ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mwanza is Slum jifunzeni jinsi ya kupanga Jiji kwanza hapa Dom HQ 👇
View: https://youtu.be/MIdTM8V0WIc?si=W4ShbmZukygT2jiD
View: https://youtu.be/MIdTM8V0WIc?si=W4ShbmZukygT2jiD
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fananisha huo upuuzi na hapa Medeli Dom HQ 👇👇Bado sana 👇👇mpaka ifikie hizi level View attachment 3131451View attachment 3131452View attachment 3131453View attachment 3131454
Subiri waje najua midayao ni kuanzia saatano usiku wanasubiria bando la bure au vifurushi vya usiku wakishajiunga utaona wanavyoshambulia na makasiriko yao😀😀....alafu ID zao ni zilezile za sikuzote 🤣🤣🤣Vitu vya kijinga Kila mtu anajua viko Mwanza vikiwemo hivi hapa 👇👇View attachment 3131725View attachment 3131726View attachment 3131727View attachment 3131728View attachment 3131729View attachment 3131730View attachment 3131731View attachment 3131732View attachment 3131733View attachment 3131734View attachment 3131735
Hakuna kitu hapo mbona hata Nyegezi mwanza ni pazuri 🤣🤣🤣👇👇👇Tambukareli Government City as seen from above SGR 😀😀
ANGALIZO TU:Hii Tambukareli ni tofauti na Magufuli Government City na baada ya miaka michache Tambukareli itakua Dubai ndogo kwa jinsi maghorofa yanavyoporomoshwa kilasiku. Mwanza saizi yake ni Nakuru sio Dom kubalini tu matokeo🤣🤣
View attachment 3131714
Tuma TenaVitu vya kijinga Kila mtu anajua viko Mwanza vikiwemo hivi hapa 👇👇View attachment 3131725View attachment 3131726View attachment 3131727View attachment 3131728View attachment 3131729View attachment 3131730View attachment 3131731View attachment 3131732View attachment 3131733View attachment 3131734View attachment 3131735
Umekariri picha zile zile na mpaka Sasa kwa taarifa nilizo nazo sehemu hizo zimeanza kuboreshwa taaratibu mpango ulianzia ibanda juu mpaka Sasa ibanda ni miongoni mwa mitaa ya kishua sana mwanza pengine kuliko mtaa wowote hapo ukameni village hapo hatujazungumia mitaa kama vile kapripoint, Bwiru,nyasaka,malaika, ilemela na mingine mingi ya kishua inayochipukia ,,,makao makuu Dodoma yalitangazwa mwaka 1973 lakini licha ya kutangazwa muda wote huo ukameni village imekuja kupandishwa Hadhi kuwa jiji mwaka 2019 wakati mwanza ilitangazwa mwaka 2000 ambapo ni tofauti ya miaka 19 tafsiri yake Nini? Tafsiri yake ni kwamba inahitajika miaka kumi na tisa Dodoma kuifikia mwanza wakati huo mwanza imesimama na kusiwe na ujenzi unaoendelea 🤣🤣🤣🤣🤣kitu ambacho hakiwezekani mwanza kusimama bila ujenzi Hilo halipo🤣🤣🤣🤣kwa takwimu za sensa ya watu na makazi ya 2022 mwanza ndo jiji linalokaribiana sana yaani sana na Dar kwa kuwa na makazi mengi yanayoendelea kujengwa na ni nyumba za viwango utafikiri upo mbweni kwa huku Dar ,,mfano mitaa kama Bwiru duuuuuuuuh ni kisanga cha Karne Kuna majumba ya kifahari yanajengwa sio kawaida 🤣🤣🤣🤣Yaani nyie washamba wa ukameni village wanamwanza wanawashangaa sana mnapotuma picha za vijumba ambavyo havienei hata kwenye mtaa mmoja wa mkolani🤣🤣🤣ukweli mchungu sana huu ila tuvumiliane ,,,Kila jiji Tanzania limewekewa mkakati na serikali kulingana na jiografia yake kama mwanza IPO katikati ya Afrika mashariki kijiografia licha ya makao makuu kuwa Arusha ndo maana serikali imeweka miundo mbinu ya msingi mwanza kama bandari na mambo ambayo nimewahi kuyaanika humu jamvini ,,mwanza haikwepeki ndo jiji kubwa la pili Tanzania na 7.5 asilimia ya mapato ya nchi yanaratibiwa kutokea mwanza Sasa nashangaa mpaka mtu wa Mbeya na Sumbawanga huko anataka kusafishia nyota yake kupitia kuibeza mwanza🤣🤣🤣cha ajabu eti analinganisha jiji la pili na Mbeya iliyojaa nyumba za tope Hadi CBD tuwe serious na mambo ya msingiVitu vya kijinga Kila mtu anajua viko Mwanza vikiwemo hivi hapa 👇👇View attachment 3131725View attachment 3131726View attachment 3131727View attachment 3131728View attachment 3131729View attachment 3131730View attachment 3131731View attachment 3131732View attachment 3131733View attachment 3131734View attachment 3131735
Umekariri picha zile zile na mpaka Sasa kwa taarifa nilizo nazo sehemu hizo zimeanza kuboreshwa taaratibu mpango ulianzia ibanda juu mpaka Sasa ibanda ni miongoni mwa mitaa ya kishua sana mwanza pengine kuliko mtaa wowote hapo ukameni village hapo hatujazungumia mitaa kama vile kapripoint, Bwiru,nyasaka,malaika, ilemela na mingine mingi ya kishua inayochipukia ,,,makao makuu Dodoma yalitangazwa mwaka 1973 lakini licha ya kutangazwa muda wote huo ukameni village imekuja kupandishwa Hadhi kuwa jiji mwaka 2019 wakati mwanza ilitangazwa mwaka 2000 ambapo ni tofauti ya miaka 19 tafsiri yake Nini? Tafsiri yake ni kwamba inahitajika miaka kumi na tisa Dodoma kuifikia mwanza wakati huo mwanza imesimama na kisiwe na ujenzi unaoendelea 🤣🤣🤣🤣🤣kitu ambacho hakiwezekani mwanza kusimama bila ujenzi Hilo halipo🤣🤣🤣🤣kwa takwimu za sensa ya watu na makazi ya 2022 mwanza ndo jiji linalokaribiana sana yaani sana na Dar kwa kuwa na makazi mengi yanayoendelea kujengwa na ni nyumba za viwango utafikiri upo mbweni kwa huku Dar ,,mfano mitaa kama Bwiru duuuuuuuuh ni kisanga cha Karne Kuna majumba ya kifahari yanajengwa sio kawaida 🤣🤣🤣🤣Yaani nyie washamba wa ukameni village wanamwanza wanawashangaa sana mnapotuma picha za vijumba ambavyo havienei hata kwenye mtaa mmoja wa mkolani🤣🤣🤣ukweli mchungu sana huu ila tuvumiliane ,,,Kila jiji Tanzania limewekewa mkakati na serikali kulingana na jiografia yake kama mwanza IPO katikati ya Afrika mashariki kijiografia licha ya makao makuu kuwa a Arusha ndo maana serikali imeweka miundo mbinu ya msingi mwanza kama bandari na mambo ambayo nimewahi kuyaanika humu jamvini ,,mwanza haikwepeki ndo jiji kubwa la pili Tanzania na 7.5 asilimia ya mapato ya nchi yanaratibiwa kutokea mwanza Sasa nashangaa mpaka mtu wa Mbeya na Sumbawanga huko anataka kusafishia nyota yake kupitia kuibeza mwanza🤣🤣🤣cha ajabu eti analinganisha jiji la pili na Mbeya iliyojaa nyumba za tope Hadi CBD tuwe serious na mambo ya msingi
Gazeti refu hujui hata kupangilia hoja...kila comment unatuambia wewe upo Dar tangu 2018😀😀 sasa umejuaje ujenzi unaoendelea Mwanza kwenye mitaa🤣🤣🤣🤣 USHAMBA PROMAXUmekariri picha zile zile na mpaka Sasa kwa taarifa nilizo nazo sehemu hizo zimeanza kuboreshwa taaratibu mpango ulianzia ibanda juu mpaka Sasa ibanda ni miongoni mwa mitaa ya kishua sana mwanza pengine kuliko mtaa wowote hapo ukameni village hapo hatujazungumia mitaa kama vile kapripoint, Bwiru,nyasaka,malaika, ilemela na mingine mingi ya kishua inayochipukia ,,,makao makuu Dodoma yalitangazwa mwaka 1973 lakini licha ya kutangazwa muda wote huo ukameni village imekuja kupandishwa Hadhi kuwa jiji mwaka 2019 wakati mwanza ilitangazwa mwaka 2000 ambapo ni tofauti ya miaka 19 tafsiri yake Nini? Tafsiri yake ni kwamba inahitajika miaka kumi na tisa Dodoma kuifikia mwanza wakati huo mwanza imesimama na kusiwe na ujenzi unaoendelea 🤣🤣🤣🤣🤣kitu ambacho hakiwezekani mwanza kusimama bila ujenzi Hilo halipo🤣🤣🤣🤣kwa takwimu za sensa ya watu na makazi ya 2022 mwanza ndo jiji linalokaribiana sana yaani sana na Dar kwa kuwa na makazi mengi yanayoendelea kujengwa na ni nyumba za viwango utafikiri upo mbweni kwa huku Dar ,,mfano mitaa kama Bwiru duuuuuuuuh ni kisanga cha Karne Kuna majumba ya kifahari yanajengwa sio kawaida 🤣🤣🤣🤣Yaani nyie washamba wa ukameni village wanamwanza wanawashangaa sana mnapotuma picha za vijumba ambavyo havienei hata kwenye mtaa mmoja wa mkolani🤣🤣🤣ukweli mchungu sana huu ila tuvumiliane ,,,Kila jiji Tanzania limewekewa mkakati na serikali kulingana na jiografia yake kama mwanza IPO katikati ya Afrika mashariki kijiografia licha ya makao makuu kuwa Arusha ndo maana serikali imeweka miundo mbinu ya msingi mwanza kama bandari na mambo ambayo nimewahi kuyaanika humu jamvini ,,mwanza haikwepeki ndo jiji kubwa la pili Tanzania na 7.5 asilimia ya mapato ya nchi yanaratibiwa kutokea mwanza Sasa nashangaa mpaka mtu wa Mbeya na Sumbawanga huko anataka kusafishia nyota yake kupitia kuibeza mwanza🤣🤣🤣cha ajabu eti analinganisha jiji la pili na Mbeya iliyojaa nyumba za tope Hadi CBD tuwe serious na mambo ya msingi
Hamna kitu hapoView attachment 3131946huo uchafu sema tambarare inawafichia mengi
Wivuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwa hiyo nikiwa Dar siwezi kwenda mwanza ushamba wako ndo tatizo na mwezi wa saba mwaka huu nilipita hapo ukameni village nikiwa naenda mwanza likizo🤣🤣🤣Gazeti refu hujui hata kupangilia hoja...kila comment unatuambia wewe upo Dar tangu 2018😀😀 sasa umejuaje ujenzi unaoendelea Mwanza kwenye mitaa🤣🤣🤣🤣 USHAMBA PROMAX
😀😀Tambarare tena ...si tulikubaliana Dom ni jangwa hakuna miti.View attachment 3131946huo uchafu sema tambarare inawafichia mengi
Wivuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwa hiyo nikiwa Dar siwezi kwenda mwanza ushamba wako ndo tatizo na mwezi wa saba mwaka huu nilipita hapo ukameni village nikiwa naenda mwanza likizo🤣🤣🤣
Sio sawa na Yale mabanda ya Mwanza kule 😁😁View attachment 3131946huo uchafu sema tambarare inawafichia mengi
Nzuguni (Mji wa Watumishi) Residential Apartments -Dom HQ
View: https://youtu.be/X1AictwxwjI?si=YnSSf6rXemnj2wdJ
Nitajie mitaa yenye slums mwanza labda wewe ndio unaijua zaidiSio sawa na Yale mabanda ya Mwanza kule 😁😁
Mwanza 80% ni slums wakati Dom hata 20% haipo.