (Ilemela na Nyamagana) Dom haina, Mwanza imekuwa jiji rasmi awamu ya tatu 2002 Dom ikawa 2017
Nyakato kuna viwanda vya kila aina Nondo, Soda(koka na peps zinatoka ndan ya mji) wakati Dom zinatoka Dar, Bia SBT na TBL wanafyatua ndani ya mji, idadi ya hotels root za safari za ndege ATCL na Procision Mwanza ina safari nyingi kuliko mji wowote ukiitoa Dar, Reli ya mwendokasi Dom hakuna fly over hakuna kote wameweka kifusi, Mwanza Fly Over ipo hakuna kifusi
Duh! Nyie endeleeen kuifananisha Mwanza na KiDodoma chenu, kuna jamaa amewahi kuniambia Dom kuna nyumba za kishua nikazitafuta Area D, Mlimwa C sikuziona kidogoooooo nikazikuta Michese zenye za ghorofa moja moja, nikamuuliza unaijua Kapripoint wewe, Bwiru kupata kiwanja tu mil 150 na kuendelea hapo bado hujavunja mawe maana unanunua mlima wenye mawe uvunje mwenyewe ndio kiwe kiwanja na kuvunja tu inagharimu mil 100 zingine ndio uanze kujenga hapo tayari mil 200 na kitu zimetumika huna hata msingi
Hivyo ulivyosema Mwanza tulikuwa navyo toka enzi hizo, Dodomd inatuzidi bunge, na maofisi ya kiserikali tu, njia za anga Mwanza route ni third busiest, tukija kwwnye sector, za kilimo, madini, usafirishaji, na njia za maji sioni kama Dodoma itakuja kuizidi Mwanza, na toka dodoma iwe makao makuu ya nchi ndio inaendelea kuwa maskini zaidi ni mkoa maskini namba mbili hapa Tanzania, kujengwa kwa dodoma kunawadidimiza watu wenye kipato cja chini, na mji unajengwa lakini hazina wapangaji na nyumba zipo empty jiulize kwanini?We ndio una chuki nani kasema Dodoma haibadiliki mpaka ifananishwe na vimiji kama Mwanza, pili uwekezaji ni dhana pana unaweza kuwa na vigezo vingi cha ajabu mwenzako bado akakupiga bao vilevile, wakawa kwako wanakuja kuchimba dhahabu,kununua Sato kwa kuwa ni kijijini na raw material ni nyingi ila kuspendi wanakuja mjini, kuwekeza kwenye uchumi wa viwanda, miundombinu, real estate n.k
Jibu ni kuwa Dodoma imeimarika zaidi kimiundombinu, inazidi kukua kwa kasi ikiwa na future population yenye kipato cha kati kwa wingi, geographical advantage ya kuwa kitovu cha nchi kwa maana ya katikati ya nchi na kiunganishi cha mikoa yote kunaifanya kuchangamka,kuwa na movement kubwa ya watu na goods, kuongezeka kwa shughuli za kudumu za serikali na spendings,uwekezaji endelevu katika sekta ya makazi na majengo ya kibiashara, viwanda,vyuo vikuu,biashara za huduma na bidhaa, usafirishaji wa anga, reli na barabara, bandari kavu, mazao ya kibiashara kama zabibu, karanga, alizeti, na soko kubwa la ndani lenye buying power n.k Kunaipa sifa zaidi ya kuvutia uwekezaji kuliko unavyodhani na ndiyo maana kila siku gepu linazidi kuwa kubwa kati yenu wavuvi na jiji la kisasa.
Fact mkuu.Pian
Kaka ww unaongelea Dodoma ipi, nimejarbu kufafanua kidogo hapo juu post no: #2864 Dodoma haikui tena zaidi ya hapo kasi imepungua maana serikari tayari imeshafanya kwa uwezo wake, Majengo ya Wizara tayari yamejengwa Mtumba, Ikuru tayari imekamilika, Maofisi 90% yote yamejengwa Polisi tayari, Jeshi tayari wamejenga Kikombo, TMDA wamejenga jirani na Martin Luthur, Takukuru ipo mkabara na uwanja wa ndege jirani na Kazimoto mapikipiki
Ofisi ya waziri mkuu ipo tayari nyuma ya jengo la ukumbi wa Jakaya, Benki kuu tayari, TANROAD, NEC nk zimebaki ofisi chache sana, unaweza kuniambia n mfanyakazi gani hajahamia bado Dodoma? Hapo Dodoma ilipo wote ambao serikari ilitaka wahamie wameshahamia na bado kuna nyumba hazina watu
Haya niambie ni mwekezaji gani kawekeza Dodoma uwekezaji mkubwa au kuna kiwanda gani tofauti na vile vya kukata mabati pale 4 ways kwenda nala? Sema kiwanda gani kipo Dodoma !!?
Hapa tunasubiri ring road tu kazi kwisha, et Mwanza wana kuja kufuata madini tu bata wanalia mjini,,,,, hivi una akili wewe Dodoma kuna kiwanja gani pale? Lkn naweza nisikushangae sana maana wenyeji wa Dodoma ni wagogo na wagogo hawatembei huwezi mkuta Mgogo kajichanganya miji ya watu
Nimecheka sana nilivyosoma jinsi anavyolidharau daraja halafu mtu mwenyewe wa Dodoma.Hawa tuwaonee huruma tu,maana hali ya hewa kwao ni adhabu tosha kabla hata hawajaanza kuhangaika na maendeleo ya Mwanza.
Umepiga UppercutPian
Kaka ww unaongelea Dodoma ipi, nimejarbu kufafanua kidogo hapo juu post no: #2864 Dodoma haikui tena zaidi ya hapo kasi imepungua maana serikari tayari imeshafanya kwa uwezo wake, Majengo ya Wizara tayari yamejengwa Mtumba, Ikuru tayari imekamilika, Maofisi 90% yote yamejengwa Polisi tayari, Jeshi tayari wamejenga Kikombo, TMDA wamejenga jirani na Martin Luthur, Takukuru ipo mkabara na uwanja wa ndege jirani na Kazimoto mapikipiki
Ofisi ya waziri mkuu ipo tayari nyuma ya jengo la ukumbi wa Jakaya, Benki kuu tayari, TANROAD, NEC nk zimebaki ofisi chache sana, unaweza kuniambia n mfanyakazi gani hajahamia bado Dodoma? Hapo Dodoma ilipo wote ambao serikari ilitaka wahamie wameshahamia na bado kuna nyumba hazina watu
Haya niambie ni mwekezaji gani kawekeza Dodoma uwekezaji mkubwa au kuna kiwanda gani tofauti na vile vya kukata mabati pale 4 ways kwenda nala? Sema kiwanda gani kipo Dodoma !!?
Hapa tunasubiri ring road tu kazi kwisha, et Mwanza wana kuja kufuata madini tu bata wanalia mjini,,,,, hivi una akili wewe Dodoma kuna kiwanja gani pale? Lkn naweza nisikushangae sana maana wenyeji wa Dodoma ni wagogo na wagogo hawatembei huwezi mkuta Mgogo kajichanganya miji ya watu
Kuhusu dodoma,,wewe umemaliza kazi ,,,,atakayekubishia ni fala .[emoji91][emoji91][emoji91][emoji120]Mliopo Dodoma tafuteni mafundi ujenzi au yeyote anaejihusisha na masuala ya ujenzi muulize kuhusu kasi ya ujenzi Dom, mm nina mafundi niliwatoa Dar, Mwanza na Arusha sasa hivi 60% wamesharudi makwao kazi hakuna watu hawajengi tena kwa kasi ile ya 2017, baadhi ya wasiojua wanamweka Dr Samia hapa eti wafanyakazi wamerudi Dar
Mnaweza kutuambia ni nani karudi Dar? Maana hata Mtumba JPM kaondoka kuna ghorofa mbili tu ya TARURA na TAMISEMI, zile ghorofa zote zimeanza kujengwa na mama hebu jaribu kufikiria katikati ya mji Dom bado ina viwanja kutoka Morena ukiwa unatembea kuelekea CBE hapo kati kuna kipori, Makole yote ile ipo wazi, Kiwanja cha kula bata maarufu ni kimoja tu kilichopo pale Emausi karibu na jengo la GSM Capital city mall nimesahau jina lake
Tunavyoongea mda huu nipo Mwanza naona tofauti kabisa hapa Mwanza mda huu majengo ndio yanaamuka na sio serikali ni watu binafsi, hivi mnajua kama Makoroboi kuna mzigo wa ghorofa 33 kwenda juu unajengwa
Uwekezaji wa Mwanza ni wa sekta binafsi kwa kiasi kikubwa na sababu ni uwepo wa fursa nyingi za biashara mfano uvuvi, madini, kilimo nk, mnaweza kutuambia Dom zaidi ya uwekezaji wa real estate kwa ajiri ya wafanuakazi wa serikali ambao nao tayari wameshajitosheleza ni nn kinhine mwekezaji anaweza kufanya Dom?
Hebu angalia huu uwekezaji kwa Mwanza,,
Afya Mwanza ina mahospitali mengi zaidi ya private kuliko Dodoma Uhuru hospital, Agha Khan, Bugando, kuna moja ipo kona ya bwiru na sasa hivi wanajenga jengo kubwa la ghorofa 9 lipo mtaa wa Ghana jirani na Olympic
Benki ngoja nitaje tu zilizopo Mwanza ambazo Dom hazipo Standard Chaterd, KCB,, Stanbic
Viwanda, Pepsi Kolakola, TBL, SBT hapa nitaje hivyo tu lkn najua mnaijua vizuri Nyakato Industry Area maana kufikia mnaiongelea Mwanza mmeshafika
Usafiri Dom ina kampuni za mabasi kama nne au tano tu kubwa Kimbinyiko, Shabib, Satco, na wengine wengine wadogo kina Brightline wenye vigari viwili viwili,, unataka nitaje kampuni za Mwanza???? ,[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Hivi mnaijua Rwagasore nyie kuhusu maduka makubwa ,,, kuna siku nilipata tenda ya kufanya finishing Dom mitaa ya Chadulu jirani na Pestana Pup kawaida yangu natumia rangi za master nilishaangaa Dom yote muuzaji ni mmoja tu Abuu Marangi na ndo mfanyabiashara mkubwa akifuatiwa na Ngozi
Hivi mnapataga ujasiri wapi wa kuifananisha Dom na jiji la Miamba?
Idadi ya watu kwa mjibu wa Sensa ya watu na makazi Dom yote kama mkoa inazidiwa watu na Tabora
Ngosha mashine nakuita.Kuwapanga machinga Mwanza ni ngoma nzito mpaka sasa bado hakijaeleweka wakati Dom ilifanyika siku moja tu na Tz nzima waliachwa ndio wakapangwa mwishoni kabisa
Umemaliza kila kituMliopo Dodoma tafuteni mafundi ujenzi au yeyote anaejihusisha na masuala ya ujenzi muulize kuhusu kasi ya ujenzi Dom, mm nina mafundi niliwatoa Dar, Mwanza na Arusha sasa hivi 60% wamesharudi makwao kazi hakuna watu hawajengi tena kwa kasi ile ya 2017, baadhi ya wasiojua wanamweka Dr Samia hapa eti wafanyakazi wamerudi Dar
Mnaweza kutuambia ni nani karudi Dar? Maana hata Mtumba JPM kaondoka kuna ghorofa mbili tu ya TARURA na TAMISEMI, zile ghorofa zote zimeanza kujengwa na mama hebu jaribu kufikiria katikati ya mji Dom bado ina viwanja kutoka Morena ukiwa unatembea kuelekea CBE hapo kati kuna kipori, Makole yote ile ipo wazi, Kiwanja cha kula bata maarufu ni kimoja tu kilichopo pale Emausi karibu na jengo la GSM Capital city mall nimesahau jina lake
Tunavyoongea mda huu nipo Mwanza naona tofauti kabisa hapa Mwanza mda huu majengo ndio yanaamuka na sio serikali ni watu binafsi, hivi mnajua kama Makoroboi kuna mzigo wa ghorofa 33 kwenda juu unajengwa
Uwekezaji wa Mwanza ni wa sekta binafsi kwa kiasi kikubwa na sababu ni uwepo wa fursa nyingi za biashara mfano uvuvi, madini, kilimo nk, mnaweza kutuambia Dom zaidi ya uwekezaji wa real estate kwa ajiri ya wafanuakazi wa serikali ambao nao tayari wameshajitosheleza ni nn kinhine mwekezaji anaweza kufanya Dom?
Hebu angalia huu uwekezaji kwa Mwanza,,
Afya Mwanza ina mahospitali mengi zaidi ya private kuliko Dodoma Uhuru hospital, Agha Khan, Bugando, kuna moja ipo kona ya bwiru na sasa hivi wanajenga jengo kubwa la ghorofa 9 lipo mtaa wa Ghana jirani na Olympic
Benki ngoja nitaje tu zilizopo Mwanza ambazo Dom hazipo Standard Chaterd, KCB,, Stanbic
Viwanda, Pepsi Kolakola, TBL, SBT hapa nitaje hivyo tu lkn najua mnaijua vizuri Nyakato Industry Area maana kufikia mnaiongelea Mwanza mmeshafika
Usafiri Dom ina kampuni za mabasi kama nne au tano tu kubwa Kimbinyiko, Shabib, Satco, na wengine wengine wadogo kina Brightline wenye vigari viwili viwili,, unataka nitaje kampuni za Mwanza???? ,😎😎😎😎
Hivi mnaijua Rwagasore nyie kuhusu maduka makubwa ,,, kuna siku nilipata tenda ya kufanya finishing Dom mitaa ya Chadulu jirani na Pestana Pup kawaida yangu natumia rangi za master nilishaangaa Dom yote muuzaji ni mmoja tu Abuu Marangi na ndo mfanyabiashara mkubwa akifuatiwa na Ngozi
Hivi mnapataga ujasiri wapi wa kuifananisha Dom na jiji la Miamba?
Idadi ya watu kwa mjibu wa Sensa ya watu na makazi Dom yote kama mkoa inazidiwa watu na Tabora
Niongezee kwenye benk .Mliopo Dodoma tafuteni mafundi ujenzi au yeyote anaejihusisha na masuala ya ujenzi muulize kuhusu kasi ya ujenzi Dom, mm nina mafundi niliwatoa Dar, Mwanza na Arusha sasa hivi 60% wamesharudi makwao kazi hakuna watu hawajengi tena kwa kasi ile ya 2017, baadhi ya wasiojua wanamweka Dr Samia hapa eti wafanyakazi wamerudi Dar
Mnaweza kutuambia ni nani karudi Dar? Maana hata Mtumba JPM kaondoka kuna ghorofa mbili tu ya TARURA na TAMISEMI, zile ghorofa zote zimeanza kujengwa na mama hebu jaribu kufikiria katikati ya mji Dom bado ina viwanja kutoka Morena ukiwa unatembea kuelekea CBE hapo kati kuna kipori, Makole yote ile ipo wazi, Kiwanja cha kula bata maarufu ni kimoja tu kilichopo pale Emausi karibu na jengo la GSM Capital city mall nimesahau jina lake
Tunavyoongea mda huu nipo Mwanza naona tofauti kabisa hapa Mwanza mda huu majengo ndio yanaamuka na sio serikali ni watu binafsi, hivi mnajua kama Makoroboi kuna mzigo wa ghorofa 33 kwenda juu unajengwa
Uwekezaji wa Mwanza ni wa sekta binafsi kwa kiasi kikubwa na sababu ni uwepo wa fursa nyingi za biashara mfano uvuvi, madini, kilimo nk, mnaweza kutuambia Dom zaidi ya uwekezaji wa real estate kwa ajiri ya wafanuakazi wa serikali ambao nao tayari wameshajitosheleza ni nn kinhine mwekezaji anaweza kufanya Dom?
Hebu angalia huu uwekezaji kwa Mwanza,,
Afya Mwanza ina mahospitali mengi zaidi ya private kuliko Dodoma Uhuru hospital, Agha Khan, Bugando, kuna moja ipo kona ya bwiru na sasa hivi wanajenga jengo kubwa la ghorofa 9 lipo mtaa wa Ghana jirani na Olympic
Benki ngoja nitaje tu zilizopo Mwanza ambazo Dom hazipo Standard Chaterd, KCB,, Stanbic
Viwanda, Pepsi Kolakola, TBL, SBT hapa nitaje hivyo tu lkn najua mnaijua vizuri Nyakato Industry Area maana kufikia mnaiongelea Mwanza mmeshafika
Usafiri Dom ina kampuni za mabasi kama nne au tano tu kubwa Kimbinyiko, Shabib, Satco, na wengine wengine wadogo kina Brightline wenye vigari viwili viwili,, unataka nitaje kampuni za Mwanza???? ,[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Hivi mnaijua Rwagasore nyie kuhusu maduka makubwa ,,, kuna siku nilipata tenda ya kufanya finishing Dom mitaa ya Chadulu jirani na Pestana Pup kawaida yangu natumia rangi za master nilishaangaa Dom yote muuzaji ni mmoja tu Abuu Marangi na ndo mfanyabiashara mkubwa akifuatiwa na Ngozi
Hivi mnapataga ujasiri wapi wa kuifananisha Dom na jiji la Miamba?
Idadi ya watu kwa mjibu wa Sensa ya watu na makazi Dom yote kama mkoa inazidiwa watu na Tabora