Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Wapi Mwanza Airport? 😁😁
Screenshot_20230522-134826_2.jpg
 
Kiwanja Cha mda [emoji16][emoji16],jengo la kudumu mtaishia kuonesha render tuu [emoji1787][emoji1787] pesa hakuna
Hilo jengo la muda ni Kali kuzidi permanent house ya songwe [emoji1787][emoji23][emoji23]
Mwisho AFDB wakishakubali hainaga kulemba . mkandarasi anaingia site sio vijengo vyenu vya kutegemea tozo za mabando na kukimbizana na wafanya biashara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo jengo la muda ni Kali kuzidi permanent house ya songwe [emoji1787][emoji23][emoji23]
Mwisho AFDB wakishakubali hainaga kulemba . mkandarasi anaingia site sio vijengo vyenu vya kutegemea tozo za mabando na kukimbizana na wafanya biashara

Sent using Jamii Forums mobile app
Liko wapi jengo la Mwanza 🤣🤣

Songwe saizi ni iconic
 
Mtu wa mbeya na njombe naona unafurahi keki ya Tanzania ikiishia Dodoma na Dar, bajeti ijayo wawe wanaalikana wabunge wa dodoma na dar wakijadili bajeti yao.
Nina Mpango wa kuwekeza na kuishi Dom baada ya 2030..

Mbeya na Njombe huwezi ikwepa
Screenshot_20230522-233420.jpg
 
Hapo hakuna mpangaji na mnunuzi hata mmoja, ifikie hatua serikali isifanye mambo kimihemko.
 
Back
Top Bottom