Je, ni kweli Yanga tunafanya hivi?

Je, ni kweli Yanga tunafanya hivi?

Simba kaila makirikiri na mautopolo yotee...
 
huu ni ushoga na mashoga wenzake humu wataamini
 
Kwahiyo mlikuwa sahihi mlichokifanya ? Hivi mpaka Raisi wa TFF akemee bado utasema mipango ya ndani ni kuwa kitu kimoja ???

Kweli Yanga wenye akili wawili tu
Kabla ya kuniuliza mimi haya, waulize wenzako walichokua wanafanya kabla ni sahihi? Huwa mna tatizo moja jambo mnaweza fanya nyie wenzako wakijakufanya mnaanza kuhoji usahihi. Kama ulikua hufahamu waulize kaka zako waliokua wanafuatilia kipindi hicho.
 
Hao ni utopolo tuu hao,yaani majitu yana roho mbaya sana hayaa.
 
Mbona unaandika vitu ambavyo haviendani, [emoji849]

Sasa wewe unaona sawa kile alichofanya Hersi ? Na sasa bado mnaendeleza ujinga wenu
Msamehe tu kwani yeye si mmoja ya wale wawili aliowasema Haji Manara
 
Back
Top Bottom