Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Soma post #44.[emoji119][emoji119][emoji119]hebu tufumbue macho kiongozi
Jamaa amefungua mabano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma post #44.[emoji119][emoji119][emoji119]hebu tufumbue macho kiongozi
Namuamini ila hoja hiyo siiamini kutokeaHumwamini Ansbert Ngurumo au unataka kuvuta attention?
Kuna watu wanajifanya vipofu na viziwi, eti hajui Rostam ni naniBusiness Tycoon anayeambatana na Rais wa nchi yako Kila nchi anayoenda.
TRA anatambulika kama mlipa Kodi mkubwa?Business Tycoon anayeambatana na Rais wa nchi yako Kila nchi anayoenda.
Kawaulize TRA.TRA anatambulika kama mlipa Kodi mkubwa?
Nakuuliza wewe uliyemwita tycoon ambaye hayupo kwenye record yeyote.Kawaulize TRA.
Owky.Nakuuliza wewe uliyemwita tycoon ambaye hayupo kwenye record yeyote.
Sijaelewa kurudishwa nyumbani kulikua kuna benefit gani kwa Mayunga au ubalozi ni demotion ?Miaka ya nyuma sana. Baada ya vita ya Uganda. Kulikuwa na Jenerali Silas Mayunga. Akapelekwa kuwa Balozi Nigeria. Mseveni akaenda ziara Nigeria. Alipokuwa anawasalimia mabalozi hakuamini kumkuta Mayunga kule. Akamruka kumsalimia. Mayunga akaumia.
Baadaye akamwita wakakaa muda mrefu akimuuliza kilichomfanya akapelekwa Nigeria kuwa balozi.
Wanasema alipomaliza ziara haikuchukua muda Mayunga akarudishwa nyumbani.
Hivyo kutomsalimia mtu kunaweza kukawa kwa nia nzuri kabisa.
Tuna deal na kilichopo mezani na siyo hisia za wapambe wa Makonda. Hivi mnalipwa ngapi kumterea Zerobrain?Aliyeleta mada ametuma njia isiyokidhi,angetumia video na aonyeshe Toka wameingia na mpaka wanaachana,unafeli wapi,unadhani umesimama kumbe kifudifudi!
Anatambulika TRA kama mlipakodi mkubwa namba ngapi?A Tanzanian billionaire, vipi we kajamba Nani??
Endelea kuji chekeshaAnatambulika TRA kama mlipakodi mkubwa namba ngapi?
Jibu swali.Endelea kuji chekesha
Roma na Stamina.Who is Rostam by the way!!
Sema kwanza ni kweli au siyo kweli?Kwa mkwere hiyo ni kero ndogo sana aisee
Huyo Azizi Rostam ataumia yeye na moyo wake!
Kwani ni lazima wote wamjue Rostam blaza. Au unadhani Rustam ni yesuKuna watu wanajifanya vipofu na viziwi, eti hajui Rostam ni nani
Wewe unayejua kufuatilia na kujua mengi tuhabarishe mkuu hili ni jukwaa la kuelimishana piaUle ubunge wa Igunga na uweka hazina wa chama unafikiri alivitoa wapi.
Unajua huyo muajemi hela aliipata kipindi gani? Muwe mnafuatilia mambo.
Hata Yesu sio kila mtu anamjua but kola mjf anamjua RostamKwani ni lazima wote wamjue Rostam blaza. Au unadhani Rustam ni yesu