Uchaguzi 2020 Je, ni kweli Lissu kasuswa na Mzee Edwin Mtei?

Uchaguzi 2020 Je, ni kweli Lissu kasuswa na Mzee Edwin Mtei?

Kiheshima alipoenda Arusha alitakiwa kwenda kumekucha.Mzee Mtei ni Mwanzilishi wa Chadema

Kupita tu kupata baraka ya mzee kakosea
 
Naona makada wa kijani wakishangilia utopolo humu jamvini!!!Kwani nyerere ni nani???SI KIBARAKA TU WA SEMINARI ALIETUMWA KUZUIA MSWAHILI HALISI ASISIMAMIE UPATIKANAJI WA UHURU WETU???SI ALIKARIBISHWA TANU TU TENA NA WAZEE AMBAO BADAE ALIAMUA WAFE KIMYA KIMYA KAMA WATU TU WASIO NA MCHANGO WOWOTE!!!WAZEE WA TANU WALIKUFA BILA KUTAMBULIWA NA TAIFA KAMA MASHUJAA!!!!Muwe na akili za kujua upande wa pili wa shilingi na sio kushangilia ujinga tu humu!!!
Seminari ipi ilimtuma Nyerere na kufanya nini? Lete ushahidi hapa kwa faida ya wote.
Pia tutajie hao wazee ambao walisahaulika. Una maanisha akina Mkwawa maana Hawa ndo wazalendo wa nchi hii
 
Seminari ipi ilimtuma Nyerere na kufanya nini? Lete ushahidi hapa kwa faida ya wote.
Pia tutajie hao wazee ambao walisahaulika. Una maanisha akina Mkwawa maana Hawa ndo wazalendo wa nchi hii
Kasome jesuit society na fabian sociaty kati yao nani alishinda kura za kusimamia transfomation ya tanganyika!!halafu jifunze kuhusu mtu huyu KAMBARAGE BURITO NYERERE na kwanini alibatizwa kuwa JULIUS halafu utapata fact!!!!PIA KAJIFUNZE HIZO SOCIETY MBILI NI ZA TAASISI GANI HAPA DUNIANI!!!!Nadhani umepata homework kaifanyie kazi!!!
 
Kasome jesuit society na fabian sociaty kati yao nani alishinda kura za kusimamia transfomation ya tanganyika!!halafu jifunze kuhusu mtu huyu KAMBARAGE BURITO NYERERE na kwanini alibatizwa kuwa JULIUS halafu utapata fact!!!!PIA KAJIFUNZE HIZO SOCIETY MBILI NI ZA TAASISI GANI HAPA DUNIANI!!!!Nadhani umepata homework kaifanyie kazi!!!
Pole sana Bro.
Kila la heri
 
Naona makada wa kijani wakishangilia utopolo humu jamvini!!!Kwani nyerere ni nani???SI KIBARAKA TU WA SEMINARI ALIETUMWA KUZUIA MSWAHILI HALISI ASISIMAMIE UPATIKANAJI WA UHURU WETU???SI ALIKARIBISHWA TANU TU TENA NA WAZEE AMBAO BADAE ALIAMUA WAFE KIMYA KIMYA KAMA WATU TU WASIO NA MCHANGO WOWOTE!!!WAZEE WA TANU WALIKUFA BILA KUTAMBULIWA NA TAIFA KAMA MASHUJAA!!!!Muwe na akili za kujua upande wa pili wa shilingi na sio kushangilia ujinga tu humu!!!
Umeandika kwa herufi kubwa kuweka msisitizo lakini Nyerere ni muasisi wa taifa.

Asingeweza kumfurahisha kila mtu wakati nchi ikiwa bado ni changa.

Alikuwa na changamoto nyingi na za muhimu kutatuliwa, halafu aanze kuleta urafiki na kila mtu!.
 
Naona makada wa kijani wakishangilia utopolo humu jamvini!!!Kwani nyerere ni nani???SI KIBARAKA TU WA SEMINARI ALIETUMWA KUZUIA MSWAHILI HALISI ASISIMAMIE UPATIKANAJI WA UHURU WETU???SI ALIKARIBISHWA TANU TU TENA NA WAZEE AMBAO BADAE ALIAMUA WAFE KIMYA KIMYA KAMA WATU TU WASIO NA MCHANGO WOWOTE!!!WAZEE WA TANU WALIKUFA BILA KUTAMBULIWA NA TAIFA KAMA MASHUJAA!!!!Muwe na akili za kujua upande wa pili wa shilingi na sio kushangilia ujinga tu humu!!!
Mlishakula laana enyi kizazi cha nyoka
 
Lissu alishalaaniwa na mizozo inayomuandama ni matokeo ya kulaaniwa na wazee
 
Kuna jambo nimeliobserve toka Lissu arejee kutoka Ubelgiji kuhusu mahusiano kati yake na muasisi wa Chama Cha Chadema mzee Edwin Mtei

Baada ya kupitishwa na kuwa mgombea wa CHADEMA niliamini kungekuwa na matukio kadhaa yakionesha na kuashiria kukubalika kwa Lissu na mzee mtei hii ingeondoa ile dhana kuwa Chama hiki ni cha Kaskazini na cha kifamilia .Nilitarajia afike tengeru kusabahi familia ya mtei na kupokea baraka za muasisi wa chama.

Lissu alianza ziara za kujitambulisha kuwa amerudi na pia kupita kusaka wadhamini na moja ya mji aliotembelea ni Arusha na alifanya mkutano Arusha Mjini ambapo mzee mtei hakuhudhuria na baada ya hapo Lissu alienda Moshi na kutembelea kwa ndesamburo.

Ikumbukwe kuwa Mwaka 2015 Mzee Mtei alijitokeza kumlaki na kumuombea kura Lowassa.
Mangi anahasira naye ,pesa haziingii kwenye saccos yake ,Lissu kaja kumletea hasara kwenye saccos yake
 
Kweli tuwe makini na majina tunayowapa watoto. Yuda katika ubora wake
 
Mleta mada wewe ni mke wa mzee Mtei unajuaje kama hawajaonana?
Unajuaje huenda labda mzee Mtei hawezi mikiki ya kusimama majukwaani na kumnadi Lissu kutokana na umri wake.?
 
Heshima kwa waasisi wetu wa nchi...hivi ukijivika ujuvi wa kila jambo matokeo yake ndio haya.
Vp yule aliyemtukana mama yake mzazi baada ya kufiwa na mume wake wawe pamoja namzee wa jogoo kupeana faraja ya ukubwani, ile laana ya mzazi mwaka huu lazima aangukie pua,Lisu2020
 
Kuna jambo nimeliobserve toka Lissu arejee kutoka Ubelgiji kuhusu mahusiano kati yake na muasisi wa Chama Cha Chadema mzee Edwin Mtei

Baada ya kupitishwa na kuwa mgombea wa CHADEMA niliamini kungekuwa na matukio kadhaa yakionesha na kuashiria kukubalika kwa Lissu na mzee mtei hii ingeondoa ile dhana kuwa Chama hiki ni cha Kaskazini na cha kifamilia .Nilitarajia afike tengeru kusabahi familia ya mtei na kupokea baraka za muasisi wa chama.

Lissu alianza ziara za kujitambulisha kuwa amerudi na pia kupita kusaka wadhamini na moja ya mji aliotembelea ni Arusha na alifanya mkutano Arusha Mjini ambapo mzee mtei hakuhudhuria na baada ya hapo Lissu alienda Moshi na kutembelea kwa ndesamburo.

Ikumbukwe kuwa Mwaka 2015 Mzee Mtei alijitokeza kumlaki na kumuombea kura Lowassa.
"Je, ni kweli Lissu kasuswa na Mzee Edwin Mtei?"
Si kweli, kwa sababu hatuja sikia kauli ya mzee Mtei kama amemsusa Lissu, adi pale atakapo toa kauli hiyo.
 
Back
Top Bottom