Uchaguzi 2020 Je, ni kweli Lissu kasuswa na Mzee Edwin Mtei?

Uchaguzi 2020 Je, ni kweli Lissu kasuswa na Mzee Edwin Mtei?

Kuna jambo nimeliobserve toka Lissu arejee kutoka Ubelgiji kuhusu mahusiano kati yake na muasisi wa Chama Cha Chadema mzee Edwin Mtei

Baada ya kupitishwa na kuwa mgombea wa CHADEMA niliamini kungekuwa na matukio kadhaa yakionesha na kuashiria kukubalika kwa Lissu na mzee mtei hii ingeondoa ile dhana kuwa Chama hiki ni cha Kaskazini na cha kifamilia .Nilitarajia afike tengeru kusabahi familia ya mtei na kupokea baraka za muasisi wa chama.

Lissu alianza ziara za kujitambulisha kuwa amerudi na pia kupita kusaka wadhamini na moja ya mji aliotembelea ni Arusha na alifanya mkutano Arusha Mjini ambapo mzee mtei hakuhudhuria na baada ya hapo Lissu alienda Moshi na kutembelea kwa ndesamburo.

Ikumbukwe kuwa Mwaka 2015 Mzee Mtei alijitokeza kumlaki na kumuombea kura Lowassa.
Inawezekana pia kikwete kamsusia mtu yule kampeni
 

Attachments

  • 1599158419863.png
    1599158419863.png
    68.1 KB · Views: 3
Tokea amtukane Nyerere tena matusi mazito kabisa,

Mtei Hana hamu naye tena.
Mzee Mtei is a descent person ,state man hawezi kushabikia mtu mwenye mdomo kama Lissu . Anaehubiri kuwa miundombinu inayojengwa watanzania hatuihitaji. Anaepotosha kuwa watu hawajengewi uwezo kuendelea wakati wanasomeshewa watoto, wanapunguziwa mizigo ya kodi .Lissu ni mlaghai mchuuzi wa nchi .kamwe Mzee mtei aliefanya kazi na Nyerere hawezi kuwa Nan huyu mhuni .
 
Mzee mtei anamshangaa mbowe kukubali kumpitisha mgombea kimeo kama lissu,lissu hana mvuto wa kisiasa ni mropokaji tu na atagaragazwa vibaya mno.Mwaka huu wa uchaguzi chadema wana hali mbaya mno ndio maana mzee mtei hana raha kabisa.

Sasa kimbembe ni baada ya uchaguzi mkuu ambapo yule jamaa kutoka ubelgiji atakapotaka umwamba ndani ya chama,hapatatosha na yule hana simile na matokeo yake ni kufukuzwa chamani,muda utaongea.
 
Kuna jambo nimeliobserve toka Lissu arejee kutoka Ubelgiji kuhusu mahusiano kati yake na muasisi wa Chama Cha Chadema mzee Edwin Mtei

Baada ya kupitishwa na kuwa mgombea wa CHADEMA niliamini kungekuwa na matukio kadhaa yakionesha na kuashiria kukubalika kwa Lissu na mzee mtei hii ingeondoa ile dhana kuwa Chama hiki ni cha Kaskazini na cha kifamilia .Nilitarajia afike tengeru kusabahi familia ya mtei na kupokea baraka za muasisi wa chama.

Lissu alianza ziara za kujitambulisha kuwa amerudi na pia kupita kusaka wadhamini na moja ya mji aliotembelea ni Arusha na alifanya mkutano Arusha Mjini ambapo mzee mtei hakuhudhuria na baada ya hapo Lissu alienda Moshi na kutembelea kwa ndesamburo.

Ikumbukwe kuwa Mwaka 2015 Mzee Mtei alijitokeza kumlaki na kumuombea kura Lowassa.
Ukiwa humjui wala hujui kitu alikuja na porojo zako kwamba anazungumza sheria za first year ambazo hazijui! Ukiwa hujui kwamba hujui unaanzisha mipasho imagine hapa? 2015 huyo met alishiriki kampeni za CDm? Tunajua wewe ni mkubwa wa wajinga!
Mgufuli alipora KOROSHO kangomba wapo bado wanamsubir
 
Kuna jambo nimeliobserve toka Lissu arejee kutoka Ubelgiji kuhusu mahusiano kati yake na muasisi wa Chama Cha Chadema mzee Edwin Mtei

Baada ya kupitishwa na kuwa mgombea wa CHADEMA niliamini kungekuwa na matukio kadhaa yakionesha na kuashiria kukubalika kwa Lissu na mzee mtei hii ingeondoa ile dhana kuwa Chama hiki ni cha Kaskazini na cha kifamilia .Nilitarajia afike tengeru kusabahi familia ya mtei na kupokea baraka za muasisi wa chama.

Lissu alianza ziara za kujitambulisha kuwa amerudi na pia kupita kusaka wadhamini na moja ya mji aliotembelea ni Arusha na alifanya mkutano Arusha Mjini ambapo mzee mtei hakuhudhuria na baada ya hapo Lissu alienda Moshi na kutembelea kwa ndesamburo.

Ikumbukwe kuwa Mwaka 2015 Mzee Mtei alijitokeza kumlaki na kumuombea kura Lowassa.
Sisi Chadema tunatuma Maombi Maalum kwa Mgombea Urais wa CCM Mzee Daktari bingwa wa kemia duniani Bwana Magufuli Kukubali Kuwa na MDAHALO na Mgombea Urais Wa Chadema Kamanda Tundu Lissu ili Kushindanisha SERA na Mitazamo Yao kwa Nchi Yetu Live kwenye TV na Redio Zote za Duniani na Wananchi Wote Watasikiliza!:
 
Sisi Chadema tunatuma Maombi Maalum kwa Mgombea Urais wa CCM Mzee Daktari bingwa wa kemia duniani Bwana Magufuli Kukubali Kuwa na MDAHALO na Mgombea Urais Wa Chadema Kamanda Tundu Lissu ili Kushindanisha SERA na Mitazamo Yao kwa Nchi Yetu Live kwenye TV na Redio Zote za Duniani na Wananchi Wote Watasikiliza!:

Sera gan? hio mipasho ndo sera? ushawhi kuona PHD holder anafanya mipasho?
 
Mzee mtei anamshangaa mbowe kukubali kumpitisha mgombea kimeo kama lissu,lissu hana mvuto wa kisiasa ni mropokaji tu na atagaragazwa vibaya mno.Mwaka huu wa uchaguzi chadema wana hali mbaya mno ndio maana mzee mtei hana raha kabisa.Sasa kimbembe ni baada ya uchaguzi mkuu ambapo yule jamaa kutoka ubelgiji atakapotaka umwamba ndani ya chama,hapatatosha na yule hana simile na matokeo yake ni kufukuzwa chamani,muda utaongea.
Nasubiri hilo sakata kwa hamu
 
Mzee Mtei sasa ni zaidi 80s siasa za kipindi hiki haziwezi tena
 
Kuna jambo nimeliobserve toka Lissu arejee kutoka Ubelgiji kuhusu mahusiano kati yake na muasisi wa Chama Cha Chadema mzee Edwin Mtei

Baada ya kupitishwa na kuwa mgombea wa CHADEMA niliamini kungekuwa na matukio kadhaa yakionesha na kuashiria kukubalika kwa Lissu na mzee mtei hii ingeondoa ile dhana kuwa Chama hiki ni cha Kaskazini na cha kifamilia .Nilitarajia afike tengeru kusabahi familia ya mtei na kupokea baraka za muasisi wa chama.

Lissu alianza ziara za kujitambulisha kuwa amerudi na pia kupita kusaka wadhamini na moja ya mji aliotembelea ni Arusha na alifanya mkutano Arusha Mjini ambapo mzee mtei hakuhudhuria na baada ya hapo Lissu alienda Moshi na kutembelea kwa ndesamburo.

Ikumbukwe kuwa Mwaka 2015 Mzee Mtei alijitokeza kumlaki na kumuombea kura Lowassa.
Kwa umri aliona huyo mzee sasahivi anaweza kusimama jukwaani na kuongea? mbona mama Maria Nyerere hainde kwenye kampeni?
 
Back
Top Bottom