Je, ni kweli mwanga ndio kitu chenye mwendo kasi kuliko vyote?

Je, ni kweli mwanga ndio kitu chenye mwendo kasi kuliko vyote?

Nakutakieni Heri na Neema za Mungu wakuu.
Kama kichwa cha habari kivyouliza je mwanga ndio wenye mwendo kasi kuliko vyote?
Vipi kuhusu umeme?
Vipi kuhusu sauti?
Vipi kuhusu roho?
Vipi kuhisu macho?
Vipi kuhusu fikra?

Nihayo tu wakuu ningemba kuondolewa ujinga.
Mwanga una spidi ya takribani km 300,000 kwa sekunde moja

Umeme? spidi yake ni kati ya asilimia 50 mpaka 99 ya ile ya mwanga

Sauti? mita 300 kwa sekunde, sawa na km 0.3 kwa sekunde moja. Kwa hiyo sauti inatembea taratibu mara million (1,000,000) zadidi kuliko mwanga, na hivyo mwanga una kasi mara million zaidi kuzidi sauti

Roho? Kama fikra vile, soma hapo chini


Macho? Yanatumia mwanga. Ukiangalia juu usiku wakati wa mbalamwezi, utauona mwezi ambao uko umbali wa takribani km laki tatu, na huwa inakuchukua sekunde moja tu kuuona. Tuseme kwa mfano, mwezi ungekuwa uko umbali wa km laki 6, ingekuwa inakuchukua sekunde mbili kuuona, usingekuwa unauona papo kwa papo pindi unapokuwa umetupa jicho lako angani. Hali kadhalika kama ungekuwa umbali wa km laki 9, ingekuwa inakuchukua sekunde 3 (you would be spending a total of 3 seconds gazing in the sky, before actually seeing the moon).

Unajua kwa nini unaweza ukaangalia angani kwa muda wa hata dakika moja nzima usione kitu halafu baadaye ukaja ukagundua kuwa sehemu unayotizama kuna nyota imeanza kuonekana? Unadhani ni kuwa hiyo nyota imetokea hapo ghafla au ilikuwepo ila ulikuwa hujaiona kwa sababu pengine hukuwa umeangalia vizuri? Hapana, issue iko kama vile nilivyeeleza hapo juu. Ni kwamba ulikuwa unaangalia vizuri tu, wala hukuwa umeangalia vibaya, na hiyo nyota ilikuwepo pale pale ambapo baadaye umekuja kuona kuwa ipo, haikutokea ghafla isipokuwa IKO UMBALI AMBAO MWANGA HAUWEZI KUWA UMEIFIKIA NDANI YA MUDA HUO WA DAKIKA MOJA, na hivyo ili uweze kuiona inabidi muda halisi utimie, halafu ndiyo uione, ukizingatia spidi ya Mwanga.

Fikiria pia hata scenerio kwamba mko wawili mwenzako akakwambia FULANI EBU ONA NYOTA ILE PALE, halafu wewe ukianza kuangalia huioni, ila baada ya muda na wewe ukaweza kuiona kuwa ile pale. Ni kwamba aliyekuonyesha alianza kabla kuangalia halafu ukafikia wakati wa kuiona, na wewe ukishaanza kuangalia juu, inabidi muda unaohitajika ili kuweza kuiona utimie, kulingana na umbali ule iliopo

Fikra? Hazina real speed, zina abstract speed kama zilivyo zenyewe. Huko mbele kama kutakuja kutokea TEKNOLOJI ya kumuwezesha binadamu kupotea ghafla hapa duniani kwa kupoteza umbile alilonalo (disintegration of a phsical body and dissappearance) na kwa muda huo huo pia akawa na uwezo wa kusafiri mpaka sehemu nyingine aliyokuwa anaifikiria, akaenda akajiunganisha upya tena huko mwili wake ukarudi EXACTLY katika namna kama alivyokuwa kabla, na ukiwa mahali pengine, let's say kwenye Galaxy nyingine ya jirani kama vile Andromeda, then kwa mtindo huu teknolojia itakuwa imeziwezesha fikra kuwa na real speed na obvious ziakuwa zimezidi ile spidi ya mwanga. Ubarikiwe
 
mwanga hausafiri wala hauna speed yeyote, hii aidia ya kuwa mwangaza unasafiri umeletwa kujaza mapengo na kujibu maswali ya waliosema jua liko mbali sana 93mil miles,kama jua na nyota vipo mbali sana inakuwaje tunaviona? wanaotudanganya wakaja na hii aidia ya kuwa mwangaza unasafiri na wakafanya mahesabu wakaja na speed of light kutokana na masafa ya jua,

lakini uhalisia nguvu za mwanga ni kama nguvu za smaku(magnet) penye mwanga panakuwa na duara la mwanga mkali na kila uki-move away from the light mwangaza unapungua nguvu yake.kama mwangaza unasafiri maana yake nguvu yake pia inatakiwa isafiri na isipungue
smaku(magnet) vile vile nguvu zake zinapungua kila uki-move away from it, na hatujawahipo kuambiwa kuwa kuna speed of magnetic energy, kwa sababu nguvu za smaku hazionekani kwa macho yetu





View attachment 845167View attachment 845168
Huu utafiti wa karne gani, kwamba mwanga hausafiri? Kumbe sasa huwa tunakosea kuweka Betri kwenye Tochi, inabdi tuache
 
kuna mwanafunzi wa sayansi aliniambia eti tembo akirushwa kwa spidi ya mwanga anaweza kupita kwenye kioo na kioo kisipasuke kabisa.....tangu siku hiyo nimeanza kusoma engineering ya udaktari hapa SUA ya dodoma nategemea kupata GPA ya 32.
Uongo wa kiwango cha uchumi wa kati wa viwanda
 
Mwanga una spidi ya takribani km 300,000 kwa sekunde moja

Umeme? spidi yake ni kati ya asilimia 50 mpaka 99 ya ile ya mwanga

Sauti? mita 300 kwa sekunde, sawa na km 0.3 kwa sekunde moja. Kwa hiyo sauti inatembea taratibu mara million (1,000,000) zadidi kuliko mwanga, na hivyo mwanga una kasi mara million zaidi kuzidi sauti

Roho? Kama fikra vile, soma hapo chini


Macho? Yanatumia mwanga. Ukiangalia juu usiku wakati wa mbalamwezi, utauona mwezi ambao uko umbali wa takribani km laki tatu, na huwa inakuchukua sekunde moja tu kuuona. Tuseme kwa mfano, mwezi ungekuwa uko umbali wa km laki 6, ingekuwa inakuchukua sekunde mbili kuuona, usingekuwa unauona papo kwa papo pindi unapokuwa umetupa jicho lako angani. Hali kadhalika kama ungekuwa umbali wa km laki 9, ingekuwa inakuchukua sekunde 3 (you would be spending a total of 3 seconds gazing in the sky, before actually seeing the moon).

Unajua kwa nini unaweza ukaangalia angani kwa muda wa hata dakika moja nzima usione kitu halafu baadaye ukaja ukagundua kuwa sehemu unayotizama kuna nyota imeanza kuonekana? Unadhani ni kuwa hiyo nyota imetokea hapo ghafla au ilikuwepo ila ulikuwa hujaiona kwa sababu pengine hukuwa umeangalia vizuri? Hapana, issue iko kama vile nilivyeeleza hapo juu. Ni kwamba ulikuwa unaangalia vizuri tu, wala hukuwa umeangalia vibaya, na hiyo nyota ilikuwepo pale pale ambapo baadaye umekuja kuona kuwa ipo, haikutokea ghafla isipokuwa IKO UMBALI AMBAO MWANGA HAUWEZI KUWA UMEIFIKIA NDANI YA MUDA HUO WA DAKIKA MOJA, na hivyo ili uweze kuiona inabidi muda halisi utimie, halafu ndiyo uione, ukizingatia spidi ya Mwanga.

Fikiria pia hata scenerio kwamba mko wawili mwenzako akakwambia FULANI EBU ONA NYOTA ILE PALE, halafu wewe ukianza kuangalia huioni, ila baada ya muda na wewe ukaweza kuiona kuwa ile pale. Ni kwamba aliyekuonyesha alianza kabla kuangalia halafu ukafikia wakati wa kuiona, na wewe ukishaanza kuangalia juu, inabidi muda unaohitajika ili kuweza kuiona utimie, kulingana na umbali ule iliopo

Fikra? Hazina real speed, zina abstract speed kama zilivyo zenyewe. Huko mbele kama kutakuja kutokea TEKNOLOJI ya kumuwezesha binadamu kupotea ghafla hapa duniani kwa kupoteza umbile alilonalo (disintegration of a phsical body and dissappearance) na kwa muda huo huo pia akawa na uwezo wa kusafiri mpaka sehemu nyingine aliyokuwa anaifikiria, akaenda akajiunganisha upya tena huko mwili wake ukarudi EXACTLY katika namna kama alivyokuwa kabla, na ukiwa mahali pengine, let's say kwenye Galaxy nyingine ya jirani kama vile Andromeda, then kwa mtindo huu teknolojia itakuwa imeziwezesha fikra kuwa na real speed na obvious ziakuwa zimezidi ile spidi ya mwanga. Ubarikiwe

nimekuelewa sana mkuu tena sana, lakini kidogo hapo mwishoni umesema kama ikijatokea binadamu kutoweka gafla kimwili ndipo fikra zitakua na speed halisi, kwa maana kwa sasa fikra hazihesabiki katika vitu vinavyosafiri.

kama ndio hivyo mkuu hio real speed ya fikra ya wakati huo itakuwaje real wakati sasa sio real au kitu kama hicho tuseme hakitakujakutokea kamwe katika maisha ya mwanadam?
 
Inawezekana kabisa, refer E=MC^2 , where E is energy, M mass C speed of light. Sasa ukichukua mfano jiwe ukarusha kwenye kioo kwa spee ndogo zaidi utakuta kioo kinapasuka sehemu kubwa, tofauti na ukichukua jiwe ukarusha kwa speed kubwa mno kioo kitapasuka kwa kifuata shape ya jiwe, sasa ukiongeza speed zaidi kama ya light, jiwe litabadilika in terms of waves na linaweza pita kwa kupasua kioo kidogo sana au lisipasua..

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nacheka kwa sauti
Exact angalia hata kioo kikipigwa risasi...
 
Mkuu tuifanye hiyo hesabu basi kiloza tembo si zinajulikana tena tuchukue tembo wa africa wanasema ye ni mkubwa kuliko tembo wengine tuanzie hapo bosi wangu
usizungumzie ishu ya mass... zungumzia speed... ametoa mfano kwamba jiwe ukirusha kwa speed ndogo kinaweza kuvunja kioo chote... pia ukilirusha kwa kasi basi kioo kitavunjika kufuatana na speed ya jiwe... Maana yake speed inaposzidi kuongezeka zile effect za kuvinjika zinakuwa ndogo zaidi... So tunaconclude kwamba at very high speed kama hiyo ya light, tembo anapita kwenye kioo bila hata kukivunja...

Simple like that
 
Check mwanga wa jua unatumia mda gani kufika duniani ! Chukua tochi yenye mwanga mkali ukilenga mahali kabla hujawasha mwanga umeshafika . Ni kipi chenye speed kuliko mwanga ?
Kabla hujawasha mwanga umefika... Basi ntakuwa siwashi tochi...
 
Lakini hizi nyota nyingine angani tunaziona usiku kwa ukaribu ni kwamba mwanga wake ndio uliosafiri kwa ma mibilion ya mail kutufikia sisi
Kwa mfano mwonekano wa Nyota kama Aldebaran Kama lingekuwa jitu lisililo na mwanga lakini lilipo kuna mwanga ingemchukua mtu muda dakika 60 sekunde 3600 kuangalia angani ili aione.
bright%2520stars.jpeg
winter_hexagon.gif
 
Lakini hizi nyota nyingine angani tunaziona usiku kwa ukaribu ni kwamba mwanga wake ndio uliosafiri kwa ma mibilion ya mail kutufikia sisi
Kwa mfano mwonekano wa Nyota kama Aldebaran Kama lingekuwa jitu lisililo na mwanga lakini lilipo kuna mwanga ingemchukua mtu muda dakika 60 sekunde 3600 kuangalia angani ili aione.
View attachment 938272View attachment 938274
Hayo mengine na yafuate baadae

Kwanza Ni usahihi wa mwendokasi wa nuru

Kwanini uwe na kiwango kimoja cha usafiri wa mawimbi yake.!?

Wakati tuna uhakika wa kwamba nyota hazifanani muwako wake huko juu angani.!
 
Hapa tunawezakuwa na mtanziko wa kuelewana lugha ya kile tunachokijadili.
Kasi ya mwanga inafanana haijalishi ni mwanga wa Jua, Nyota au kitu kingine ndio maana mwezi Ukipokea mwanga wa jua mng'ao wake ambao hubadirika na Kuitwa mwanga wa mwezi hutufikia kwasi ya mwanga kwa kipimo kile kile cha 300,000s haijalishi nyota au chochote kinatoa mwanga wa rangi gani kasi yake ni ileile
Mfano mwingine ni satellite [emoji343] zilizo angani usiku mwanga wake Tunauona karibu lakini mawimbi ya mawasiliano yake huchukua mda kufika duniani

Fikiri mwanga usifikiri uvutani wa mawimbi hivi ni vitu vi 2 tofauti na kama mwanga ungepata vikwazo vya usafiri kama mawimbi huenda angani tusingeona chochote maana uwezo wa macho huona kwa kutumia mwanga
Hayo mengine na yafuate baadae

Kwanza Ni usahihi wa mwendokasi wa nuru

Kwanini uwe na kiwango kimoja cha usafiri wa mawimbi yake.!?

Wakati tuna uhakika wa kwamba nyota hazifanani muwako wake huko juu angani.!
 
ManchoG.
GALAKSI
Galaksi (Galaxy) ni kundi la nyota nyingi zinazoshikamana pamoja katika anga la ulimwengu zikishikwa na graviti yao. Nyota hupatikana angani katika makundi kama mawingu makubwa sana. Kuna galaksi nyingi sana ulimwenguni. Kwa wastani kila galaksi imekadiriwa kuwa na nyota kama bilioni 100, lakini kuna galaksi kubwa na ndogo.
Galaksi yetu ikiwemo mfumo wa jua letu imekadiriwa kuwa na nyota zaidi ya 300,000,000,000. Sehemu ya nyota hizi zinaonekana kama kanda la kung’aa kwenye anga la usiku linalojulikana kama njia nyeupe (milky way). Umbo lake unafanana na kisahani ikiwa kipenyo chake ni miaka ya nuru (light years ) 100,000 ikiwa na unene wa miaka ya nuru 3,000. Galaksi ya jirani iliyo karibu angani inaitwa Andromeda ina umbali wa miaka ya nuru milioni 2.5 .
Idadi kamili ya galaksi zote angani haijulikani. Kuna makadirio ya kwamba idadi ya galaksi bilioni inaweza kuangaliwa kwa vyombo vinavyopatikana. Hadi sasa sehemu ndogo tu imehesabiwa lakini mara kwa mara galaksi mpya zinatambuliwa kwa njia ya darubini au vyombo vya angani.
Picha Uinayo hapo ndio galaksi yetu (Milky Way)!
cropped-6zqdupv-science-wallpaper-desktop.jpeg
 
Binadamu jicho kwa wavelengths mbalimbali ya mwanga inayoonekana kuwa na unyeti tofauti. Matokeo ya majaribio kuonyesha kwamba kawaida jicho wavelength ya nm 555 kwa ajili ya mwanga njano-kijani nyeti, ni kwamba, mionzi ya hii upeo jicho wavelength Visual sababu binadamu, wakati zaidi jitenga na mionzi 555nm, kujulikana ni ndogo.
Mwanga ina wimbi-chembe ya pande mbili, ya kwamba mwanga unaweza kuonekana kama mawimbi ya umeme ya juu frequency, lakini pia mwanga kama chembe, fotoni yaani, aitwaye photons.
Kubadilishwa Lightspeed agizo katika Paris mita BIPM platinum mfano alichaguliwa kama ufafanuzi "m" kiwango, na ahadi ya kasi ya mwanga ni hasa sawa na 299,792,458 m / s, hii thamani na ufafanuzi basi-mita na ufafanuzi wa pili. Baadaye, kwa usahihi kuongezeka kwa majaribio, mabadiliko ya thamani ya kasi ya mwanga, m inaelezwa kama 1/299, 792,458 sekunde ya mwanga kwa njia ya safari, kasi ya mwanga na "c" kuwakilisha.
Moja tu ya vyanzo ya maisha duniani. Peke yake ya msingi kwa maisha ya binadamu. Binadamu uelewa wa dunia ya nje tu chombo. Tu gari bora kwa ajili ya habari za kati au usambazaji.
Kulingana na takwimu, akili ya binadamu kwa ujumla nje habari duniani kupokea, angalau 90% kwa macho.
Wakati boriti ya mwanga makadirio kwenye kitu hutokea matukio kutafakari, refraction, kuingiliwa na diffraction.
aina hiyo ya mwanga katika kati homogeneous husafiri katika mistari sawa.
Mwanga, ikiwa ni pamoja na infrared, ambayo ni mfupi kuliko wavelength ya microwave, juu ya mzunguko, kwa hiyo, microwave umeme mawasiliano kutoka mwelekeo mawasiliano ya mawasiliano ya macho, ni tabia ya kawaida ni lazima.
Mwanga wa kawaida: Katika hali ya kawaida, idadi ya fotoni ya mwanga, fluorescence (wa kawaida jua, taa, mishumaa, nk) katika kati fotoni, hakuna chama, kwamba si sawa na wavelength, awamu ya ni tofauti, mwelekeo ubaguzi si huo uenezi mwelekeo si sawa, kama ni disorganized, nidhani askari fotoni, fotoni ni stragglers, hawezi kufanya kazi.
Mwanga atakutana uso, kioo na wengi nyuso nyingine hutokea reflection (Maoni). Mfano: moja kwa moja line perpendicular uso kioo inaitwa kawaida; angle kati ray tukio hilo na kawaida inaitwa angle ya matukio; mwanga yalijitokeza na angle kati ya kawaida inaitwa angle ya kutafakari. Katika tafakari, mwanga yalijitokeza, ray tukio hilo na kawaida ni katika ndege hiyo; kuonyesha tukio mwanga kawaida kwa pande zote mbili za mstari kujitenga; pembe ya kutafakari sawa na pembe ya matukio. Hii ni mwanga wa sheria ya kutafakari (Reflection sheria). Kama basi, mwanga dhidi ya mwelekeo wa mwanga yalijitokeza kwenye kioo, basi itakuwa yalijitokeza dhidi ya mwelekeo wa awali wa mwanga tukio lilio. Hii inaonyesha kwamba tafakari, njia ya macho ni kubadilishwa. Yalijitokeza katika fizikia ya aina mbili: specular kutafakari na kutafakari diffuse. Reflection Specular hutokea katika uso laini sana (kama kioo). Sambamba mbili rays yalijitokeza na mwili kutafakari bado unaweza baada ya hali sambamba. Kutofautiana uso (mfano nyeupe) itakuwa mwanga katika pande zote upande wa kutafakari, kutafakari hii inaitwa kueneza kutafakari. Wengi wa tafakari diffuse.
Oblique mwanga kutoka moja kati katika mwingine wa kati, mwelekeo uenezi wa deflection, jambo kuitwa refraction mwanga (Refraction). angle kati ray refracted na kawaida inaitwa angle ya refraction. Ikiwa mwanga tukio hilo, ambapo kati wiani wiani wa kati ni kubwa kuliko ya awali, basi angle ya refraction chini ya angle ya matukio. Kinyume chake, kama chini, kisha pembe ya refraction ni mkubwa kuliko angle ya matukio. Kama pembe ya matukio ni 0, angle ya refraction ya sifuri, ni sehemu ya kutafakari. Lakini bado huo aina ya kutofautiana kati ya mwanga refracting yanayotokana kinadharia iwezekanavyo tukio kutoka mwelekeo si refracted, lakini kwa sababu ni kawaida hawawezi kutofautisha mipaka na ngazi kadhaa si bapa, itakuwa na kuangalia anyway refraction. Kama inavyoonekana kutoka pwani kuangalia shwari ziwa chini ni mali ya refraction kwanza, lakini aliona sarabi ni mali ya refraction pili. Wote kawaida concave mbonyeo athari Lens ni zinazozalishwa kwa sababu refraction kwanza. Katika refraction, njia ya macho ni kubadilishwa.
Laser - Optical Xintiandi
 
Back
Top Bottom