Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Neno "eti" limemaanisha/kuwakilisha/ kutenganisha nini?Eti Lema nae kamgomea Makonda.....duh ni hatari na nusu. Nchi imejaa visasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Neno "eti" limemaanisha/kuwakilisha/ kutenganisha nini?Eti Lema nae kamgomea Makonda.....duh ni hatari na nusu. Nchi imejaa visasi
NamnukuuNimesikiliza wasilisho la Ansbert Ngurumo kwenye Online TV akidai kuwa Rostam aliwapa mkono waombolezaji wote waliokaa mbele na kumruka Kikwete kwenye msiba wa Lowasa huko Monduli.
Mliokuwepo ni kweli jambo hili lilitendeka?
He made JAKAYA KIKWETE the fourth president (kingmaker)Who is Rostam by the way!!
Thubutu yake,bila Mkwere Rost Tamu si lolote si chochote huyu si alitolewa jalalani na Mkwere, hivi mnamjua mwenye nchi kwa sasa?Nimesikiliza wasilisho la Ansbert Ngurumo kwenye Online TV akidai kuwa Rostam aliwapa mkono waombolezaji wote waliokaa mbele na kumruka Kikwete kwenye msiba wa Lowasa huko Monduli.
Mliokuwepo ni kweli jambo hili lilitendeka?
Jalalani ipi haujui rostam ni business tycoon na ni billionaireThubutu yake,bila Mkwere Rost Tamu si lolote si chochote huyu si alitolewa jalalani na Mkwere, hivi mnamjua mwenye nchi kwa sasa?
King maker FYIWho is Rostam by the way!!
So watoto wa baba mmoja, waliotoka nyumba moja kwenda kwenye hafla moja... Wanajifanya hawajuani kwakuwa hatujui ni nn waliongea wakiwa nyumbani kabla ya kufika kwenye hiyo hafla...Miaka ya nyuma sana. Baada ya vita ya Uganda. Kulikuwa na Jenerali Silas Mayunga. Akapelekwa kuwa Balozi Nigeria. Mseveni akaenda ziara Nigeria. Alipokuwa anawasalimia mabalozi hakuamini kumkuta Mayunga kule. Akamruka kumsalimia. Mayunga akaumia.
Baadaye akamwita wakakaa muda mrefu akimuuliza kilichamya kapelekwa Nigeria kuwa balozi.
Wanasema alipomaliza ziara haikuchukua muda Mayunga akarudishwa nyumbani.
Hivyo kutomsalimia mtu kunaweza kukawa kwa nia nzuri kabisa.
Kutimiza ndoto zisizokuletea furaha na amani ya moyo ni UBATILI MTUPU.Naona bado mnaendelea na JK.
Mtambue tu ana miaka 73, ameshatimiza Kila ndoto yake amebakiza jambo moja tu ambalo mpangaji ni mwenyezi Mungu, kifo.
Ameshinda vita zote na wanadamu sasa wamebaki kusubiri misiba waanze kumchamba, kuchamba ni tabia za kike ambazo kimsingi huwa nazo maana hawana nguvu za mapambano.
Mwanaume hupambana kutimiza ndoto zake na sio blah blah na kutegemea mbeleko na kulialia, JK amewahi kuwa Waziri wa fedha, waziri wa nishati na madini, waziri wa maji, na President wa nchi, hata akiwa UDSM amewahi kuwa kiongozi na hata kufika ikulu kuongea na Rais JKN. Kifupi ni kiongozi wa kuzaliwa.
Nnje ya madaNaona bado mnaendelea na JK.
Mtambue tu ana miaka 73, ameshatimiza Kila ndoto yake amebakiza jambo moja tu ambalo mpangaji ni mwenyezi Mungu, kifo.
Ameshinda vita zote na wanadamu sasa wamebaki kusubiri misiba waanze kumchamba, kuchamba ni tabia za kike ambazo kimsingi huwa nazo maana hawana nguvu za mapambano.
Mwanaume hupambana kutimiza ndoto zake na sio blah blah na kutegemea mbeleko na kulialia, JK amewahi kuwa Waziri wa fedha, waziri wa nishati na madini, waziri wa maji, na President wa nchi, hata akiwa UDSM amewahi kuwa kiongozi na hata kufika ikulu kuongea na Rais JKN. Kifupi ni kiongozi wa kuzaliwa.
Kijana jishikilie shobo zitakutoa utuEti Lema nae kamgomea Makonda.....duh ni hatari na nusu. Nchi imejaa visasi
Hahaaaaa.Who is Rostam by the way!!
Rostam na Edo ndo walimuwezesha Jk, jk hakua na loloteThubutu yake,bila Mkwere Rost Tamu si lolote si chochote huyu si alitolewa jalalani na Mkwere, hivi mnamjua mwenye nchi kwa sasa?
Eti yule gabachori wa wa kiirani anayeifilisi nchi kwa kuwanunua viongozi wetu.Who is Rostam by the way!!
Tusahihishane!.Naona bado mnaendelea na JK.
Mtambue tu ana miaka 73, ameshatimiza Kila ndoto yake amebakiza jambo moja tu ambalo mpangaji ni mwenyezi Mungu, kifo.
Ameshinda vita zote na wanadamu sasa wamebaki kusubiri misiba waanze kumchamba, kuchamba ni tabia za kike ambazo kimsingi huwa nazo maana hawana nguvu za mapambano.
Mwanaume hupambana kutimiza ndoto zake na sio blah blah na kutegemea mbeleko na kulialia, JK amewahi kuwa Waziri wa fedha, waziri wa nishati na madini, waziri wa maji, na President wa nchi, hata akiwa UDSM amewahi kuwa kiongozi na hata kufika ikulu kuongea na Rais JKN. Kifupi ni kiongozi wa kuzaliwa.
Kwa nchi hiz zetu Lakin kwa nchi zinazojitambua yule mzee anafaa kuwa diplomatic sio rais. Jiulize ni kitu gan alifanya b4 hajawah rais vya kumpa credit ya kuwa rais. Kuwa Wazir sijui nini sio ishu kwa manchi yetu ya kiafrica.Naona bado mnaendelea na JK.
Mtambue tu ana miaka 73, ameshatimiza Kila ndoto yake amebakiza jambo moja tu ambalo mpangaji ni mwenyezi Mungu, kifo.
Ameshinda vita zote na wanadamu sasa wamebaki kusubiri misiba waanze kumchamba, kuchamba ni tabia za kike ambazo kimsingi huwa nazo maana hawana nguvu za mapambano.
Mwanaume hupambana kutimiza ndoto zake na sio blah blah na kutegemea mbeleko na kulialia, JK amewahi kuwa Waziri wa fedha, waziri wa nishati na madini, waziri wa maji, na President wa nchi, hata akiwa UDSM amewahi kuwa kiongozi na hata kufika ikulu kuongea na Rais JKN. Kifupi ni kiongozi wa kuzaliwa.
King maker!Who is Rostam by the way!!