Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ambayo hawapati wenye damu group ONini hiyo????
Jamani na mie Nina O- sijaugua sasa na miaka kama 5 no malaria yaani hadi huwa nahisi kama mashine mbovu kila nikipima.
I just thank God
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Hao walio kuambia wamekudanganya. Mm baba yangu alikuwa na group O+ alipatwa na huo ugonjwa wakati unaingia Tz na alifariki 1991 kwa huo ugonjwa. Ila ninacho jua mm mtu mwenye group hilo dalili za magonjwa zinaonekana mapema kuliko makundi mengine ya damu.
Mi mwanzo nilizani nina group '0' kumbe nina group b namshukulu MNGU kwani sijawahi kulazwa malelia ninaugua malamojamoja inaweza kupitahata miaka mitatu naninaweza nikakaanayo hata wiki sijanywa dawa na ikaponatu. je namimihapo ninasaidiwa na nini?
Forget it.Only group O- which is very rare,na sio kwamba hawapati HIV ila wako very resistant kwa vijidudu viletavyo magonjwa ikiwemo virus na watu wanaamini au tunadanganya hawapati ukimwi,mm sio daktari ila nilielezwa na rafiki ambae ni daktari
Sijakuelewa Mkuu!
duuuh hii kali ya wakali sasa utatupoteza mkuu:A S shade:Forget it.
People with Blood Group O are inherently immune to HIV infection.
Fact.
Your only worry in this world ni kaswende, how lucky!
So you take your rangimbili as prophylaxis and enjoy the game!