Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,588
- 22,752
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] wazo la mzinzi nalo liheshimiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] wazo la mzinzi nalo liheshimiwe
Hapana Ni electromagneticKwa hio mkuu mwanga ndio kitu pekee kilichogundulika na mwanadamu kua na speed kuliko vyote ulimwenguni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana
Unajua argument iliyotokea baina ya ALBERT EINSTEIN & GREAT GENIUS ALL OF THE TIME SIR.NIKOLA TESLA KUHUSU KITU CHENYE SPEED ZAIDI DUNIANI?Nadhani unamaanisha ELECTROMAGNETIC RADIATION (EMR) ambapo light (mwanga) ni moja ya hzo radiation na zote zina speed sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] wazo la mzinzi nalo liheshimiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]kuna mwanafunzi wa sayansi aliniambia eti tembo akirushwa kwa spidi ya mwanga anaweza kupita kwenye kioo na kioo kisipasuke kabisa.....tangu siku hiyo nimeanza kusoma engineering ya udaktari hapa SUA ya dodoma nategemea kupata GPA ya 32.
Kati ya giza na mwanga kipi kipo?Sababu pekee tunaona mwanga ni kwakua giza linakuepo.
Means kokote ambapo mwanga utaenda giza linakua la kwanza kua hapo.
Afadhali na wewe unaelewekaIn theory mwanga ndio kitu pekee chenye mwendo kasi kuliko vyote...
Ila ina practical giza ndiyo kitu pekee chenye mwendo kasi kiliko vyote...
Cc: mahondaw
Afadhali na wewe unaeleweka
Kama kuna black hole na wanasema even light doesn't escape
Basi wewe unaweza kuwa sahihi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mwanga kwa electromagnetic it's nothing
Dah nimecheka sana[emoji23][emoji23]kuna mwanafunzi wa sayansi aliniambia eti tembo akirushwa kwa spidi ya mwanga anaweza kupita kwenye kioo na kioo kisipasuke kabisa.....tangu siku hiyo nimeanza kusoma engineering ya udaktari hapa SUA ya dodoma nategemea kupata GPA ya 32.
Jua halizimiki, ila unachotakiwa kujua ni kuwa dunia inazunguka jua, wakati huo huo inajizungushusha katika mhimili wake...kujizungusha katija muhimili wake ndio sababu kuu ya kuwepo kwa usiku na mchana. Ina maana ya kwamba upande utakapokuwa unalitazama jua kwa wakati huo utakuwa ni mchana na ule haulitizami jua itakuwa ni usikuNilisikia mwanga wa jua unasafiri kutumia dakika 8 kutoka kwenye jua. Huwa najiuliza jua linazimika au? kila siku linazimika alafu linatumia hizo dakika kufikia dunia?? Sayansi mara nyingine[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
umeme una speed ndogo sana huwa tunaita drift velocity yani zile electrons ni kama zinagongana kusafirisha current so effect yake inasambaa haraka sanaKwa hio kati ya hapo umeme na mwanga nini kinakimbia. Mbona kama I meme ukizimwa iringa matokeo take haya chukui sekunde name pia kuwashwa hivyo hivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
I'm againstumeme una speed ndogo sana huwa tunaita drift velocity yani zile electrons ni kama zinagongana kusafirisha current so effect yake inasambaa haraka sana
Ila mwanga upo kwenye kundi moja la waves zinaitwa electromagnetic radiations na zote zina sifa moja ya kuwa na speed moja ya 300000000m/s ila zinatofautiana frequency na wave lengths kundi hilo pia kuna mawimbi ya radio we hujiulizi unapigiwa simu from dar to mbeya at the same time mnasikilizana hapo bado processes za kuibadili hyo sauti iwe radio waves na simu yako. How fast are these waves?
Giza si kitu halisiIn theory mwanga ndio kitu pekee chenye mwendo kasi kuliko vyote...
Ila ina practical giza ndiyo kitu pekee chenye mwendo kasi kiliko vyote...
Cc: mahondaw
Mie sijui hata nimesoma niniMwanga una speed ya light
Hakuna kingine chenye speed ya light zaidi ya mwanga
Mmmhhh....!
Sijui nimeandika nini