Je, ni kweli kuwa ulimwengu huu ni kifungo cha nafsi?

Je, ni kweli kuwa ulimwengu huu ni kifungo cha nafsi?

Ok,sasa kwa kuwa umeliona kama unalifahamu naomba utusaidie tunamanisha kitu gani hasa tukisema "jicho la tatu"
Jicho la tatu hii ni nafsi yako /roho the true you.
 
Kuhusu namna ya kufungua third eye chakra hata hapa JF kuna thread mbali mbali zinazoongelea swala hilo
Hata YouTube kuna video kadhaa ambazo zinatoa mwongozo wa njia rahisi ya kufungua jicho la tatu.
Mi nakushauri meditate tu..... Kupitia meditation basi hata hilo jicho la 3 litafunguka pia na utapata kujitambua maradufu na kujua mengi sana ambayo ulikuwa ukidhani ni miujiza kumbe ni vitu vya kawaida tu.....
Ok,ngoja nifuatilie lakini kuna kitu napenda ujifunze,kuna post liweka in english ya mambo ya out of body experience,conclusion ilikuwa there is nothing to gain from it,you can not learn anything from it.Sasa hata hizo meditation zisizo za kimungu hamjifunzi chochote ndiyo maana hata hapa umeshindwa kutujibu unataka twende tufanye wenyewe ili na sisi tukamatwe kama mlivyokamatwa nyie na tusiamini kuna Mungu.Naenda you tube nitakujuza,biblia inasema "mioyo ina macho" sijui kama unajua?Soma efeso 1:18,nimekupa mfano tu jinsi biblia ilivyosheheni mambo ambayo wasomi na wanaojiona wana akiri wanaweza wasiyajue.
Pia biblia inasmea mwezi una mwanga mdogo,wanasayansi wanasema mwezi hauna mwanga wake.Je nani ni sahihi kati ya mwanadamu na Mungu?
Primary hado o-level tunafundishwa jua ni stationary,aningia A-level sikumbuki ni kitabu gani cha physics possible university Physics(UP),Nelkon &Perker au Roger Muncaster wanasema kwenye topic ya wave to be more specific "Doppler effects" wanasema the sun is moving however with a very slow speed to be noticed.Science is fully of assumptions.
Je unajua kama magharibi kwako ni Mashariki kwa wengine?Jua likizama unapoishi linazama Magharibi lakini likiwa linazama kwako maana yake linakuwa linachomoza kwa wengine walioko upande wa pili wa dunia.How come upande mmoja uwe ni magharibi na mashariki?Kuna kitu kinaitwa "the four agreements" ,mambo mengi wanadamu tunafanya ni makubaliano , mengine inawezekana si sahihi bali tunakubaliana tu.
Ole wao wanao soma maandiko ili waikosoe injiri.
 
Nimejaribu kusoma Mara nyingi zaidi na kwa uelewa wangu nimekuwa na maswali zaidi kuliko majibu.kuhusu ulimwengu kama kila mtu ana fikra zake tofauti je anachofikiria ni sahihi? labda kila mtu akiishi kwa vile anavyoamini hakutakuwa na tatizo baadae?Mwisho wa huu ulimwengu ni nini kama kila mtu atafanya anavyotaka?
 
Kipi kinakufanya uamini katika bible wakati hata hiyo bible yenyewe imeandikwa na wanadamu.
Bible iko na Backslashes nyingi sana hata kwa macho tu unaiona
Mkuu swali ulilouliza nimeshamjibu Jimema,jitahidi kusoma post zingine pia ili tuwe on the sam page.
Kuandikwa na wanadamu si hoja,kwani wewe ulitaka aandike Mungu wakati Mungu ni roho na hufanya kazi na wanadamu.Fuatilia historia ya biblia ningekuletea tatizo niko busy na mengine makubwa zaidi kuliko haya maswali yenu.
For your record biblia imetumiwa kujua kwamba mahali Sahihi ulipo mlima Sinai,kama wewe na Christians wengine ambao mnadhani uko Misri ,mnatakiwa mjisogeze.Hii ni moja ya jambo ambalo inaonyesha biblia iko sahihi,nikusadie tu kwamba mlima Sinai pale ambapo Musa alipasua mwamba maji yakatoka uko Saudi Aarabia.Mlima huu ni eneo takatifu sasa ,kama ulikuwa hujui Wayahudi wanazuiwa sana kuingia Saudi Aarabia,lakini kama ni msomaji wa biblia Bwana aliwambai nchi yeyote watakayokanyaga atawapatia.Kama huwa haulali na unafuatilia kuna kipindi Wayahudi watu waliwashangaa kuitaka saudi Aarabia wakati hata population ya Saudi Arabia Wayahudi ni approximately zero.
Endeleeni kufungwa,mna macho lakini hamwoni mtasikia lakini hamtaelewa.Sasa kuna watu wanasema Mungu hakutimiza ahadi ya kuwapatia Isarel nchi yao lakini aliwapatia baba zao na akawaonya wakikosea atawatawanya katikati ya mataifa .hayo yalitokea,kuundwa kwa taifa la Israel tena ni kutimia kwa neno jingine la kurudishwa kutoka huko walikokuwa wametawanywa.Na hii ilitokea baada ya Hitler kufanya alichofanya.Mwenye masikio na asikie.
 
Ok,ngoja nifuatilie lakini kuna kitu napenda ujifunze,kuna post liweka in english ya mambo ya out of body experience,conclusion ilikuwa there is nothing to gain from it,you can not learn anything from it.Sasa hata hizo meditation zisizo za kimungu hamjifunzi chochote ndiyo maana hata hapa unshiundwa kutujibu unataka twende tufanye wenyewe ili na sisi tukamatwe kama mlivyokamatwa nyie na tusiamini kuna Mungu.Naenda you tube nitakujuza,biblia inasema "mioyo ina macho" sijui kama unajua?Soma efeso 1:18,nimekupa mfano tu jinsi biblia ilivyosheheni mambo ambayo wasomi na wanaojiona wana akiri wanaweza wasiyajue.
Pia biblia inasmea mwezi una mwanga mdogo,wanasayansi wanasema mwezi hauna mwanga wake.Je nani ni sahihi kati ya mwanadamu na Mungu?
Je unajua kama magharibi kwako ni Mashariki kwa wengine?Jua likizama unapoishi linazama Magharibi lakini likiwa linazama kwako maana yake linakuwa linachomoza kwa wengine walioko upande wa pili wa dunia.How come upande mmoja uwe ni magharibi na mashariki?Kuna kitu kinaitwa "the four agreement" ,mambo mengi wanadamu tunafanya ni makubaliano , mengine inawezekana si sahihi bali tunakubaliana tu.
Ole wao wanao soma maandiko ili waikosoe injiri.
Pole sana Aqua
Hapo inaonyesha ni kwa jinsi gani ulivyo na hofu. Kama una uhakika na unachokiamini hofu inatoka wapi??
Mi siwezi kukwambia kuwa labda ukimeditate itakuwa hivi na vile kwasababu tu sitaki kuwa Muongo, pale ni ufahamu wako wewe sasa mi ntaujuaje??
Ile sio kama kukariri verse za kwenye Bible lile ni swala la wewe kufungua ufahamu wako binafsi.
Hiyo post niliisoma ila niliamua kuiacha kwavile uliongea kitu usichokijua kabisa hivyo sikupenda kupoteza muda wangu
 
Nimejaribu kusoma Mara nyingi zaidi na kwa uelewa wangu nimekuwa na maswali zaidi kuliko majibu.kuhusu ulimwengu kama kila mtu ana fikra zake tofauti je anachofikiria ni sahihi? labda kila mtu akiishi kwa vile anavyoamini hakutakuwa na tatizo baadae?Mwisho wa huu ulimwengu ni nini kama kila mtu atafanya anavyotaka?
Ndio kila utakachokifanya kitakuwa sahihi kwasababu hatutaenda against of nature.
Swala sio kutenda kile unachokifikiri bali kuutafuta ukweli.
Na ukweli huu hauwezi kukuletea matatizo kwasababu utakuwa umeamka, umekuwa na upendo wa kweli na wala sio upendo unaosababishwa na hofu. Kweli itakuwa ndani yako
Ulimwengu hauna mwisho mkuu
 
Pole sana Aqua
Hapo inaonyesha ni kwa jinsi gani ulivyo na hofu. Kama una uhakika na unachokiamini hofu inatoka wapi??
Mi siwezi kukwambia kuwa labda ukimeditate itakuwa hivi na vile kwasababu tu sitaki kuwa Muongo, pale ni ufahamu wako wewe sasa mi ntaujuaje??
Ile sio kama kukariri verse za kwenye Bible lile ni swala la wewe kufungua ufahamu wako binafsi.
Hiyo post niliisoma ila niliamua kuiacha kwavile uliongea kitu usichokijua kabisa hivyo sikupenda kupoteza muda wangu
Mtu anaye mwamini Mungu hana hofu zaidi ya kuwa na hofu ya Mungu(Kuweni na hofu ya Mungu msitende dhambi) kuna tofauti ya kuwa na hofu na kuacha kufanya kitu,kama nimejieleza nina hofu nimekosea.Meditation za kimungu sina hofu nazo ila hizo zenu za elimu ya kibinadamu ziwezi kuzifanya kwani naweza fungua milango,si wewe mwenyewe umekuja hapa uliota umekuwa nyoka.Maana yake nafsi yako inaweza wekwa kwenye mwili wa nyoka na nilkuambia maana yake hauna ulinzi your vulnerabla ila kwa sababu umefungukwa na hutaki kupokea elimu mpya that is why you are who you are.
 
Ok,sasa kwa kuwa umeliona kama unalifahamu naomba utusaidie tunamanisha kitu gani hasa tukisema "jicho la tatu"
Bwana yu nawe siku zote. Haiwezekani mkawa wawili.
 
Mtu anaye mwamini Mungu hana hofu zaidi ya kuwa na hofu ya Mungu(Kuweni na hofu ya Mungu msitende dhambi) kuna tofauti ya kuwa na hofu na kuacha kufanya kitu,kama nimejieleza nina hofu nimekosea.Meditation za kimungu sina hofu nazo ila hizo zenu za elimu ya kibinadamu ziwezi kuzifanya kwani naweza fungua milango,si wewe mwenyewe umekuja hapa uliota umekuwa nyoka.Maana yake nafsi yako inaweza wekwa kwenye mwili wa nyoka na nilkuambia maana yake hauna ulinzi your vulnerabla ila kwa sababu umefungukwa na hutaki kupokea elimu mpya that is why you are who you are.
Hofu ni hofu tu mkuu hebu acha kujustify basi
Hofu ya kutenda dhambi
Hofu ya moto
Hofu ya Mungu
Na hofu ya kudanganywa na shetani
Hizo zote ni hofu.

Sasa matokeo yake mnakuwa na nidhamu ya uoga.
Badala ya kuacha kufanya kitu kwasababu si kizuri mtu ataacha kukifanya kitu hicho kwasababu anaogopa na hiyo ndo hupelekea watu wengi kuishi maisha ya kinafiki.
Naomba kujua elimu mpya ni ipi??
 
soma kwa umakini ninayoyaandika,neno la Mungu lina uhai,biblia si kitabu cha kusoma kama kitabu kingine tena ukitumia akiri zako za kibinadamu kureason utapotea.Mapungufu unayoyaona au kusema ni mapungufu yanasababishwa na uelewa wetu wanadamu kuhusu neno la Mungu,natamani ningekutana na wewe physically ila ulisema uko nje ya Tanzania.Biblia haijipingi ila mwanadamu anaweza akajipinga katika ufahamu wake.Hicho unachokisema biblia inajipinga kimesababisha wakristo wengi wasiosoma maandiko wahamie kwa mungu mwingine wakidhani Mungu ni mmoja.Adui amekuwa akitumia biblia au mistari ya biblia kupoteza wakristo ambao hawajawekeza katika kumjua Mungu wao.
Ukiacha kuamini biblia kama neno la Mungu,ukiangalia aliyofanya Yesu hata wafuasi wake leo wanafanya na hii ndivyo inavyotakiwa kwa Mungu aliye wa kweli ,matendo yake hayatakiwi kufa akifa nabii au mtume.Kanisa la kwanza walitenda miujiza hata leo ipo,waliponya wagonjwa hata leo wagonjwa wanaponywa,pepo wanatolewa hata leo.Hii ni tofauti kwa imani zingine this is not the case.
Kwa mfano kuna sehemu Yesu aliwaambia wayahudi kwamba Mussa kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu aliwaambia.....Labda toa mifano ya sehemu ambapo inajipinga kama nikiwa na uwezo wa kukuelimisha au wengine wenye ufahamu watakusaidia.
Mojawapo najua ni issue ya pombe,nakumbuka baadhi ya thread.Taja jambo jingine
Kwahiyo mheshimiwa unapotutaka tusome biblia bila kutumia akili zetu unataka tutumie za ng'ombe au kasuku?
 
Nimejaribu kusoma Mara nyingi zaidi na kwa uelewa wangu nimekuwa na maswali zaidi kuliko majibu.kuhusu ulimwengu kama kila mtu ana fikra zake tofauti je anachofikiria ni sahihi? labda kila mtu akiishi kwa vile anavyoamini hakutakuwa na tatizo baadae?Mwisho wa huu ulimwengu ni nini kama kila mtu atafanya anavyotaka?
Kwa jinsi nilivyoelewa... ni kwamba kama mtu akijitambua na kuielewa kweli iliyo ndani yake ni uhakika uliokamilika kuwa ndani ya mtu huyo kutakuwa na UPENDO. na upendo siku zote hutoka ndani ya mtu bali si nje, na ukiwa na upendo kamwe hutokuwa mtu wa lawama lawama kama thread inavyoelezea. lakini kama utaweza kuchunguza kwa umakini unaweza ukaniambia kama ni kweli huu upendo unaohubiriwa kila siku je tunautenda? je tunauishi? je unaonekana?... hivyo basi kuwahubiri watu wapendane ni kitu kilichoonekana kimeshindikanika... zaidi zaidi ni watu kuigiza UPENDO...JE unajua ni kwanini?
hivyo basi upendo wa kweli hutoka ndani yako mwenyewe... maana humo ndimo kuliko na kweli yako!
 
Mkuu swali ulilouliza nimeshamjibu Jimema,jitahidi kusoma post zingine pia ili tuwe on the sam page.
Kuandikwa na wanadamu si hoja,kwani wewe ulitaka aandike Mungu wakati Mungu ni roho na hufanya kazi na wanadamu.Fuatilia historia ya biblia ningekuletea tatizo niko busy na mengine makubwa zaidi kuliko haya maswali yenu.
For your record biblia imetumiwa kujua kwamba mahali Sahihi ulipo mlima Sinai,kama wewe na Christians wengine ambao mnadhani uko Misri ,mnatakiwa mjisogeze.Hii ni moja ya jambo ambalo inaonyesha biblia iko sahihi,nikusadie tu kwamba mlima Sinai pale ambapo Musa alipasua mwamba maji yakatoka uko Saudi Aarabia.Mlima huu ni eneo takatifu sasa ,kama ulikuwa hujui Wayahudi wanazuiwa sana kuingia Saudi Aarabia,lakini kama ni msomaji wa biblia Bwana aliwambai nchi yeyote watakayokanyaga atawapatia.Kama huwa haulali na unafuatilia kuna kipindi Wayahudi watu waliwashangaa kuitaka saudi Aarabia wakati hata population ya Saudi Arabia Wayahudi ni approximately zero.
Endeleeni kufungwa,mna macho lakini hamwoni mtasikia lakini hamtaelewa.Sasa kuna watu wanasema Mungu hakutimiza ahadi ya kuwapatia Isarel nchi yao lakini aliwapatia baba zao na akawaonya wakikosea atawatawanya katikati ya mataifa .hayo yalitokea,kuundwa kwa taifa la Israel tena ni kutimia kwa neno jingine la kurudishwa kutoka huko walikokuwa wametawanywa.Na hii ilitokea baada ya Hitler kufanya alichofanya.Mwenye masikio na asikie.
Biblia iko kama katiba ya Tanzania vile..
Unakuta kifungu kimoja kinaonya, alafu kifungu kingine kinaidhinisha.

Hata uchukue Pastors waliosoma Biblia na kuona kuwa wameielewa, ukiwaambia watafsiri baadhi ya maneno utashangaa wanajikanganya na kila mtu kutoa maana yake tena zilizo tofautiana.

Ukiwauliza kuwa bible inanitatiza sijaielewa kabisa, utasikia wakisema "soma kiroho usitumia kusoma na akili ya kimwanadamu" sasa mlitaka nitumie akili gani labda?
 
Hii inawezekana ikawa kweli kwa sababu inasadikika Hii tuiitayo earth's surface siyo sahihi Bali tupo ndani ya dunia.Vitabu na baadhi ya watu waliofanikiwa kwenda Nje ya Dunia kupitia North pole wanadai huku ni ndani ya dunia(Hollow earth) .Ambapo jamii za siri zinajaribu kuficha hii kitu kwa kuuaminisha umma kuwa dunia hakuna kitu ka hicho .Admiral Bryd naye akaja na explorations zake kuwa Dunia ni physical multiple world yaani Ndani na nje kote watu wanaishi .I mean katikati ya dunia kuna space na watu of more advanced technology wanaishi huko.Siri hii ilizimwa na watu wa jamii za siri .
 
Kwa jinsi nilivyoelewa... ni kwamba kama mtu akijitambua na kuielewa kweli iliyo ndani yake ni uhakika uliokamilika kuwa ndani ya mtu huyo kutakuwa na UPENDO. na upendo siku zote hutoka ndani ya mtu bali si nje, na ukiwa na upendo kamwe hutokuwa mtu wa lawama lawama kama thread inavyoelezea. lakini kama utaweza kuchunguza kwa umakini unaweza ukaniambia kama ni kweli huu upendo unaohubiriwa kila siku je tunautenda? je tunauishi? je unaonekana?... hivyo basi kuwahubiri watu wapendane ni kitu kilichoonekana kimeshindikanika... zaidi zaidi ni watu kuigiza UPENDO...JE unajua ni kwanini?
hivyo basi upendo wa kweli hutoka ndani yako mwenyewe... maana humo ndimo kuliko na kweli yako!
Upendo! sikufikiria kabla lakini kwanini kweli ya ndani ya nafsi ya mtu uje upendo tu? huoni kama nawe umetaka kila anayefikiria ulimwengu aje na majibu yako..hili ndo ulilomaanisha? Jimena.
 
Kwahiyo mheshimiwa unapotutaka tusome biblia bila kutumia akili zetu unataka tutumie za ng'ombe au kasuku?
Mkuu kuna mwalimu alitaka aonyeshe jinsi ambavyo alcohol si nzuri kwa mwanadamu.Akachukua glass mbili,moja akaweka maji na nyingine akaweka alcohol,kisha akaweka chambo(worms) kwenye glass zote mbili.Baada ya muda worms waliokuwa kwenye glass yenye alcohol walikufa.
Mwanafunzi mmoja baada ya kuona hilo jambo akasema,kwa kuwa worms wamekufa kwenye alcohol kwa hiyo nikinywa pombe worms hawataweza kuishi ndani yangu.Wataalam wa communication skilss husema "you should not worry about what you say or write,worry about how people are going to interpret it".
 
Ndio kila utakachokifanya kitakuwa sahihi kwasababu hatutaenda against of nature.
Swala sio kutenda kile unachokifikiri bali kuutafuta ukweli.
Na ukweli huu hauwezi kukuletea matatizo kwasababu utakuwa umeamka, umekuwa na upendo wa kweli na wala sio upendo unaosababishwa na hofu. Kweli itakuwa ndani yako
Ulimwengu hauna mwisho mkuu
Ulimwengu hauna mwisho! labda uko sahihi kwa unachoamini.Naomba nieleweshe kitu unaposema "Against of nature" ni nani anaamua kwamba "do this,or don't do that because it is against of nature? au chochote anachofanya binadamu ni sawa asili yake inamruhusu?
 
Biblia iko kama katiba ya Tanzania vile..
Unakuta kifungu kimoja kinaonya, alafu kifungu kingine kinaidhinisha.

Hata uchukue Pastors waliosoma Biblia na kuona kuwa wameielewa, ukiwaambia watafsiri baadhi ya maneno utashangaa wanajikanganya na kila mtu kutoa maana yake tena zilizo tofautiana.

Ukiwauliza kuwa bible inanitatiza sijaielewa kabisa, utasikia wakisema "soma kiroho usitumia kusoma na akili ya kimwanadamu" sasa mlitaka nitumie akili gani labda?
Mkuu kuna mtun nimemjibu,lakini nilitaka nikuambie kitu si kwamba unapokuwa unasoma akili yako haihusiki,issue ya kuambiwa kuomba roho mtakatifu akuongoze katika kusoma kwako ni ili usije ukaelewa ndivy sivyo.
Kwa mfano agano la kale liliongelea habari za watu kutahiliwa na ilikuwa mwanamume ambaye hajatahiliwa alionekana hajakamilika,lakini ndani ya biblia kuna andiko linasema "mioyo yetu itahiliwe" sasa unaweza wewe ukatahili moyo wako?
 
Back
Top Bottom