Je, ni kweli mwanga ndio kitu chenye mwendo kasi kuliko vyote?

Je, ni kweli mwanga ndio kitu chenye mwendo kasi kuliko vyote?

kuna mwanafunzi wa sayansi aliniambia eti tembo akirushwa kwa spidi ya mwanga anaweza kupita kwenye kioo na kioo kisipasuke kabisa.....tangu siku hiyo nimeanza kusoma engineering ya udaktari hapa SUA ya dodoma nategemea kupata GPA ya 32.
Ukikimbia kuuzunguruka mbuyu kwa speed ya light unaweza ukajisukumia kipande cha nyama mwenyewe..[emoji23] [emoji23]
 
mwanga hausafiri wala hauna speed yeyote, hii aidia ya kuwa mwangaza unasafiri umeletwa kujaza mapengo na kujibu maswali ya waliosema jua liko mbali sana 93mil miles,kama jua na nyota vipo mbali sana inakuwaje tunaviona? wanaotudanganya wakaja na hii aidia ya kuwa mwangaza unasafiri na wakafanya mahesabu wakaja na speed of light kutokana na masafa ya jua,

lakini uhalisia nguvu za mwanga ni kama nguvu za smaku(magnet) penye mwanga panakuwa na duara la mwanga mkali na kila uki-move away from the light mwangaza unapungua nguvu yake.kama mwangaza unasafiri maana yake nguvu yake pia inatakiwa isafiri na isipungue
smaku(magnet) vile vile nguvu zake zinapungua kila uki-move away from it, na hatujawahipo kuambiwa kuwa kuna speed of magnetic energy, kwa sababu nguvu za smaku hazionekani kwa macho yetu





View attachment 845167View attachment 845168
Hili jambo nilibishana na mwalimu wangu darasani.. Baada ya kukosa hoja akaniambia na kwenye mtihani andika hivyo hivyo uonavyo kisha jaza answer sheet na sababu zako halafu uone kitakachokutokea.. Ikabidi niwe mpole tuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Elimu yangu ni darasa la saba mkuu.
Sauti sio kwamba ina mwendo mdogo la bali ina mezwa ndio maana haifiki mbali.ingekua haipotelei njiani ingekua sambamba na mwanga. Ni mtazamo wangu lakini.

Fikra niliokua na maanisha unaweza kuwa mwanza ukawazia dar na muda huo huo ukawa dar hapo mwanga haufikii.
Macho yasingekua na kizuizi labda milima miti nk mwanga usinge yafikia yote ni mtazamo wangu tuu
Duuuu
 
kuna mwanafunzi wa sayansi aliniambia eti tembo akirushwa kwa spidi ya mwanga anaweza kupita kwenye kioo na kioo kisipasuke kabisa.....tangu siku hiyo nimeanza kusoma engineering ya udaktari hapa SUA ya dodoma nategemea kupata GPA ya 32.
Inawezekana kabisa, refer E=MC^2 , where E is energy, M mass C speed of light. Sasa ukichukua mfano jiwe ukarusha kwenye kioo kwa spee ndogo zaidi utakuta kioo kinapasuka sehemu kubwa, tofauti na ukichukua jiwe ukarusha kwa speed kubwa mno kioo kitapasuka kwa kifuata shape ya jiwe, sasa ukiongeza speed zaidi kama ya light, jiwe litabadilika in terms of waves na linaweza pita kwa kupasua kioo kidogo sana au lisipasua..

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nacheka kwa sauti
 
Katika mwanga in terms of light as a particals (refer modern physics) utakuta kuna electrons and photons sasa chukua photon moja speed yake ndo kubwa kuliko mwanga wenyewe kwasababu mwanga kama mwanga una many numbers of photons ambazo wakati wa kisafiri zita collide zenyewe kwa zenyewe na other molecules but if you take only single photon ukaipropagate in a vacuum utapata the highest speed in the whole universe zaidi hata ya huo mwanga wenyewe

Kwa Maelezo yangu photon au electron katika vacuum ndio kitu chenye speed kubwa zaidi
 
Hiv yale mawimbi ya cm yanatumwa kwa mwanga eeh??mbona unaweza kuwa hapa unaongea na mtu wa marekani hata hampishani sekunde
 
Inawezekana kabisa, refer E=MC^2 , where E is energy, M mass C speed of light. Sasa ukichukua mfano jiwe ukarusha kwenye kioo kwa spee ndogo zaidi utakuta kioo kinapasuka sehemu kubwa, tofauti na ukichukua jiwe ukarusha kwa speed kubwa mno kioo kitapasuka kwa kifuata shape ya jiwe, sasa ukiongeza speed zaidi kama ya light, jiwe litabadilika in terms of waves na linaweza pita kwa kupasua kioo kidogo sana au lisipasua..

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nacheka kwa sauti

Mkuu tuifanye hiyo hesabu basi kiloza tembo si zinajulikana tena tuchukue tembo wa africa wanasema ye ni mkubwa kuliko tembo wengine tuanzie hapo bosi wangu
 
Mkuu tuifanye hiyo hesabu basi kiloza tembo si zinajulikana tena tuchukue tembo wa africa wanasema ye ni mkubwa kuliko tembo wengine tuanzie hapo bosi wangu
Mkuu unajua inawezekanaje, yaani kitu kikisafiri kwa speed kubwa sana hatimaye kinabadilika kuwa in terms of WAVES.
Sasa kutokana na E = MC^2, speend of light ni 3*10^8 m/s alafu kilo za tembo ni kiasi gani lets say a certain constant in kg or ton, then zidish hapo upate energy yake uone. Utakuta speed ya light uki square unapata jibu kubwa sana, na ukichanganya na mass ya tembo, ile energy ni kubwa sana ina kuwa converted into waves. Kwahyo waves inasababisha kupita bila kuathiri kitu na ndio maana ukatolea mfano tembo anapenya kwenye sindano hoe.
 
Mkuu unajua inawezekanaje, yaani kitu kikisafiri kwa speed kubwa sana hatimaye kinabadilika kuwa in terms of WAVES.
Sasa kutokana na E = MC^2, speend of light ni 3*10^8 m/s alafu kilo za tembo ni kiasi gani lets say a certain constant in kg or ton, then zidish hapo upate energy yake uone. Utakuta speed ya light uki square unapata jibu kubwa sana, na ukichanganya na mass ya tembo, ile energy ni kubwa sana ina kuwa converted into waves. Kwahyo waves inasababisha kupita bila kuathiri kitu na ndio maana ukatolea mfano tembo anapenya kwenye sindano hoe.

Aah nmekumbuka kuna mtu alinambia kitu lets say train ikiwa kwenye speed kubwa sana unaweza ukaigusa ikahama relini ndo mana wanaokimbizaga magari wanawekaga vitu vizito
 
Nakutakieni Heri na Neema za Mungu wakuu.
Kama kichwa cha habari kivyouliza je mwanga ndio wenye mwendo kasi kuliko vyote?
Vipi kuhusu umeme?
Vipi kuhusu sauti?
Vipi kuhusu roho?
Vipi kuhisu macho?
Vipi kuhusu fikra?

Nihayo tu wakuu ningemba kuondolewa ujinga.
Ulimwengu unatanuka /expanding zaidi ya speed ya mwanga..
 
Check mwanga wa jua unatumia mda gani kufika duniani ! Chukua tochi yenye mwanga mkali ukilenga mahali kabla hujawasha mwanga umeshafika . Ni kipi chenye speed kuliko mwanga ?
 
Mwanga unasafiri kwa spidi ya mita milioni ishirini kwa sekunde,

Yaani ni sawa na kusema utamke mmooja hapo tayari mwanga unakuwa umesafiri kwa spidi ya mita milioni ishirini kwa sekunde,
Zikifika sekunde mbili ongeza tena umbali huo huo.......

Roho haionekani na haithibitiki kisayansi so kwenye sayansi hatuna kitu kinachoitwa roho,

Macho hsyasafiri bali hu sense mwanga

Fikra haijongei labda ungesema nerve impulse ningekuelewa ambayo spidi yake ni kidogo mno,

Sauti husafiri kwa spidi ya mita 340 ndani ya sekunde mmoja,

Mkuu unaelimu gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu zuri sana
 
mwanga hausafiri wala hauna speed yeyote, hii aidia ya kuwa mwangaza unasafiri umeletwa kujaza mapengo na kujibu maswali ya waliosema jua liko mbali sana 93mil miles,kama jua na nyota vipo mbali sana inakuwaje tunaviona? wanaotudanganya wakaja na hii aidia ya kuwa mwangaza unasafiri na wakafanya mahesabu wakaja na speed of light kutokana na masafa ya jua,

lakini uhalisia nguvu za mwanga ni kama nguvu za smaku(magnet) penye mwanga panakuwa na duara la mwanga mkali na kila uki-move away from the light mwangaza unapungua nguvu yake.kama mwangaza unasafiri maana yake nguvu yake pia inatakiwa isafiri na isipungue
smaku(magnet) vile vile nguvu zake zinapungua kila uki-move away from it, na hatujawahipo kuambiwa kuwa kuna speed of magnetic energy, kwa sababu nguvu za smaku hazionekani kwa macho yetu





View attachment 845167View attachment 845168
Asante sana kwa huu ujuzi. Asante kwa kunifumbua hapa
 
Hapa umedanganya uma proton ni partical while light ni wave kasome partical/wave duality
Katika mwanga in terms of light as a particals (refer modern physics) utakuta kuna electrons and photons sasa chukua photon moja speed yake ndo kubwa kuliko mwanga wenyewe kwasababu mwanga kama mwanga una many numbers of photons ambazo wakati wa kisafiri zita collide zenyewe kwa zenyewe na other molecules but if you take only single photon ukaipropagate in a vacuum utapata the highest speed in the whole universe zaidi hata ya huo mwanga wenyewe

Kwa Maelezo yangu photon au electron katika vacuum ndio kitu chenye speed kubwa zaidi
 
Back
Top Bottom