Uchaguzi 2020 Je, ni kweli Lissu kasuswa na Mzee Edwin Mtei?

Mataga mmekosa hoja,mnabwabwaja!Kila mnalohisi linawafaa mnabeba na kuleta JF!Ndio maana uzi umedorora!Hauna mashiko๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Wengi wanaomuunga mkono Lissu huwa wanalifumbia macho tukio lake la kumkejeli RIP Nyerere ndani ya bunge maalum la katiba.

Tukio lililomkera mzee Mtei na wastaarabu wengine ndani ya CDM.
 
Wiring kwenye ubongo wa Lissu kuna short circuit kati ya ubongo wa busara na ubongo wa kutafuta sifa; kwa hiyo hawezi kutofautisha busara na debe la sifa
 
Mtei ni mgonjwa hata ndani hatoki. Nyie CCM endeleeni kujipa faraja.
 
Wengi wanaomuunga mkono Lissu huwa wanalifumbia macho tukio lake la kumkejeli RIP Nyerere ndani ya bunge maalum la katiba.

Tukio lililomkera mzee Mtei na wastaarabu wengine ndani ya CDM.
Mpuuzi kweli, kiongozi shurti ujue uongee kitu gani na wakati gani. Mwalimu alikuwa na mapungufu yake kweli sawa na binadamu wengine, lakini huwezi kubwatuka tu eti alizoea vya kunyonga.
 
Mtei ni mgonjwa hata ndani hatoki. Nyie CCM endeleeni kujipa faraja.
Kwa hiyo Lissu akaona busara kuzuru kaburi la Ndesamburo kuliko kumjulia hali huyu mzee mgonjwa ambaye hata ndani hatoki?! Au alichomwa na lile karipio la mzee Mtei?
 
Utawashwa sana, Lissu anasababisha hadi mgombea wenu augue upele na ukurutu shingo nzima...sujui ni mkanda wa Jeshi ule๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ๐Ÿ˜€
 
Mpuuzi kweli, kiongozi shurti ujue uongee kitu gani na wakati gani. Mwalimu alikuwa na mapungufu yake kweli sawa na binadamu wengine, lakini huwezi kubwatuka tu eti alizoea vya kunyonga.
Lissu hana uwezo wa kutawala majivuno na dharau zake. Huo ni udhaifu wake wa kuzaliwa.
 
Cha ajabu ninachokiona, siku hizi wanaume ndio wamekuwa wambeya kuliko hata wanawake. Tunaelekea wapi??
 
Nyie watoto bhana angaikeni na CCM yenu vipi wakina makamba Kikwete na Kinana wapo wapi?.
 
Naona makada wa kijani wakishangilia utopolo humu jamvini!!!Kwani nyerere ni nani???SI KIBARAKA TU WA SEMINARI ALIETUMWA KUZUIA MSWAHILI HALISI ASISIMAMIE UPATIKANAJI WA UHURU WETU???SI ALIKARIBISHWA TANU TU TENA NA WAZEE AMBAO BADAE ALIAMUA WAFE KIMYA KIMYA KAMA WATU TU WASIO NA MCHANGO WOWOTE!!!WAZEE WA TANU WALIKUFA BILA KUTAMBULIWA NA TAIFA KAMA MASHUJAA!!!!Muwe na akili za kujua upande wa pili wa shilingi na sio kushangilia ujinga tu humu!!!
 
Kwani mdahalo ndio utaleta maendeleo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ