Je, ni kweli kuwa Wayahudi walikuwa weusi?

Hapa kwenye Judah unanichanganya kidogo. Unaposema Judah una maanisha mji au kijiji au ?

Hapa naomba ufafanuzi kidogo.
Hahahah mkuu huwa uko deep sana naamini hii story unaijua ila sijafahamu kuna mtego gani umeniandalia....

Anyway Judah ilikuwa ni kabila waisrael ambalo lilitokana na mtoto mmoja wa Yakobo alieitwa Judah ambao ukapewa jina la mji walioishi watoto wake however baada ya Israel kugawanyika mmoja ya makabila mawili yaliyobaki Israel ya kusini ilikuwepo majority ni kabila la Judah hivyo ufalme wao ukaitwa JUDAH na hivyo judah ukatoka kuwa mji hadi kuwa nchi kamili yenye utawala wa mfalme wa kwanza aliyeitwa Rehoboam.

And the rest is history.....
 
Mkuu nakupa kongole kubwa mno, umetisha sanaaa.
 


Naona umechomoka kaka mkubwa.

Nakuja....
 

Hapa natilia mkazo hata ukija kusoma kitabu kiitwacho "Definition of Arab" utayaona haya,kwamba uarabu unaangaliwa kwa sampuli mbili ya kilugha na kinasaba.

Yeyote ambaye lugha mama yake ni kiarabu basi na yeye ni muarabu yaani huitwa muarabu.

Ndio maana kuna watu au wasomi waliotoka afrika nchi kama Habashi ya kale,Mali,Bukinafaso na kwingine wote maadamu walihamia huko na wakazaliwa huko kwa maana ya wazazi wao kuwepo huko nchi zinazo ongea lugha ya kiarabu na wao huitwa waarabu kilugha.

Hili swali au maelezo kama haya nilitaka kumuuliza mtoa mada nikaghafilika.
 

[emoji481][emoji482] kunywa hiyo kwa kulijua hilo la kunipotezea

Ila kesho usirudie kuniita mimi piece of nini.....!? Utanioga[emoji939]
 
Mkuu nakupa kongole kubwa mno, umetisha sanaaa.
Kiongozi wewe ndio Unatisha! haya Maswali sijui huwa mna yatoa wapi wewe na Athenian Zitto jr.? Yanafikirisha sana! Yanawazisha na kuleta maana ya kuu ya Maisha na tofauti zetu! Thanks Malcom Lumumba keep posting sir.
 
wale waisrael waliotoka Misri walikua colored.......


hata wakat wa kuzaliwa kwa Yesu pia, bado wazazi wake walikua colored.........


hata wamisri nao walikua colored na sio waarabu tunaowaona leo!............


sishangai kwann leo wamisri ni wekundu, kama ambavyo sishangai kwann libya, algeria, tunisia, palestina, israel na morocco ni wekundu............


ukitaka kuanza kufumbua fumbo la kwanm waisrael wa leo wako tofauti na wale wa kale, kwanza anza kufumbua fumbo kwann kaskazini mwa afrika kuna watu wasio colored kama walivyokua watu wa miaka 2000 iliyopita!!!

afrocentric views VS eurocentric views........
 
huko kwa nebukadreza hakukuwa na watu wekundu (mnawaita weupe japo sio weupe).....

watu wa kule walikua colored....... nenda india vijijin utaona wenyeji wengi ni colered!.....


ngozi hii colored kuna watu may b (wana/wali)taka kuipoteza!...... hizo juhudi mpk leo zipo!
 

Kila mwafrika anajitahidi kua jew!

Unasikia sijui Tutsi wanajiita jews,sijui Chagga wanajiita jews,sijui Kikuyu wanajiita jews,etc

We are Africans,niggaz stop this madness!

Hata kama whatever the case,zamani ulikua Jew,who cares?You are now Africans!

Be proud of Africa,stop kissing jews asses!

They dont like us anyway,f.uck em!
 
nadhan tatzo ni kwamba hii race yetu imeshushwa chini kiasi kwamba tunaona hatuna thamani mbele za Mungu!!!!


hata upande wa wenzetu waislamu nao, kuna tatzo la kuona mwarabu ndio mwenye dini, kwaio wao inabidi waishi kama mwarabu, waongee kama mwarabu, wavae kama mwarabu!!........ bila kujua kwamba mwarabu anavaa vile kwa sababu ya joto huko kwao!


Mungu atupe neema weusi tujitambue, hakika hatutakua watumwa wa hawa ngozi nyeupe kiasi cha fikra zetu kuathiriwa na wao!
 
nadhan tatzo ni kwamba hii race yetu imeshushwa chini kiasi kwamba tunaona hatuna thamani mbele za Mungu!!!!

Tuko deprived mpaka aina ya deity..wametupa deity wao ambae ni white na sisi tukakubali..We accepted and worship our oppressors God..

Tuachane na ujinga wa dini and god altogether...infact there is none to begin with....Delete everything!

Mungu atupe neema weusi tujitambue, hakika hatutakua watumwa wa hawa ngozi nyeupe kiasi cha fikra zetu kuathiriwa na wao!

Mungu yupi mzee baba?A white caucasian God representing a face of our own oppressor?

There is no God whatsoever!

No one has ever prove its existence ,and we can dismiss it with no evidence too!
 
Unaielewa vipi hii kauli "Kila yahudi ni ukoo wa Israeli,lakini si aliye katika ukoo wa Israeli ni yahudi"
Israeli Kama ufalme kabla haujagawanyika ulikua umejumuisha makabila 12 likiwemo kabila la Yuda kwaio ni sawa Kila myahudi ni mwisraeli.....ukisoma baadae huu utawala uligawanyika katika falme mbili moja ukaitwa ufalme wa Yuda ukiwa una beba makabila mawili Benjamin na Yuda na mwingine ukabaki kuitwa ufalme wa Israeli ukiwa na makabila 10 yaliyobaki,baadae huu ufalme wa Israeli ulisambaratika na hayo makabila Mengine 10 Kama hayapo hivi Sasa, Bali ufalme wa Yuda uliendelea kuwepo na baadhi ni Hawa tunaowaona wamechanganyika Sasa na kuunda ilo taifa lao Tena.
 
Mada nzuri sana hii mkuu,hili swali nimekuwa najiuliza siku nyingi sana.Kama mama yake Ishmail(Babab wa Palestina) alikuwa Mwafrka wa Misri,ni kwa nini leo Wapalestina wote ni weupe hakuna hata chotara wa kiafrika?.Na kwa nini tuseme tu wayahudi ndio walistahili kuwa weusi na siyo wapalestina.
 
Nitumie bible. Kuna mstari kwenye biblia unasema "Je mkush/muethiopia anaweza kubadili rangi yake". Hii inatuonyesha kuwa waliokuwa wanaambiwa haya maneno walikiwa na rangi tofauti na wakush/waethiopia.
 
Yeremia 13:23 Mungu anawauliza Waisraeli baada ya kumuasi kuwa:
Je Mkushi(mtu mweusi) aweza kuibadili rangi yake??

Maana yake mpaka enzi za Yeremia Mtu mweusi ambaye alikuwa akitoka Ethiopia alijulikana kwa weusi wangozi yake na alikuwa tofauti na race ya Kiisraeli mpaka kuweza kumfanyia reference.

Lakini pia Biblia inamtaja mfalme Daudi kama mtu mwekundu wa ngozi, maana na alikuwa tofauti na wengine.
Maana yake Waisraeli pia hawakuwa wekundu kama wazungu.

Kwa hiyo basi huenda Muisrael ngozi yake ilikuwa chotara au ilikuwa ya njano(mtu wa mashariki ya kati).
 
1. Ham ni baba wa weusi lakini sio baba wa negroes au wabantu ambao wameshathibitika kisayansi kuwa ndio Waisrael halisi hasa wa kabila la Lawi (Walawi).
2. Wimbo Ulio Bora 1:5-6, Mfalme Sulemani anajitanabaisha kuwa mweusi. Kumbuka huyu ni Muisrael
3. Waarabu wa asili ni weusi...
4. Uyahudi ni kabila pia dini. Wa uzao wa Yuda. Waisrael ama Wayahudi wengi wa leo walianza kama dini lkn baadae wakasema wao ni wa damu; Ashkenazi Jews...Ukiiangalia Mwanzo 10:1-3 utagundua Ashkenazi ni kizazi cha Yafethi, mtoto wa mwisho wa Nuhu. Israel hatokani na Yafethi bali Shem. Lakini leo hao Wayafethi wa Ashkenazi ndio Waisrael kwa asilimia kubwa!
5. Yesu alikuwa mweusi na atarudi mweusi. Ukiusoma Ufunuo 1:14-15 unamtaja Yesu katika ujio wa pili; sifa ainishwa hapo ni sifa za mtu mweusi
6. Tukumbuke Yesu mweupe na Wayahudi weupe wameanza kuwa mashuhuri mwishoni mwa karne ya 16. Hapo nyuma masanamu yote ya kanisa yalikuwa ya watu weusi: kuanzia Yesu, Yosefu, Maria, Mitume wote n.k
7. Wajuvi watajazia
 
Neno Jews (wayahudi) si jamii Bali hii ni dini iliyoanzishwa na wana ukoo wa yuda kwa lengo la kumuabudu Mungu.
Baada ya wana wa Israeli kutawanyika kila pande za dunia, hiyo dini ikabaki haina mwenyewe, jamii mbali mbali zikaiga desturi zake nayo ikatawanyika huko ulaya, uturuki, marekani, urusi, ethiopia na irani ikapata wafuasi wapya.

Mtu yeyote toka pande zozote za dunia awe, mchina, mwarabu,mwafrika au mzungu akiwa mfuasi wa dini ya wayahudi ataitwa myahudi, haijalishi yeye ni muisraeli(damu ya yakobo) au laa.

Wale wayahudi wanaoitwa walowezi huko palestina ni wazungu toka ulaya na niwahumini wa dini ya wayahudi.
Hata Mimi Leo hii nikiwa muumini wa dini ya kiyahudi nitaitwa myahudi. pia naweza nikajiita muislamu,mkiristo au mpagani kama nikipenda.

Kwa hiyo mtu kuitwa myahudi haina mahusiano yoyote na damu ya yuda au wana wote wa yakobo.

Hata biblia inatambua hilo;

Ufunuo wa yohana 2:9

najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni wayahudi, nao sio, bali ni sinagogi la shetani.

Akaendelea kusisitiza tena

ufunuo wa yohana 3:9

Tazama nakupa walio sinagogi la shetani wasemao kwamba ni wayahudi nao sio, bali wasema uongo.

Tusomeni maandiko.

"" watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa""
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…