TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
Maskini jk hata kwenye autography hajaandikwa wala kutajwa😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PorojoNimesikiliza wasilisho la Ansbert Ngurumo kwenye Online TV akidai kuwa Rostam aliwapa mkono waombolezaji wote waliokaa mbele na kumruka Kikwete kwenye msiba wa Lowasa huko Monduli.
Mliokuwepo ni kweli jambo hili lilitendeka?
Punguza bangi wewe....ina maana hukuiona hiyo taarifa,afu usinitishe kindezi hivyo....Kijana jishikilie shobo zitakutoa utu
Eti yule gabachori wa wa kiirani anayeifilisi nchi kwa kuwanunua viongozi wetu.
Siyo matembele peke yake, na ming'oko kabisa 😆😆wewe utamuita gabachori utamuita muhindi utamuta majina yote ya dharau lakini ujue mwenzako ndie anaekula keki ya taifa hili mda woote weww unakula matembele
Mbona Jk nae ana pesa mingi tyuuh.Rostam ni Bilionea
Jk ni .......[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] utumishi wa umma ni shida ,mwisho wa mwezi
Ungekua unafuatilia safari za mama ungejua Rostam ni Nani.Who is Rostam by the way!!
Sasa anawezaje kumuuliza ilo swali wakati anateuliwa kuwa balozi huko yeye hakuusika kwenye uteuzi?Miaka ya nyuma sana. Baada ya vita ya Uganda. Kulikuwa na Jenerali Silas Mayunga. Akapelekwa kuwa Balozi Nigeria. Mseveni akaenda ziara Nigeria. Alipokuwa anawasalimia mabalozi hakuamini kumkuta Mayunga kule. Akamruka kumsalimia. Mayunga akaumia.
Baadaye akamwita wakakaa muda mrefu akimuuliza kilichomfanya akapelekwa Nigeria kuwa balozi.
Wanasema alipomaliza ziara haikuchukua muda Mayunga akarudishwa nyumbani.
Hivyo kutomsalimia mtu kunaweza kukawa kwa nia nzuri kabisa.
Kwani lazima?Nimesikiliza wasilisho la Ansbert Ngurumo kwenye Online TV akidai kuwa Rostam aliwapa mkono waombolezaji wote waliokaa mbele na kumruka Kikwete kwenye msiba wa Lowasa huko Monduli.
Mliokuwepo ni kweli jambo hili lilitendeka?
How many presidents of tz has he made!?..jakaya was long known to become the presidentHe made JAKAYA KIKWETE the fourth president (kingmaker)
"7 companies owned by Tanzania's first billionaire Rostam Aziz" 7 companies owned by Tanzania's first billionaire Rostam AzizNakuuliza wewe uliyemwita tycoon ambaye hayupo kwenye record yeyote.