Uchaguzi 2020 Je, ni kweli Lissu kasuswa na Mzee Edwin Mtei?

Uchaguzi 2020 Je, ni kweli Lissu kasuswa na Mzee Edwin Mtei?

Kwa maoni yangu ni kwamba mwl Nyerere hakuwa nabii na hata yeye mwenyewe alilitamka hilo.

"sisi sio malaika, katika uongozi wetu kuna yaliyokuwa mazuri, na mabaya pia yalikuwemo".

Sasa ikitokea mtu akimzungumzia mwl kwa yale ambayo hayakuwa mazuri katika uongozi wake nikumtukana, basi atakuwa anapingana hata na kauli ya yeye mwenyewe kwa hakuwa malaika.

Lakini kama mitazamo ya ukosoaji inatafsirika kama matusi, basi hata mwl mwenyewe alitukana watu.
Kwa mfano: "hatuwezi kuwa na rahisi ambao anaongoza kwa kufuata ushahuri wa mkewe, maana hatujui kesho mkewe atamshahuri nini".
Kama tukiitafsiri kauli hii kwa uasi kama inavyo fanyika kwa wengine. Je haikuwa tusi kwa mama Maria ambae watanzania tunamuheshimu kama mama wa taifa? Katika uongozi wa mwl mama Maria hakuwahi kumshahuri mwl? Ama alimshahuri lakini mwl alipuuza kwa kuwa ni ushahuri wa mwanamke?

Kuna mambo mwl aliyafanya kwa maneno na vitendo.
Kwa mfano: Mwl alikubali na kusaini mfumo wa vyama vingi, leo hii anakuja mtu anatamka kwamba "nita hakikisha ifikapo 2020 hakutokua na vyama vya upinzani".
"Ama nichagulieni wabunge na madiwani wa ccm hata kama hawafai".
Je tukitafsiri kwa uasi kauli hizi si itakuwa ni matusi na dharau kwa mwl Nyerere?

Kwa kuwa huu ni wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu, basi ni vyema tukaangalia mambo kwa mtazamo chanya bila kuingiza mihemko ya kisiasa.
 
mjifunze kujibu hoja acheni kupiga ramli, ndo maaana wananchi wanawapiga mawe
Hoja gani.hizo nazo ni hoja.yaani mtu akae ale mashudu uko avembewe aanze kutunga tunga maneno yake kuhusu watu na asiyoyajua wewe unaita hoja.
 
Kwa umri aliona huyo mzee sasahivi anaweza kusimama jukwaani na kuongea? mbona mama Maria Nyerere hainde kwenye kampeni?
Leo Mama Maria Nyerere ameenda kwenye kampeni
 
Lisu analaana binafsi ambayo anaiingiza katika chama nakjn chama kinapokea laana hiyo kwa mikono miwili.
Chadema inapata sana changamoto ya kupata wagombea hasa urais na kwa kipindi hiki wameona kiki ya kupigwa risasi inaweza kuwa njia bila kuangalia huyo mtu kweli anaweza kuwa rais
 
Lisu analaana binafsi ambayo anaiingiza katika chama nakjn chama kinapokea laana hiyo kwa mikono miwili.
Chadema inapata sana changamoto ya kupata wagombea hasa urais na kwa kipindi hiki wameona kiki ya kupigwa risasi inaweza kuwa njia bila kuangalia huyo mtu kweli anaweza kuwa rais
Kiki ya Risasi imeshabuma
 
1599555087631.png
 
Tokea amtukane Nyerere tena matusi mazito kabisa,

Mtei Hana hamu naye tena.

Huyo Nyerere ndiyo bure kabisa,sisi kama wana Mara tunamuona mtu wa hovyo sana kuwahi kutokea katika dunia yetu hii ya Tanzania. Ametuachia Elimu mbovu,katiba mbovu,chama chake cha kifisadi cha CCM kimezalisha na kinaendelea kuzalisha kwa bidii zote viongozi wa hovyo waliyoitumbukiza nchi kwenye mikataba mibovu kwa zaidi ya miaka 40, eti na mpaka sasa bado wanataka tuwape kura zetu tu,CCM pumbavu kabisa!!
 
Huyo Nyerere ndiyo bure kabisa,sisi kama wana Mara tunamuona mtu wa hovyo sana kuwahi kutokea katika dunia yetu hii ya Tanzania. Ametuachia Elimu mbovu,katiba mbovu,chama chake cha kifisadi cha CCM kimezalisha na kinaendelea kuzalisha kwa bidii zote viongozi wa hovyo waliyoitumbukiza nchi kwenye mikataba mibovu kwa zaidi ya miaka 40, eti na mpaka sasa bado wanataka tuwape kura zetu tu,CCM pumbavu kabisa!!
wewe utakuwa ni mkenya uliozoea kuvuka boda njia za panya.
 
Sisi Chadema tunatuma Maombi Maalum kwa Mgombea Urais wa CCM Mzee Daktari bingwa wa kemia duniani Bwana Magufuli Kukubali Kuwa na MDAHALO na Mgombea Urais Wa Chadema Kamanda Tundu Lissu ili Kushindanisha SERA na Mitazamo Yao kwa Nchi Yetu Live kwenye TV na Redio Zote za Duniani na Wananchi Wote Watasikiliza!:

Hahahahah Mkuu,huyo Daktari hawezi kukubali kitu kama hicho kitokee maana alivyo na ki
wewe utakuwa ni mkenya uliozoea kuvuka boda njia za panya.

Inaonekana wewe ndiyo mjinga kuliko wote hapo CCM"Jingalao" CCM mwaka huu amna chenu October 28 tutawachinjilia mbali kabisa,mmeongoza nchi hii kwa muda mrefu kweli kweli lakini mpaka sasa hakuna cha maana mlichokifanya,mmeishiwa sera mmebaki kulia lia tu,"oowh mara tumejenga sijui nini kwa pesa zetu za ndani,mara mabeberu ni watu wabaya sana"chakushangaza bado mnatembeza bakuli zenu huko huko kwa hao mabeberu.swine!!
 
Hahahahah Mkuu,huyo Daktari hawezi kukubali kitu kama hicho kitokee maana alivyo na ki


Inaonekana wewe ndiyo mjinga kuliko wote hapo CCM"Jingalao" CCM mwaka huu amna chenu October 28 tutawachinjilia mbali kabisa,mmeongoza nchi hii kwa muda mrefu kweli kweli lakini mpaka sasa hakuna cha maana mlichokifanya,mmeishiwa sera mmebaki kulia lia tu,"oowh mara tumejenga sijui nini kwa pesa zetu za ndani,mara mabeberu ni watu wabaya sana"chakushangaza bado mnatembeza bakuli zenu huko huko kwa hao mabeberu.swine!!
Jazba na matusi hayajengi hoja
 
tuendelee kutafakari kwani lissu amepita Arusha kwenye kampeni na hakupita Tengeru
 
Naamu sasa tutakuwa tumeelewana vyema
 
hata mbowe hana ule mzuka kama aliokua nao kipindi cha lowassa, infact kuna diwani leo kahama chadema! watu wanavumilia mengi kwenye icho chama na nliwaambia kabisa kuna watu 6 lazima waondoke icho chama kabla uchaguzi haujafika kutoka kwenye taarifa zangu za ndan wakapiga kelele sasa ndo ivo mbowe hana raha, mwanzilishi wa chama nae ndo ivo
Sasa nimeelewa vyema....kumbe hali alishaiona ilivyokuwa ngumu kwake
 
Back
Top Bottom