makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Ukikimbia kuuzunguruka mbuyu kwa speed ya light unaweza ukajisukumia kipande cha nyama mwenyewe..[emoji23] [emoji23]kuna mwanafunzi wa sayansi aliniambia eti tembo akirushwa kwa spidi ya mwanga anaweza kupita kwenye kioo na kioo kisipasuke kabisa.....tangu siku hiyo nimeanza kusoma engineering ya udaktari hapa SUA ya dodoma nategemea kupata GPA ya 32.
Hili jambo nilibishana na mwalimu wangu darasani.. Baada ya kukosa hoja akaniambia na kwenye mtihani andika hivyo hivyo uonavyo kisha jaza answer sheet na sababu zako halafu uone kitakachokutokea.. Ikabidi niwe mpole tuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]mwanga hausafiri wala hauna speed yeyote, hii aidia ya kuwa mwangaza unasafiri umeletwa kujaza mapengo na kujibu maswali ya waliosema jua liko mbali sana 93mil miles,kama jua na nyota vipo mbali sana inakuwaje tunaviona? wanaotudanganya wakaja na hii aidia ya kuwa mwangaza unasafiri na wakafanya mahesabu wakaja na speed of light kutokana na masafa ya jua,
lakini uhalisia nguvu za mwanga ni kama nguvu za smaku(magnet) penye mwanga panakuwa na duara la mwanga mkali na kila uki-move away from the light mwangaza unapungua nguvu yake.kama mwangaza unasafiri maana yake nguvu yake pia inatakiwa isafiri na isipungue
smaku(magnet) vile vile nguvu zake zinapungua kila uki-move away from it, na hatujawahipo kuambiwa kuwa kuna speed of magnetic energy, kwa sababu nguvu za smaku hazionekani kwa macho yetu
View attachment 845167View attachment 845168
hapana..msichanganye kabsaa..electromagnetic waves zina speed tofaut tofaut kulingana na mass effects ya atomic particle husika...Mwanga ni electromagnetic pia, mambo ya photon neutron na electron
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa haiwezekaniUkikimbia kuuzunguruka mbuyu kwa speed ya light unaweza ukajisukumia kipande cha nyama mwenyewe..[emoji23] [emoji23]
DuuuuElimu yangu ni darasa la saba mkuu.
Sauti sio kwamba ina mwendo mdogo la bali ina mezwa ndio maana haifiki mbali.ingekua haipotelei njiani ingekua sambamba na mwanga. Ni mtazamo wangu lakini.
Fikra niliokua na maanisha unaweza kuwa mwanza ukawazia dar na muda huo huo ukawa dar hapo mwanga haufikii.
Macho yasingekua na kizuizi labda milima miti nk mwanga usinge yafikia yote ni mtazamo wangu tuu
Inawezekana kabisa, refer E=MC^2 , where E is energy, M mass C speed of light. Sasa ukichukua mfano jiwe ukarusha kwenye kioo kwa spee ndogo zaidi utakuta kioo kinapasuka sehemu kubwa, tofauti na ukichukua jiwe ukarusha kwa speed kubwa mno kioo kitapasuka kwa kifuata shape ya jiwe, sasa ukiongeza speed zaidi kama ya light, jiwe litabadilika in terms of waves na linaweza pita kwa kupasua kioo kidogo sana au lisipasua..kuna mwanafunzi wa sayansi aliniambia eti tembo akirushwa kwa spidi ya mwanga anaweza kupita kwenye kioo na kioo kisipasuke kabisa.....tangu siku hiyo nimeanza kusoma engineering ya udaktari hapa SUA ya dodoma nategemea kupata GPA ya 32.
umeniharibia siku kwa kutaja hayo ma formula si unajua sisi HKL tunachojua ni kuwa binadamu alitokana na sokwe mambo magumu magumu hatutakiInawezekana kabisa, refer E=MC^2 , where E is energy, M mass C speed of light.
Inawezekana kabisa, refer E=MC^2 , where E is energy, M mass C speed of light. Sasa ukichukua mfano jiwe ukarusha kwenye kioo kwa spee ndogo zaidi utakuta kioo kinapasuka sehemu kubwa, tofauti na ukichukua jiwe ukarusha kwa speed kubwa mno kioo kitapasuka kwa kifuata shape ya jiwe, sasa ukiongeza speed zaidi kama ya light, jiwe litabadilika in terms of waves na linaweza pita kwa kupasua kioo kidogo sana au lisipasua..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nacheka kwa sauti
Mkuu unajua inawezekanaje, yaani kitu kikisafiri kwa speed kubwa sana hatimaye kinabadilika kuwa in terms of WAVES.Mkuu tuifanye hiyo hesabu basi kiloza tembo si zinajulikana tena tuchukue tembo wa africa wanasema ye ni mkubwa kuliko tembo wengine tuanzie hapo bosi wangu
Mkuu unajua inawezekanaje, yaani kitu kikisafiri kwa speed kubwa sana hatimaye kinabadilika kuwa in terms of WAVES.
Sasa kutokana na E = MC^2, speend of light ni 3*10^8 m/s alafu kilo za tembo ni kiasi gani lets say a certain constant in kg or ton, then zidish hapo upate energy yake uone. Utakuta speed ya light uki square unapata jibu kubwa sana, na ukichanganya na mass ya tembo, ile energy ni kubwa sana ina kuwa converted into waves. Kwahyo waves inasababisha kupita bila kuathiri kitu na ndio maana ukatolea mfano tembo anapenya kwenye sindano hoe.
Ulimwengu unatanuka /expanding zaidi ya speed ya mwanga..Nakutakieni Heri na Neema za Mungu wakuu.
Kama kichwa cha habari kivyouliza je mwanga ndio wenye mwendo kasi kuliko vyote?
Vipi kuhusu umeme?
Vipi kuhusu sauti?
Vipi kuhusu roho?
Vipi kuhisu macho?
Vipi kuhusu fikra?
Nihayo tu wakuu ningemba kuondolewa ujinga.
hahaaa
Jibu zuri sanaMwanga unasafiri kwa spidi ya mita milioni ishirini kwa sekunde,
Yaani ni sawa na kusema utamke mmooja hapo tayari mwanga unakuwa umesafiri kwa spidi ya mita milioni ishirini kwa sekunde,
Zikifika sekunde mbili ongeza tena umbali huo huo.......
Roho haionekani na haithibitiki kisayansi so kwenye sayansi hatuna kitu kinachoitwa roho,
Macho hsyasafiri bali hu sense mwanga
Fikra haijongei labda ungesema nerve impulse ningekuelewa ambayo spidi yake ni kidogo mno,
Sauti husafiri kwa spidi ya mita 340 ndani ya sekunde mmoja,
Mkuu unaelimu gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana kwa huu ujuzi. Asante kwa kunifumbua hapamwanga hausafiri wala hauna speed yeyote, hii aidia ya kuwa mwangaza unasafiri umeletwa kujaza mapengo na kujibu maswali ya waliosema jua liko mbali sana 93mil miles,kama jua na nyota vipo mbali sana inakuwaje tunaviona? wanaotudanganya wakaja na hii aidia ya kuwa mwangaza unasafiri na wakafanya mahesabu wakaja na speed of light kutokana na masafa ya jua,
lakini uhalisia nguvu za mwanga ni kama nguvu za smaku(magnet) penye mwanga panakuwa na duara la mwanga mkali na kila uki-move away from the light mwangaza unapungua nguvu yake.kama mwangaza unasafiri maana yake nguvu yake pia inatakiwa isafiri na isipungue
smaku(magnet) vile vile nguvu zake zinapungua kila uki-move away from it, na hatujawahipo kuambiwa kuwa kuna speed of magnetic energy, kwa sababu nguvu za smaku hazionekani kwa macho yetu
View attachment 845167View attachment 845168
Katika mwanga in terms of light as a particals (refer modern physics) utakuta kuna electrons and photons sasa chukua photon moja speed yake ndo kubwa kuliko mwanga wenyewe kwasababu mwanga kama mwanga una many numbers of photons ambazo wakati wa kisafiri zita collide zenyewe kwa zenyewe na other molecules but if you take only single photon ukaipropagate in a vacuum utapata the highest speed in the whole universe zaidi hata ya huo mwanga wenyewe
Kwa Maelezo yangu photon au electron katika vacuum ndio kitu chenye speed kubwa zaidi