Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Watani zangu wagogo
IMG-20230920-WA0120.jpg
 
Sina muda na

Ww

Unaonekana ni mweupe kichwan!!
Takwimu za sensa zinasema dar ina majengo ya ghorofa 32000+ inafuata arusha 7400+ halaf mwanza 2800+
Acha kufananisha akili zangu na akili za mwendawazimu, huna hoja huna facts, leta picha za hayo maghorofa nipo hapa arusha, hapa arusha jiji hata maghorofa 1000 hayafiki hayo elfu 6000 yanapatikana chini ya ardhi, sensa ijayo watakuja takwimu zinasema arusha ina magorofa 500 na Mwanza 50000 sijui utapinga?
 
Acha kufananisha akili zangu na akili za mwendawazimu, huna hoja huna facts, leta picha za hayo maghorofa nipo hapa arusha, hapa arusha jiji hata maghorofa 1000 hayafiki hayo elfu 6000 yanapatikana chini ya ardhi, sensa ijayo watakuja takwimu zinasema arusha ina magorofa 500 na Mwanza 50000 sijui utapinga?
Sina muda wa kukutafutia taarifa! Hz ghorofa ni kwanzia storey 1
 
Acha kufananisha akili zangu na akili za mwendawazimu, huna hoja huna facts, leta picha za hayo maghorofa nipo hapa arusha, hapa arusha jiji hata maghorofa 1000 hayafiki hayo elfu 6000 yanapatikana chini ya ardhi, sensa ijayo watakuja takwimu zinasema arusha ina magorofa 500 na Mwanza 50000 sijui utapinga?
Ww huna akili sensa ilishamaliza
 
Sina muda wa kukutafutia taarifa! Hz ghorofa ni kwanzia storey 1
Sina muda wa kubishana na kondoo wanaosubiri kutafuniwa bila uhalisia...ukitaka kubishana na mimi niletee evidence sio maneno yenu ya kwenye karatasi, ata mimi naweza kuprint kuwa Mwanza inaongoza idadi ya maghorofa duniani.
 
Sensa ilishamaliza wasukuma washamba kwrl😂😂😂😂😂
Washamba kama wewe popoma? Bila wasukuma zaidi ya 89% ya hii nchi ingekuwa mapori na mbuga za fisi, shukuruni wasukuma kwa kuwapanulia miji yenu na kueneza ustaharabu, bila wasukuma hii nchi ingekuwa sawana msitu wa congo.
 
Washamba kama wewe popoma? Bila wasukuma zaidi ya 89% ya hii nchi ingekuwa mapori na mbuga za fisi, shukuruni wasukuma kwa kuwapanulia miji yenu na kueneza ustaharabu, bila wasukuma hii nchi ingekuwa sawana msitu wa congo.
😂😂😂 pambaneni kwanza na elimu mpo wengi ila zero kichwan
 
😂😂😂 pambaneni kwanza na elimu mpo wengi ila zero kichwan
Kuna watu wasomi kama kanda ya ziwa, wasukuma, wahaya na wakerewe, na huo usomi wenu umesaidia nini nchi kujikwamua kwenye umaskini na kutumia rasilimali zake kujiinua kiuchumi kama mataifa mengine.
 
😂😂😂 pambaneni kwanza na elimu mpo wengi ila zero kichwan
Acha matusi bhana na ubishi usio kuwa na tija! Hivi huko Kilimanjaro na Arusha mna viwanda vya magari? Mbona hata kwenye biashara mnazofanya hata Wasukuma wanafanya! Kwenu mna mji mmoja tu wa kibiashra ni Arusha wakati Kanda ya ziwa ina mji mikubwa ya kibiashara kama Mwanza na Kahama na wengi wawekezaji ni hao unaowaita kichwani zero!
Wewe hujawahi kuwa serous na maisha mtu yeyote mpambanaji chi hii hawezi kubeza upambanaji wa Wasukuma!
 
Acha matusi bhana na ubishi usio kuwa na tija! Hivi huko Kilimanjaro na Arusha mna viwanda vya magari? Mbona hata kwenye biashara mnazofanya hata Wasukuma wanafanya! Kwenu mna mji mmoja tu wa kibiashra ni Arusha wakati Kanda ya ziwa ina mji mikubwa ya kibiashara kama Mwanza na Kahama na wengi wawekezaji ni hao unaowaita kichwani zero!
Wewe hujawahi kuwa serous na maisha mtu yeyote mpambanaji chi hii hawezi kubeza upambanaji wa Wasukuma!
Mada ni Mwanza vs Arusha or Dodoma na sio Shinyanga.

Ndio madhara ya kuwa school dropout 🤣🤣
20230919_211840.jpg
20230919_211832.jpg
 
Kuna watu wasomi kama kanda ya ziwa, wasukuma, wahaya na wakerewe, na huo usomi wenu umesaidia nini nchi kujikwamua kwenye umaskini na kutumia rasilimali zake kujiinua kiuchumi kama mataifa mengine.
Watu mnaoongoza Kwa dropout na usomi wapi na wapi? 😆😆😆😆 Eleventh
20230919_211840.jpg
20230919_211832.jpg
 
Ukishapata chaka la kujifichia huwa unatutesa sana kama lile jengo la PAPU, sasa umepata chaka jipya la wanafunzi walioacha shule😂😂😂😂
Ukitoa Ukerewe,Muleba na Mara wengine wote mliosalia nyie ni mbumbumbu 😂😂

Nimeona somewhere Kuna Rukwa nayo imefika hapo Kwa sababu za Wasukuma wafugaji waliotapakaa Wilaya za Nkasi na Sumbawanga DC
 
Ukitoa Ukerewe,Muleba na Mara wengine wote mliosalia nyie ni mbumbumbu 😂😂

Nimeona somewhere Kuna Rukwa nayo imefika hapo Kwa sababu za Wasukuma wafugaji waliotapakaa Wilaya za Nkasi na Sumbawanga DC
Acha dharau penye watu wengi kuna mengi, hata hapo Mwanza ukute nusu ya hao wanafunzi asili yao ni kutoka njombe au mbeya au huko rukwa mmekuja kutuletea vilaza kanda ya ziwa.
 
Back
Top Bottom