Je, ni kweli kwamba mtu mwenye damu group 'O' hapati UKIMWI?

Je, ni kweli kwamba mtu mwenye damu group 'O' hapati UKIMWI?

Habari wadau!

Nimekuwa nikisikia muda mrefu watu wakiongea kwamba mtu mwenye damu group O ni vigumu sana kupata Magonjwa mbali mbali ikiwemo ugonjwa hatari wa ukimwi!

Vile vile kuna ushahidi wa watu wawili ambao wamekaa kwenye ndoa kwa muda mrefu na kufiwa na wenzi wao ambao walifariki kwa ukimwi na wamezaa zaidi ya watoto wawili wawili na wao ni group O mpaka leo hawana ukimwi!
Naombeni wataalamu wa magonjwa na mahusiano katika damu wanisaidie kutatua swali hili!

Nawasilisha!

Vitu kama hivi ndiyo vilinifanya nisome pia na masomo ya sayansi japo mwanzoni interest zangu zilikuwa kusoma Art tu! Achana na elimu za vijiweni na saloon mkuu, utakufa ukingali mdogo kisa unajivunia group O! Soma vitabu vya sayansi uelimike mkuu elimu haina mwisho!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Aisee..si kwel kabsa kwamb group O hawapat HIV..haya maGROUP hayana kazi ktk kupamban na magonjw..they ar ther 2 make blood transfusion succesful...magonjwa yanapgwa na lymphocytes,,either by being engulfed or killed by antibodies...NOTE zat Antibodies are chemical substance produced by the body in response to foreign materials(Antigens) introduced in ze body..ukwel ndo huo,mwngne ni upotoshaji...daah i hav much 2 tell bt next time ndugu zangu..
 
Also nimewah kusom,ther ar some diseases which ar common to certain blood group..bt iyo haizuii group O frm being excluded kwa janga la HIV...na hata ivo HIV haikutajwa kweny hayo magonjw..any ABO blood group unapata HIV 2..hata kama BOMBAY BLOOD.. GROUP.
 
in humans, blood group O is the largest group, more bigger than the three others combined together and that explains why there is no problem of donors for this group.

Gumilapua,huwez amin,hilo group ni tatzo..unawez kukuta m2 anahtj damu O,alaf halpatkn..bora maGROUP mengne example group A,kama halipo hata O Ana2mika..tena usiombe uwe O negative,unaweza kufa wa2 wakikuangalia...also in all group with rhesus Negative ni adimu balaa..daah..
 
Kuna suala la antibodies kuwa watu wa aina hiyo sio rahisi kupata ukimwi je hii imekaaje? nilisoma makala kumhusu mama mmoja wa mtaa wa mabanda huko kibera kenya ambaye yeye na wenzake walikuwa wanafanya biashara ya ukahaba na wenzake wote walifariki ila yeye hakupata maambukizi na uchunguzi ukaonesha kuwa ana hizo antibodies, kwa mwenye kuzijua ni kitu gani?

Group O ana vi2 vinaitwa A anti-antibody na B anti-antibody...so they fight for A antigen and B antigen respectively..henc mak them impossible 2b transfused with other group.,as other group contain A antigen,B antigen...for more explanation ask me..i wil answr accordingly..now am tired..
 
Group O ana vi2 vinaitwa A anti-antibody na B anti-antibody...so they fight for A antigen and B antigen respectively..henc mak them impossible 2b transfused with other group.,as other group contain A antigen,B antigen...for more explanation ask me..i wil answr accordingly..now am tired..
ukipumzika njoo ujibu tafadhali pia naomba ureply with qoute ili nifatilie majibu yako, thanks in advance
 
No scientific proof.. am O rhesus factor (+) nishaumwa sna tu malaria i thnk hizo immune ni unusual circumstance one in a million!
 
MziziMkavu naomba unichambulie hii ni group yangu O[SUP]RH+
[/SUP]
 
Last edited by a moderator:
Also nimewah kusom,ther ar some diseases which ar common to certain blood group..bt iyo haizuii group O frm being excluded kwa janga la HIV...na hata ivo HIV haikutajwa kweny hayo magonjw..any ABO blood group unapata HIV 2..hata kama BOMBAY BLOOD.. GROUP.

Your way of writing is stinking, stop it immediately...!!
 
Unapoongelea blood group O ikiwa generally hivo si kweli maana wapo wene O Rh - ambao ndio wanahisiwa hivyo, na hawa inasemekana hawapati ukimwi ndiyo ila wanapata virusi vya ukimwi na hivi hukaa mwilini mwao tu na havina effect yoyote kwao, lakini wanaweza wakavisambaza kwa mtu mwingine na akaangamia vilevile.. Kwa jina rahisi unaweza ukawaita "Carrier" wanabeba tu lazima hawakoaffected.. Na kiukweli O Rh - ni wachache sana duniani, ni very rare kukutana na raia kama hawa hata ukienda hospitalini kuchukua data utakuta watu chini ya watano, kwa hiyo wawe waangalifu sana maana hata wakipata ajali ni mziki kupata damu ya hawa jamaa kwa ajili ya kuwaongezea..
 
Back
Top Bottom