Je, ni kweli Yanga tunafanya hivi?

Je, ni kweli Yanga tunafanya hivi?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utaona yanavyokimbizana kurudi kwako. Huku yakiwa yanalia "mkuu tumeishiwa nguvu, tusaidie" [emoji23][emoji23][emoji23]
😂🤣😁😁😁Yatanirudisha kigamboni nikilia 🤣😂😁😁😁 no aisee ntakutupia nikumbeleze
 
[emoji23][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]Yatanirudisha kigamboni nikilia [emoji1787][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16] no aisee ntakutupia nikumbeleze
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udi na ubani wa Cairo, ni kiboko ya majini uchwara wa Avic Town.
 
I
Lakini kwa Yanga utaona hilo lipo tofauti.

Kwani hadi viongozi wanahusika kama mpango kazi wa kuifelisha Simba.

Yanga ndio timu pekee ambayo viongozi wake waliwahi kwenda kuwapokea wapinzani wa Simba ili Simba ifungwe.

Yanga ndio timu pekee ambayo imewahi kuwatengea semina ya kuwapa mbinu wapinzani wa Simba ili waifunge Simba.

Yanga ndio timu pekee ambayo viongozi wao waliwahi kutoa shutuma za uongo kwa timu pinzani kuwa iwe makini na vyumba vya kubadilishia nguo kwa maana Simba hupulizia sumu.

Na jana tulisikia hizi tetesi za Jwaneng Galaxy kupokelewa hapo Kigamboni

Japo hiyo habari bado haijawa confirmed ila kupitia rekodi hizo hapo juu naona hilo linauwezekano mkubwa kuwa ni kweli.
Huyu mwamba anavyotema madini humu halafu ghafla mpira unakuja katikati na kumtemesha pumba kama hizi inasikitisha sana!!
 
Yanga wameifanyia mangapi Simba, mpaka Raisi wenu alivaa jezi ya mpinzani.

Huu ni mwendelezo tu ya haya mnayofanya, oneni aibu hio sawa.

Hata kama ushabiki msitetee kila kitu, mjirekebishe, mbona nyie mechi zenu Simba hawahusiki kabisa !
Tatizo la kuanza kushabikia mpira juzijuzi. Nataka nikupe taarifa maana hata nikikukumbusha sina hakika kama unajua. Kuna match ilichezwa ya Yanga na TP Mazembe mwaka kati ya 2014 hadi 16. Nenda kafuatilie nini kilitokea nje ya uwanja. Yanga alikufa goli 1-0. Msipende kujiona nyie wasafi sana hizi propaganda zolianza muda sanaa

Msipende kulalamika kwa uzushi wa mitandaoni kutokana na hisia binafsi za kinyangarakata mmoja. Mwishowe anabeba kijiji kizima mnaanza kuamini maneno yake
 
Mmmh kwa hili hapanaaa, tuachee kwani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee usitudanganye hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii kambaa haumfungi aseeeeh.

Hahah umenifurahisha namna ulivyokataa...

Hizi ni mambo za siri huwezi elewa, tukubaliane tu kutokukubaliana...
 
Hahah umenifurahisha namna ulivyokataa...

Hizi ni mambo za siri huwezi elewa, tukubaliane tu kutokukubaliana...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mmmh jamani jamani, mbona ghaflaa sanaa?
 
Yaani unaamini kilichoandikwa hapo?

Basi wewe huzijui vizuri timu za Kariakoo, Simba na Yanga ni mapacha wasioweza kuumizana linapokuja suala la kitaifa na hili mashabiki wengi wa miaka hii hawakijui...

Kama kweli Yanga iliwahost hao jamaa, basi ilikuwa ni makakati mahususi wa kimafia wa timu hizi za Kariakoo 😅, kuwaingiza mkenge hao wageni wakiamini wamepata rafiki kumbe ni tego...

Na kama wamekula vya Avic na walishaji ni Yanga, wajue wamekula vya Simba pia 😅
Yañga umepata Kiongozi limbukeni .. haa anayafanya!
 
Yaani unaamini kilichoandikwa hapo?

Basi wewe huzijui vizuri timu za Kariakoo, Simba na Yanga ni mapacha wasioweza kuumizana linapokuja suala la kitaifa na hili mashabiki wengi wa miaka hii hawakijui...

Kama kweli Yanga iliwahost hao jamaa, basi ilikuwa ni makakati mahususi wa kimafia wa timu hizi za Kariakoo
 
Hazijawahi kuacha kuwa kitu kimoja kwenye maslahi ya kitaifa...

Hizi ni habari ambazo wanachama wa kawaida hawatakiwo kujua...

Hivi unajua kuwa kwenye mechi kubwa hawa jamaa wanaweza tumia mchawi/wachawi wale wale...?
Kwa roho mbaya ya viongozi na washabiki wa yanga, hilo halijawahi kutokea na halitatokea.

Wewe umezaliwa juzi, mengi huyajui.

Yanga waliwahi kuwaonyesha Stella Abijan mganga wa simba na kuihujumu simba kuchukua kombe la klabu bingwa.

Na hapa ndipo uhasama wa simba na yanga uliongezeka na kuzaa hali tunayoiona leo.
 
Inatusaidia nini sisi? Haya kiko wapi? Na kama Simba wangeshindwa sisi tungefaidika na nini? Hizi ni roho za kichawi tu. Viongozi badilikeni acheni huu upumbavu.

Mwishoni wote tunaonekana tu vilaza.
View attachment 2922583
Acha auwongo wewe; Jwaneng wametua Dar wakati Yanga pamoja na uongozi wote wakiwa Misri. Jukumu la kupokjea timu pinzani ni la timu mwenyeji

1709440791018.jpeg
 
Hatuui mada tuna expose ushamba wa Yanga.

Kuna baadhi ya vitu huwezi kushangazwa kuviona kwasababu vinafanywa na mashabiki.

Lakini kuona kiongozi wa juu kabisa wa Club anavaa hadi jezi ya timu pinzani huo ni ushamba
MABINGWA wa kihistoria Tanzania, Yanga
wameanzisha ushirikiano na klabu kubwa
ya Kaizer Chiefs, vinara wa Ligi Kuu ya
Afrika Kusini.

Hiyo ikiwa ni miezi michache imepita tangu
Yanga iingie udhamini na wadhamini wao
ambao ni Kampuni ya GSM Tanzania chini ya
Said Gharib Mohamed ambaye ni Rais wa
Makampuni ya GSM.

GSM hadi hivi sasa imeifanyia makubwa klabu
hiyo kubwa na kongwe nchini ikiwemo
kufanikisha usajili wa wachezaji watano katika
usajili wa dirisha dogo msimu huu.

Wachezaji hao ni kiungo fundi Mnyarwanda
Haruna Niyonzima, Muivory Coast Yikpe
Gnaimen, Tariq Seif, Adeyum Salem na Ditram
Nchimbi huku ikifanikisha kumshusha kocha
mpya wa timu hiyo Luc Eymael aliyetua jana.

Yanga kupitia wadhamini wao, Kampuni ya
GSM, walipata mwaliko kutoka Chiefs kwenye
sherehe ya kutimiza miaka 50 ya klabu hiyo
tangu ianzishwe nchini huko Afrika Kusini.
Katika sherehe hizo, Mkurugenzi wa Uwekezaji
wa GSM, Injinia Hersi Said, ndiye
aliyehudhuria tafrija hizo huku akipata nafasi
ya kutoa zawadi ya jezi ya Yanga yenye chata
ya GSM kwa baadhi ya viongozi.

Kwa mujibu wa taarifa ambazo imezipata
Championi Ijumaa kupitia kwa Ofisa Habari
wa Yanga, Hassan Bumbuli alithibitisha hilo
kwa kusema kuwa: “Ni kweli Hersi alipata
mwaliko huo kutoka Chiefs katika sherehe ya
kutimiza miaka 50 ya klabu hiyo.
“Mengi wamezungumza na viongozi wa Chiefs
na kikubwa ni kujenga ushirikiano kati ya
klabu hizi mbili kwenye masuala mbalimbali
ya soka kati ya Yanga na Chiefs.”

Source: Globalpublishers
 
Yaani unaamini kilichoandikwa hapo?

Basi wewe huzijui vizuri timu za Kariakoo, Simba na Yanga ni mapacha wasioweza kuumizana linapokuja suala la kitaifa na hili mashabiki wengi wa miaka hii hawakijui...

Kama kweli Yanga iliwahost hao jamaa, basi ilikuwa ni makakati mahususi wa kimafia wa timu hizi za Kariakoo 😅, kuwaingiza mkenge hao wageni wakiamini wamepata rafiki kumbe ni tego...

Na kama wamekula vya Avic na walishaji ni Yanga, wajue wamekula vya Simba pia 😅
Kitu hiki nimetoka kukieleza sehemu. Mwaka Jana wakati Yanga anacheza Shirikisho dhidi ya TP Mazembe na Simba wanacheza Champion dhidi ya Wydad hapa Dar nilibahatika kukaa na timu ya Simba pale Hotelin Element Masaki.

Jioni nikawa napiga story na viongozi wa Simba kuelekea hizo Mechi. Walimieleza namna gani wameshirikiana kuelekea hizo mechi na namna gani wanafanya fitina nje ya uwanja ikiwemo kununua vyumba kwenye hotel zote za nyota 5 na kushirikiana na wenye hotel wa hapa Dar kiwanyima vyumba hizo timu iliyopelekea hizo timu kutoka nje kukosa hotel za hadhi na kwenda kuishi nje ya jiji.

Hao viongozi wana mikakakti ya kitaifa ambayo pia inaratibiwa na viongozi wa serikali na TFF. Kimsingi, sisi watanzania tangu enzi za ujana wangu tulikuwa tukilalamila namna tunavyofanyiwa fugisu tukienda cheza nje ya nchi na sasa jamaa wameamua kufanya finish kwa timu zinazokuja kucheza Tanzania. Haya ya kusema Yanga anaihujumu Simba ni ya wachambuzi uchwara ambao hawajui nini kinaendelea na wanatafuta attention tu.

Leo nchi kuingiza timu 2 ni mission ya kitaifa na haiwezi kuhujumiwa. Hao akina Kamwe, Hersi, Mangungu, Manara na Ahmed Ally nje ya media ni wamoja.
 
Inatusaidia nini sisi? Haya kiko wapi? Na kama Simba wangeshindwa sisi tungefaidika na nini? Hizi ni roho za kichawi tu. Viongozi badilikeni acheni huu upumbavu.

Mwishoni wote tunaonekana tu vilaza.
View attachment 2922583
Kuna mtu humu kila Yanga ikicheza utasikia "nimewaandikia barua timu fulani kuhusu mambo wanayofanya Yanga ili washinde, nawapa tahadhari timu fulani" kwahiyo wewe kaa kwa kutulia... btw leteni ushahidi wa moja kwa moja ukionyesha hiyo timu kusaidiwa na hiyo timu

Avic town sio mali ya Yanga
 
Back
Top Bottom