Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Seminari ipi ilimtuma Nyerere na kufanya nini? Lete ushahidi hapa kwa faida ya wote.Naona makada wa kijani wakishangilia utopolo humu jamvini!!!Kwani nyerere ni nani???SI KIBARAKA TU WA SEMINARI ALIETUMWA KUZUIA MSWAHILI HALISI ASISIMAMIE UPATIKANAJI WA UHURU WETU???SI ALIKARIBISHWA TANU TU TENA NA WAZEE AMBAO BADAE ALIAMUA WAFE KIMYA KIMYA KAMA WATU TU WASIO NA MCHANGO WOWOTE!!!WAZEE WA TANU WALIKUFA BILA KUTAMBULIWA NA TAIFA KAMA MASHUJAA!!!!Muwe na akili za kujua upande wa pili wa shilingi na sio kushangilia ujinga tu humu!!!
Kasome jesuit society na fabian sociaty kati yao nani alishinda kura za kusimamia transfomation ya tanganyika!!halafu jifunze kuhusu mtu huyu KAMBARAGE BURITO NYERERE na kwanini alibatizwa kuwa JULIUS halafu utapata fact!!!!PIA KAJIFUNZE HIZO SOCIETY MBILI NI ZA TAASISI GANI HAPA DUNIANI!!!!Nadhani umepata homework kaifanyie kazi!!!Seminari ipi ilimtuma Nyerere na kufanya nini? Lete ushahidi hapa kwa faida ya wote.
Pia tutajie hao wazee ambao walisahaulika. Una maanisha akina Mkwawa maana Hawa ndo wazalendo wa nchi hii
Na wewe ni mmoja wa mataahira ya Lumumba?mjifunze kujibu hoja acheni kupiga ramli, ndo maaana wananchi wanawapiga mawe
Wewe unaonaje ?Kwani mdahalo ndio utaleta maendeleo?
Pole sana Bro.Kasome jesuit society na fabian sociaty kati yao nani alishinda kura za kusimamia transfomation ya tanganyika!!halafu jifunze kuhusu mtu huyu KAMBARAGE BURITO NYERERE na kwanini alibatizwa kuwa JULIUS halafu utapata fact!!!!PIA KAJIFUNZE HIZO SOCIETY MBILI NI ZA TAASISI GANI HAPA DUNIANI!!!!Nadhani umepata homework kaifanyie kazi!!!
Na wewe ni mmoja wa mataahira ya Lumumba?
Umeandika kwa herufi kubwa kuweka msisitizo lakini Nyerere ni muasisi wa taifa.Naona makada wa kijani wakishangilia utopolo humu jamvini!!!Kwani nyerere ni nani???SI KIBARAKA TU WA SEMINARI ALIETUMWA KUZUIA MSWAHILI HALISI ASISIMAMIE UPATIKANAJI WA UHURU WETU???SI ALIKARIBISHWA TANU TU TENA NA WAZEE AMBAO BADAE ALIAMUA WAFE KIMYA KIMYA KAMA WATU TU WASIO NA MCHANGO WOWOTE!!!WAZEE WA TANU WALIKUFA BILA KUTAMBULIWA NA TAIFA KAMA MASHUJAA!!!!Muwe na akili za kujua upande wa pili wa shilingi na sio kushangilia ujinga tu humu!!!
Mlishakula laana enyi kizazi cha nyokaNaona makada wa kijani wakishangilia utopolo humu jamvini!!!Kwani nyerere ni nani???SI KIBARAKA TU WA SEMINARI ALIETUMWA KUZUIA MSWAHILI HALISI ASISIMAMIE UPATIKANAJI WA UHURU WETU???SI ALIKARIBISHWA TANU TU TENA NA WAZEE AMBAO BADAE ALIAMUA WAFE KIMYA KIMYA KAMA WATU TU WASIO NA MCHANGO WOWOTE!!!WAZEE WA TANU WALIKUFA BILA KUTAMBULIWA NA TAIFA KAMA MASHUJAA!!!!Muwe na akili za kujua upande wa pili wa shilingi na sio kushangilia ujinga tu humu!!!
Chadema walipotea sn kumchagua tundu lisu kugombea nafasi kubwa km hiyo.
Naona MATAGA mmeanzisha Uzi, alafu mnachangia wenyewe. Ukinga mtupu.
Mangi anahasira naye ,pesa haziingii kwenye saccos yake ,Lissu kaja kumletea hasara kwenye saccos yakeKuna jambo nimeliobserve toka Lissu arejee kutoka Ubelgiji kuhusu mahusiano kati yake na muasisi wa Chama Cha Chadema mzee Edwin Mtei
Baada ya kupitishwa na kuwa mgombea wa CHADEMA niliamini kungekuwa na matukio kadhaa yakionesha na kuashiria kukubalika kwa Lissu na mzee mtei hii ingeondoa ile dhana kuwa Chama hiki ni cha Kaskazini na cha kifamilia .Nilitarajia afike tengeru kusabahi familia ya mtei na kupokea baraka za muasisi wa chama.
Lissu alianza ziara za kujitambulisha kuwa amerudi na pia kupita kusaka wadhamini na moja ya mji aliotembelea ni Arusha na alifanya mkutano Arusha Mjini ambapo mzee mtei hakuhudhuria na baada ya hapo Lissu alienda Moshi na kutembelea kwa ndesamburo.
Ikumbukwe kuwa Mwaka 2015 Mzee Mtei alijitokeza kumlaki na kumuombea kura Lowassa.
[emoji107]Chadema walipotea sn kumchagua tundu lisu kugombea nafasi kubwa km hiyo.
[emoji107]Hajatoka kaskazini ndio shida
Vp yule aliyemtukana mama yake mzazi baada ya kufiwa na mume wake wawe pamoja namzee wa jogoo kupeana faraja ya ukubwaniTokea amtukane Nyerere tena matusi mazito kabisa,
Mtei Hana hamu naye tena.
Vp yule aliyemtukana mama yake mzazi baada ya kufiwa na mume wake wawe pamoja namzee wa jogoo kupeana faraja ya ukubwani, ile laana ya mzazi mwaka huu lazima aangukie pua,Lisu2020Heshima kwa waasisi wetu wa nchi...hivi ukijivika ujuvi wa kila jambo matokeo yake ndio haya.
"Je, ni kweli Lissu kasuswa na Mzee Edwin Mtei?"Kuna jambo nimeliobserve toka Lissu arejee kutoka Ubelgiji kuhusu mahusiano kati yake na muasisi wa Chama Cha Chadema mzee Edwin Mtei
Baada ya kupitishwa na kuwa mgombea wa CHADEMA niliamini kungekuwa na matukio kadhaa yakionesha na kuashiria kukubalika kwa Lissu na mzee mtei hii ingeondoa ile dhana kuwa Chama hiki ni cha Kaskazini na cha kifamilia .Nilitarajia afike tengeru kusabahi familia ya mtei na kupokea baraka za muasisi wa chama.
Lissu alianza ziara za kujitambulisha kuwa amerudi na pia kupita kusaka wadhamini na moja ya mji aliotembelea ni Arusha na alifanya mkutano Arusha Mjini ambapo mzee mtei hakuhudhuria na baada ya hapo Lissu alienda Moshi na kutembelea kwa ndesamburo.
Ikumbukwe kuwa Mwaka 2015 Mzee Mtei alijitokeza kumlaki na kumuombea kura Lowassa.