ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Wewe unaongea ukweli ambao wenzako wanakaza shingo Hadi wafe na tai 😆😆😆😆Mimi ni mkazi wa Mwanza,Mwanza inazidiwa na Arusha ,Mwanza kinachoisaidia ni population.Mwanza & Arusha zote zimisha pitwa na Dodoma.
Bahati mbaya Mwanza imepigwa na Dodoma na Arusha pia ,Mwanza wanalingia watu maskini kitu ambacho hakiwasaidii