Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Uchuro huo unakuwa nani kutupandikizia chuki za kisenge namna hiyo. Fala wewe
Dom HQ, Magufuli City CBD🔥🔥👇👇

View: https://youtu.be/HbQcQj3-wBA?si=z4_rVJLVqR97Sldb
wizarahmth_1729444329193.jpg
wizarahmth_1729444328519.jpg
 
Magufuli city bado inajitafuta usichanyikiwe na hivyo vighorofa saba 🤗🤗🤗angalia hapo mwanza wewe unaona hayo maghorofa yanahesabika 🤣🤣🤣 Mwanza CBD ni Kariakoo ya pili kwa hapa Tz
Ila Mwanza mnajua sana kujifariji eti maghorofa saba😂😂....unajua idadi ya wizara zote Tanzania kweli🤣🤣🤣
 
Unaleta story hapa 🤗🤗🤗weka picha
Yaani unataka tubishane picha kwa picha hutaki facts sio😀😀.Hata mtoto wa darasa la sita aliyesoma somo la Uraia /Civics anajua idadi ya wizara zote zaTanzania zilizopo Magufuli City
 
Yaani unataka tubishane picha kwa picha hutaki facts sio😀😀.Hata mtoto wa darasa la sita aliyesoma somo la Uraia /Civics anajua idadi ya wizara zote zaTanzania zilizopo Magufuli City
Facts zipi toa wendawazimu wako hapa, magufuli city Ina maghorofa mangapi mpaka yakuzuzue hivyo. Wewe ni toto jinga sana .
 
Facts zipi toa wendawazimu wako hapa, magufuli city Ina maghorofa mangapi mpaka yakuzuzue hivyo. Wewe ni toto jinga sana .
Kama hujui hata idadi ya Wizara za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tukusaidiaje sasa ...rudi shule🤣🤣
 
Kuna baraza la mawaziri na mikutano ya kimataifa wewe hata kufikiria huwezi?
Hujajibu swali unazunguka tu...ngoja nikuongezee na fact nyingine 👇👇

 
Kama hujui hata idadi ya Wizara za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tukusaidiaje sasa ...rudi shule🤣🤣
Tumekwambia Kuna majengo mangapi mpaka sasa, kwani mwanza hakuna maghorofa mapya yanayojengwa usibishe kijinga hatutumii hesabu za makadirio hapa nenda na uhalisia uliopo kwa sasa.
 
Back
Top Bottom