Je, ni kweli mwanga ndio kitu chenye mwendo kasi kuliko vyote?

Je, ni kweli mwanga ndio kitu chenye mwendo kasi kuliko vyote?

mwanga hausafiri wala hauna speed yeyote, hii aidia ya kuwa mwangaza unasafiri umeletwa kujaza mapengo na kujibu maswali ya waliosema jua liko mbali sana 93mil miles,kama jua na nyota vipo mbali sana inakuwaje tunaviona? wanaotudanganya wakaja na hii aidia ya kuwa mwangaza unasafiri na wakafanya mahesabu wakaja na speed of light kutokana na masafa ya jua,

lakini uhalisia nguvu za mwanga ni kama nguvu za smaku(magnet) penye mwanga panakuwa na duara la mwanga mkali na kila uki-move away from the light mwangaza unapungua nguvu yake.kama mwangaza unasafiri maana yake nguvu yake pia inatakiwa isafiri na isipungue
smaku(magnet) vile vile nguvu zake zinapungua kila uki-move away from it, na hatujawahipo kuambiwa kuwa kuna speed of magnetic energy, kwa sababu nguvu za smaku hazionekani kwa macho yetu





View attachment 845167View attachment 845168
Fact magnetic energy ndo yenye speed kuliko vitu vyote under the sun
 
Tafakari ; Kitendo cha kuwasha switch na taa kuwaka na kitendo cha mwanga kutoka kwenye taa hadi kufika ukutani!
 
asante mkuu,mimi nimeacha muda mrefu kuendelea na ufahamu wa kukaririshwa na wenye malengo ya kutupotosha kwa makusudi, ukiwafuata wao utazaliwa na kuishi kwenye ulimwengu wa kusadikika wanaoujenga kwenye akili zetu kwa vitu vya uongo

Unaijua fibre optical cables nini hubeba data zile from one point to another?
Kasome pia illumination
 
Mkuu unapokuwa mwanza ukawaza dar, hakuna safari yeyote hapo ilotokea. Kilichotokea ni mawasiliano ya pande tofaut za ubongo kupitia neva. Na spidi ya taarifa zinazopita kwenye neva ni karibu sawa na spidi ya umeme kwasababu inasemekana hizo taarifa zinazopita kwenye neva nazo zipo katika mfumo wa umeme mdogo. Spidi ya umeme kusafiri ni ndogo sana ukilinganisha na mwanga. Mwanga ndio kitu pekee chenye spidi kali kupita vitu vyote ndani na nje ya dunia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hio mkuu mwanga ndio kitu pekee kilichogundulika na mwanadamu kua na speed kuliko vyote ulimwenguni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mwanga hausafiri wala hauna speed yeyote, hii aidia ya kuwa mwangaza unasafiri umeletwa kujaza mapengo na kujibu maswali ya waliosema jua liko mbali sana 93mil miles,kama jua na nyota vipo mbali sana inakuwaje tunaviona? wanaotudanganya wakaja na hii aidia ya kuwa mwangaza unasafiri na wakafanya mahesabu wakaja na speed of light kutokana na masafa ya jua,

lakini uhalisia nguvu za mwanga ni kama nguvu za smaku(magnet) penye mwanga panakuwa na duara la mwanga mkali na kila uki-move away from the light mwangaza unapungua nguvu yake.kama mwangaza unasafiri maana yake nguvu yake pia inatakiwa isafiri na isipungue
smaku(magnet) vile vile nguvu zake zinapungua kila uki-move away from it, na hatujawahipo kuambiwa kuwa kuna speed of magnetic energy, kwa sababu nguvu za smaku hazionekani kwa macho yetu





View attachment 845167View attachment 845168
Angalao wewe nimekuelewa mkuu.
Unaweza kwenda ndani kidogo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafakari ; Kitendo cha kuwasha switch na taa kuwaka na kitendo cha mwanga kutoka kwenye taa hadi kufika ukutani!
Kwa hio kati ya hapo umeme na mwanga nini kinakimbia. Mbona kama I meme ukizimwa iringa matokeo take haya chukui sekunde name pia kuwashwa hivyo hivyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakutakieni Heri na Neema za Mungu wakuu.
Kama kichwa cha habari kivyouliza je mwanga ndio wenye mwendo kasi kuliko vyote?
Vipi kuhusu umeme?
Vipi kuhusu sauti?
Vipi kuhusu roho?
Vipi kuhisu macho?
Vipi kuhusu fikra?

Nihayo tu wakuu ningemba kuondolewa ujinga.
Umekusudia mwanga huyu tumuitaye mchawi au mwangaza?
 
Back
Top Bottom