Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Wewe nae ni limbukeni wa kitupa Kuna maajabu Gani hapo Juzi Kuna mtu wa Mwanza karusha picha ya karibu na Bwiru yenye eneo kubwa Toa huo uchafu
🤣🤣🤣Ulisema upo Dar sehemugani vile....vp ndio mara ya kwanza kufika Dar .Wasukuma na ushamba ni sawa na uji kwa mgonjwa
 
Nilikwambia ukiwa huna facts utaumbuka tu humu ona mshamba mwenzako anataja radio stations za Tanga,Arusha na Mbeya anasema ni za Mwanza😂😂😂😂
Acha upumbavu pasion fm, ushindi fm hizo ni station za Mwanza na usifikiri mwenzio ana akili kama zako za kama fisi maji kutaja taja maradio ya uongo na kutunga unafikiri na wenzako wapo hivyo kama uhamini google hizo radio uone kama hazipo Mwanza kama HQ.
 
Acha upumbavu pasion fm, ushindi fm hizo ni station za Mwanza na usifikiri mwenzio ana akili kama zako za kama fisi maji kutaja taja maradio ya uongo na kutunga unafikiri na wenzako wapo hivyo kama uhamini google hizo radio uone kama hazipo Mwanza kama HQ.
Passion fm kwa sasa ipo Dar haipo Mwanza...Ushindi fm ipo Mbeya,Huruma fm ipo Tanga,Shalom fm ipo Arusha.Akawadanganye washamba wenzake labda😂😂😂
 
🤣🤣🤣Ulisema upo Dar sehemugani vile....vp ndio mara ya kwanza kufika Dar .Wasukuma na ushamba ni sawa na uji kwa mgonjwa
We boya sana Sina ulimbukeni wa miji kama wewe mie nimeishi miji mingi east Africa na Dar nayo bado utopolo mwingi sana kuanzia mwenge mpaka bunju huko ......barabara ni four lanes ukikaribia Tegeta kwa ndevu huko unakutana na narrow roads na foleni za kijinga jinga wenzetu Kenya kwenye miundo mbinu wanaanza kusogea sana ichukulie Nairobi expressway duuh sio kawaida ,,,Dar kuanzia ubungo Ile barabara ya morogoro kupitia mbezi kibanda cha mkaa,mbezi kwa Yusuphu ,mbezi mwisho,kimara zote Hadi kimara mwisho ni foleni Hadi kero..Sasa Dodoma ni mji wa kijinga sana unazidiwa na Morogoro na kama makao makuu ya nchi yangekuwa morogoro basi serikali isingetumia nguvu kubwa kuujenga makao makuu,,Sasa Mwanza ni jiji Toka 2000 kipindi hicho Dodoma bado ni mapori maeneo mengi,, Mbeya ndo wanyamaze kabisa sijui kama Mbeya mji ilikuwa umeshaanzishwa🤣🤣Mwanza ni jiji la kimkakati la serikali ndo maana kwa Sasa miundo mbinu mingi inaanza kujengwa mfano Barabara,kupanuliwa uwanja wa ndege ,Sgr,bandari ,meli kubwa kupita zote Afrika mashariki na kati katika maziwa makuu,stendi mbili kubwa ndani ya jiji Moja kitu ambacho Dodoma licha ya kuwa makao makuu hawana,ujenzi wa masoko ya kisasa kabisa,maboresho ya mto milongo kwa standard za kimataifa,mradi wa green city n.k Mwanza inaanza kubeba sura ya jiji la kimataifa Sasa miradi hii ikikamilika mwanza itavutia sana sana ,,,mwisho punguza ulimbukeni Mimi sioni fahari eti kwa kuwa nipo Dar ndo niseme nipo mjini sana huku ni pa kawaida mnoo Wala Sina ulimbukeni kama wa kwako
 
We boya sana Sina ulimbukeni wa miji kama wewe mie nimeishi miji mingi east Africa na Dar nayo bado utopolo mwingi sana kuanzia mwenge mpaka bunju huko ......barabara ni four lanes ukikaribia Tegeta kwa ndevu huko unakutana na narrow roads na foleni za kijinga jinga wenzetu Kenya kwenye miundo mbinu wanaanza kusogea sana ichukulie Nairobi expressway duuh sio kawaida ,,,Dar kuanzia ubungo Ile barabara ya morogoro kupitia mbezi kibanda cha mkaa,mbezi kwa Yusuphu ,mbezi mwisho,kimara zote Hadi kimara mwisho ni foleni Hadi kero..Sasa Dodoma ni mji wa kijinga sana unazidiwa na Morogoro na kama makao makuu ya nchi yangekuwa morogoro basi serikali isingetumia nguvu kubwa kuujenga ,,Sasa Mwanza ni jiji Toka 2000 kipindi hicho Dodoma bado ni mapoli maeneo mengi Mbeya ndo wanyamaze kabisa sijui kama Mbeya mji ilikuwa umeshaanzishwa🤣🤣Mwanza ni jiji la kimkakati la serikali ndo maana kwa Sasa miundo mbinu mingi inaanza kujengwa mfano Barabara,kupanuliwa uwanja wa ndege ,Sgr,bandari ,meli kubwa kupita zote Afrika mashariki na kati katika maziwa makuu,stendi mbili kubwa ndani ya jiji Moja kitu ambacho Dodoma licha kuwa makao makuu hawana,ujenzi wa masoko ya kisasa kabisa,maboresho ya mto milongo kwa standard za kimataifa,mradi wa green city n.k Mwanza inaanza kubeba sura ya jiji la kimataifa Sasa miradi hii ikikamilika mwisho punguza ulimbukeni Mimi sioni fahari eti kwa kuwa nipo Dar ndo niseme nipo mjini sana huku ni pa kawaida mnoo Wala Sina ulimbukeni kama wa kwako
Povu 🤪🤪
 
Passion fm kwa sasa ipo Dar haipo Mwanza...Ushindi fm ipo Mbeya,Huruma fm ipo Tanga,Shalom fm ipo Arusha.Akawadanganye washamba wenzake labda😂😂😂
Unajidanganya sana
Mwanza ni Jiji la pili kwa Media Tanzania kama ifuatavyo
İnterborder frequency redio
Redio free Africa inasikika nchi nzima kwa masafa ya FM na ukanda WA maziwa makuu kwa masafa ya AM
Kuna kiss FM majiji yote
Then Kuna regional redios
-metro FM
City FM
Jembe FM
Lake fm
Dira FM
Living water
Afya REDIO
HHC alive
Kwa neema FM
İQra FM
Kuna tv
Star tv national tv
Mahasin tv.
Kuna online media kama 30 hv
Kuna tv decorder company
Continental decorder
 
We boya sana Sina ulimbukeni wa miji kama wewe mie nimeishi miji mingi east Africa na Dar nayo bado utopolo mwingi sana kuanzia mwenge mpaka bunju huko ......barabara ni four lanes ukikaribia Tegeta kwa ndevu huko unakutana na narrow roads na foleni za kijinga jinga wenzetu Kenya kwenye miundo mbinu wanaanza kusogea sana ichukulie Nairobi expressway duuh sio kawaida ,,,Dar kuanzia ubungo Ile barabara ya morogoro kupitia mbezi kibanda cha mkaa,mbezi kwa Yusuphu ,mbezi mwisho,kimara zote Hadi kimara mwisho ni foleni Hadi kero..Sasa Dodoma ni mji wa kijinga sana unazidiwa na Morogoro na kama makao makuu ya nchi yangekuwa morogoro basi serikali isingetumia nguvu kubwa kuujenga makao makuu,,Sasa Mwanza ni jiji Toka 2000 kipindi hicho Dodoma bado ni mapori maeneo mengi,, Mbeya ndo wanyamaze kabisa sijui kama Mbeya mji ilikuwa umeshaanzishwa🤣🤣Mwanza ni jiji la kimkakati la serikali ndo maana kwa Sasa miundo mbinu mingi inaanza kujengwa mfano Barabara,kupanuliwa uwanja wa ndege ,Sgr,bandari ,meli kubwa kupita zote Afrika mashariki na kati katika maziwa makuu,stendi mbili kubwa ndani ya jiji Moja kitu ambacho Dodoma licha ya kuwa makao makuu hawana,ujenzi wa masoko ya kisasa kabisa,maboresho ya mto milongo kwa standard za kimataifa,mradi wa green city n.k Mwanza inaanza kubeba sura ya jiji la kimataifa Sasa miradi hii ikikamilika mwanza itavutia sana sana ,,,mwisho punguza ulimbukeni Mimi sioni fahari eti kwa kuwa nipo Dar ndo niseme nipo mjini sana huku ni pa kawaida mnoo Wala Sina ulimbukeni kama wa kwako
Gazeti refu rubbish tupu...uache ushamba +ulimbukeni .Nani ambaye hayupo Dar ..😂😂.
Ndiomana nikakuuliza ndiomara ya kwanza kufika Dar tukutembeze manake comments zako zote lazima ujihami kwanza utasikia eti ooh kwa sasa nipo Dar🤣🤣🤣
 
Leta Tangazo la zabuni
Consultant tayari Yuko engaged site 👇👇
Screenshot_20241020-205620.jpg
Screenshot_20241020-210725.jpg
Screenshot_20241020-210649.jpg
Screenshot_20241020-210628.jpg
 
Unajidanganya sana
Mwanza ni Jiji la pili kwa Media Tanzania kama ifuatavyo
İnterborder frequency redio
Redio free Africa inasikika nchi nzima kwa masafa ya FM na ukanda WA maziwa makuu kwa masafa ya AM
Kuna kiss FM majiji yote
Then Kuna regional redios
-metro FM
City FM
Jembe FM
Lake fm
Dira FM
Living water
Afya REDIO
HHC alive
Kwa neema FM
İQra FM
Kuna tv
Star tv national tv
Mahasin tv.
Kuna online media kama 30 hv
Kuna tv decorder company
Continental decorder
.Dom radio stations zinakaribia 20(Radio Mwangaza,Radio Missionaries,Radio Uzima,ABM fm,A fm,Kifimbo fm,Impact fm,C fm,Rasi fm,Villa fm,Point fm,Dodoma fm,P fm,Nyemo fm,Maisha fm,Zabibu fm,Jamii fm,) , 1 tv station Dodoma TV,4 cable tv stations,online media hizo ndio hazina idadi,magazeti 3 yote yapo active na bonus nyingine zaidi ya nusu ya media zote Tanzania wana sub-office Dom mfano Azam TV,ITV,Mwananchi,Uhuru ,Channel Ten n.k.
Mwenzako jana nimemwambia anitajie listi ya radio stations tulinganishe na idadi ya za Dom akaanza kutaja mpaka za Arusha,Mbeya,Tanga 😂😂
 
Gazeti refu rubbish tupu...uache ushamba +ulimbukeni .Nani ambaye hayupo Dar ..😂😂.
Ndiomana nikakuuliza ndiomara ya kwanza kufika Dar tukutembeze manake comments zako zote lazima ujihami kwanza utasikia eti ooh kwa sasa nipo Dar🤣🤣🤣
Wewe mshamba usie na exposure na ni aibu kwa nchi kuwa na watu kama nyie🤣🤣🤣🤣Hii Dar unayoikuza nimesoma huku level zote za elimu 🤣🤣🤣halafu ndo useme unitembeze Dar kwanza Baki huko maporini kwenu huku mjini vinahitajika vichwa vyenye akili sio urojo urojo ,,,mwanza napapenda sana kuliko hapo ukameni village 🤣🤣🤣🤣na usinilazimishe kupapenda maana hakuna cha maana kama Mbeya tu mji ni Morogoro na Mwanza 🤣🤣🤣🤣
 
.Dom radio stations zinakaribia 20(Radio Mwangaza,Radio Missionaries,Radio Uzima,ABM fm,A fm,Kifimbo fm,Impact fm,C fm,Rasi fm,Villa fm,Point fm,Dodoma fm,P fm,Nyemo fm,Maisha fm,Zabibu fm,Jamii fm,) , 1 tv station Dodoma TV,4 cable tv stations,online media hizo ndio hazina idadi,magazeti 3 yote yapo active na bonus nyingine zaidi ya nusu ya media zote Tanzania wana sub-office Dom mfano Azam TV,ITV,Mwananchi,Uhuru ,Channel Ten n.k.
Mwenzako jana nimemwambia anitajie listi ya radio stations tulinganishe na idadi ya za Dom akaanza kutaja mpaka za Arusha,Mbeya,Tanga 😂😂
Unatia huruma sana Redio nilizozitaja zipo mwanza na zinasikika mwanza haya nitajie Tv ya hapo ukameni village yenye huge coverage kama Star tv na Redio inayoshika mikoa mingi kama Redio Free Africa wewe ni ndezi sana with no sense ,,,Mwanza Haina iyo unaita HQ lakini moto wake Sasa 🤣🤣🤣🤣🤣
 
😂😂umejiunga JF mwezi uliopita.Punguza ushamba na ulimbukeni aisee comments zako zote utasikia kwa sasa mimi nipo Dar 🤣🤣🤣🤣
Sasa niwe Dodoma au Mbeya kufanya Nini🤣🤣🤣🤣nipo huku mjini nikitoka Narudi mwanza jiji Sina Muda na hivyo vipori vyenu🤣🤣🤣🤣
 
Passion fm kwa sasa ipo Dar haipo Mwanza...Ushindi fm ipo Mbeya,Huruma fm ipo Tanga,Shalom fm ipo Arusha.Akawadanganye washamba wenzake labda😂😂😂
Zitafute hizo Redio HQ yake IPO wapi kama sio mwanza🤣🤣🤣Duuh nahangaika na boya mmoja hivi oya mwana jitoe tu JF hujui mambo mengi sana 🤣🤣🤣
 
.Dom radio stations zinakaribia 20(Radio Mwangaza,Radio Missionaries,Radio Uzima,ABM fm,A fm,Kifimbo fm,Impact fm,C fm,Rasi fm,Villa fm,Point fm,Dodoma fm,P fm,Nyemo fm,Maisha fm,Zabibu fm,Jamii fm,) , 1 tv station Dodoma TV,4 cable tv stations,online media hizo ndio hazina idadi,magazeti 3 yote yapo active na bonus nyingine zaidi ya nusu ya media zote Tanzania wana sub-office Dom mfano Azam TV,ITV,Mwananchi,Uhuru ,Channel Ten n.k.
Mwenzako jana nimemwambia anitajie listi ya radio stations tulinganishe na idadi ya za Dom akaanza kutaja mpaka za Arusha,Mbeya,Tanga 😂😂
Yaan kumbe hata 20 hazifiki. .umetaja redio 15 katı ya hzo ulizotaja Hamna hata REDIO MOJA inayosikika zaidi ya mikoa 5...
Anza kuhesabu hapa ,👇
Afya REDIO
Metro
İnland FM
Ukombozi FM .
Living water
Jembe FM
City FM .
Adonai FM
İQra FM
Lake fm
SAUT FM
HHC .
RFA .
KISS FM
DİRA
PASSİON FM
SENGEREMA REDIO
Kwa neema FM
Tv
Star tv ving'amuzi vyote
Mahasin tv AZAM na DSTV
STAR KİDS ,STAR MOVİES ,STAR DRAMA ,STAR E ,STAR SPORTS..kingamuzi Cha continental decorder
Câble tv .MWANZA tv na barmedas tv
 
Back
Top Bottom