Je, ni kweli kuwa ulimwengu huu ni kifungo cha nafsi?

Je, ni kweli kuwa ulimwengu huu ni kifungo cha nafsi?

"Kwanza kabisa ningependa ndugu zangu tutambue ya kwamba sisi binadamu tupo katika ASTRAL, inamaana kwamba hakuna tofauti yeyote ile katika ulimwengu unaoonekana na usiooneka, Vitu ambavyo unaweza kuvijua au kuexperience wakati umekufa pia unauwezo wa kuvitambua sasa, hivyo basi jukumu ni lako kama utataka kuvijua sasa au hadi pale utakapoonja mauti."

Hapa naona logic inagoma na ukweli haupo!!
 
"Kwanza kabisa ningependa ndugu zangu tutambue ya kwamba sisi binadamu tupo katika ASTRAL, inamaana kwamba hakuna tofauti yeyote ile katika ulimwengu unaoonekana na usiooneka, Vitu ambavyo unaweza kuvijua au kuexperience wakati umekufa pia unauwezo wa kuvitambua sasa, hivyo basi jukumu ni lako kama utataka kuvijua sasa au hadi pale utakapoonja mauti."

Hapa naona logic inagoma na ukweli haupo!!
Sasa ili ujue kama kuna ukweli au hamna anza sasa kuutafuta ukweli
 
Sasa ili ujue kama kuna ukweli au hamna anza sasa kuutafuta ukweli

Definition ya neno 'ASTRAL' uliotoa hapo haifanani na zile za kwenye kamusi ya Kiingereza. Pili nini maana ya ulimwengu unaoonekana na usio onekana? Ninachojua mimi mpaka sasa kuna ulimwengu ambao ni physical, na ule ambao ni social ambao tume-construct sisi na tunaweza kuutolea scientific empirical evidence.

Halafu kama hakuna tofauti kati ya ulimwengu unaoonekana na ule usio onekana kwa definitions zako ambazo haujatuambia sasa kuna point gani ya kutaka kutofautisha? Scientifically, kwenye physical world kuna vitu hatuvioni au ku-feel kwa kutumia senses zetu ila tunavifahamu kwa kutumia scientific tools kama microscopes, Hubble telescope. Na pia kuna vitu hatuvioni ila tunasikia effects zake mfano upepo na tunatumia instruments kupata uhakika.

Iweje mwili ambao una systems za ku-experience mambo yaliopo kwenye physical na social world baada ya kufa na systems zote kuzimika na biodegradation/ decomposition kukamilika ndani ya karibu mwaka mmoja baada ya kufa zifanye kazi? Au iweje mtu u-experience death wakati ukiwa hai na kinyume chake pia?

Sasa ili tuutafute ukweli unaotuambia hupo tupatie known and agreed scientific methodology and methods ili to replicate unayotuambia otherwise this is a mere hallucination!
 
Definition ya neno 'ASTRAL' uliotoa hapo haifanani na zile za kwenye kamusi ya Kiingereza. Pili nini maana ya ulimwengu unaoonekana na usio onekana? Ninachojua mimi mpaka sasa kuna ulimwengu ambao ni physical, na ule ambao ni social ambao tume-construct sisi na tunaweza kuutolea scientific empirical evidence.

Halafu kama hakuna tofauti kati ya ulimwengu unaoonekana na ule usio onekana kwa definitions zako ambazo haujatuambia sasa kuna point gani ya kutaka kutofautisha? Scientifically, kwenye physical world kuna vitu hatuvioni au ku-feel kwa kutumia senses zetu ila tunavifahamu kwa kutumia scientific tools kama microscopes, Hubble telescope. Na pia kuna vitu hatuvioni ila tunasikia effects zake mfano upepo na tunatumia instruments kupata uhakika.

Iweje mwili ambao una systems za ku-experience mambo yaliopo kwenye physical na social world baada ya kufa na systems zote kuzimika na biodegradation/ decomposition kukamilika ndani ya karibu mwaka mmoja baada ya kufa zifanye kazi? Au iweje mtu u-experience death wakati ukiwa hai na kinyume chake pia?

Sasa ili tuutafute ukweli unaotuambia hupo tupatie known and agreed scientific methodology and methods ili to replicate unayotuambia otherwise this is a mere hallucination!
Hapa naona kama mimi na wewe kuna mahali hatujaelewana au labda umeelewa nilichoongelea bali tu umeamua kuweka changamoto.
Sasa mi naweza kukwambia kuwa maswali yako yote majibu yake ungeyapata kama tu ungeamua kuamka na kuitafuta kweli
Nimefurahi kupata mchango wako mkuu Mwanamayu
 
Hakuna popobawa wala nini,
Ugumu tu wa maisha ndio unawafanya watu wanahisi vitu visivyokuwepo kuna ambao wamemuona mpaka Nyerere kwenye miti

For real. Stress za maisha zinasababisha watu kujenga taswira ya vitu visivyokuwepo.

Nawashangaa hadi kesho waliomuona Nyerere kwenye muembe.
 
For real. Stress za maisha zinasababisha watu kujenga taswira ya vitu visivyokuwepo.

Nawashangaa hadi kesho waliomuona Nyerere kwenye muembe.
Hahahahahaha hivi hilo swala la kumuona Nyerere kwenye miti limeishia wapi?? Maana sasa hivi naona kimya kabisa hakuna anaeliongelea
 
Duh sijui nimechelewa wapi kuisoma hii mada.

Hivi hiyo siku ya mwisho Mungu atashindwa kabisa kuwasamehe Waliomkosea??

Atawachukua walio wema na kukaa nao katika ufalme wake?

Wengine atawaingiza motoni na kuwaunguza milele bila huruma???
 
[QUOTE="Jimena, post: 17041805, member: 294409"ji3] [emoji3] [emoji3]
Kitu kikubwa ni kujitambua, kujua wewe ni nani? Na ukishatambua kweli basi hutohitaji kutumia nguvu nyingi katika maswala yako, kwasababu tayari utakuwa unaijua kweli,[/QUOTE]
Hiyo kweli unaijuaje sasa? Unajua kutoa darasa au kuelezea tatizo bila solution inakuwa ni kazi bure. What We need now is how can We get that knowledge?
 
Hivi kipimo cha ukweli wa jambo ni kipi?
Tunawezaje kujua ukweli wa jambo?
 
Duh sijui nimechelewa wapi kuisoma hii mada.

Hivi hiyo siku ya mwisho Mungu atashindwa kabisa kuwasamehe Waliomkosea??

Atawachukua walio wema na kukaa nao katika ufalme wake?

Wengine atawaingiza motoni na kuwaunguza milele bila huruma???
Hakuna cha moto wala nini
 
Back
Top Bottom