Je, ni kweli kuwa Rostam aligoma kumpa mkono wa Salamu Jakaya Kikwete?

Sijaelewa kurudishwa nyumbani kulikua kuna benefit gani kwa Mayunga au ubalozi ni demotion ?
 
Aliyeleta mada ametuma njia isiyokidhi,angetumia video na aonyeshe Toka wameingia na mpaka wanaachana,unafeli wapi,unadhani umesimama kumbe kifudifudi!
Tuna deal na kilichopo mezani na siyo hisia za wapambe wa Makonda. Hivi mnalipwa ngapi kumterea Zerobrain?

Makonda anabakia ni mhalifu mwenye bahati hadi siku atakayokutana na hakimu kujibu tuhuma za mauaji na utekaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…