Je, ni kweli Yanga tunafanya hivi?

Je, ni kweli Yanga tunafanya hivi?

Umeona kasheshe hii?

Halafu wiki kadhaa zilizopita waliitana kindugu kufanya press eti kusapotiana kimataifa

Ndio maana Afisa Habari wa Simba hakuenda, kwasababu walikuwa wanafanya unafiki tu.
Duh 🤣
 
Pamoja na kuwawekea video watasema ni propaganda
Timu walizozipokea

1. Rs Berkane
2. Platou
3. Asec Mimosa ya misimu miwili iliyopita
4. Jwaneng Galaxy

Halafu hiyo timu ikaja kufanya press eti tusapotiane kimataifa.
 
Hatuui mada tuna expose ushamba wa Yanga.

Kuna baadhi ya vitu huwezi kushangazwa kuviona kwasababu vinafanywa na mashabiki.

Lakini kuona kiongozi wa juu kabisa wa Club anavaa hadi jezi ya timu pinzani huo ni ushamba
Sasa si umeona ushaaribu mada
 
Yaani unaamini kilichoandikwa hapo?

Basi wewe huzijui vizuri timu za Kariakoo, Simba na Yanga ni mapacha wasioweza kuumizana linapokuja suala la kitaifa na hili mashabiki wengi wa miaka hii hawakijui...

Kama kweli Yanga iliwahost hao jamaa, basi ilikuwa ni makakati mahususi wa kimafia wa timu hizi za Kariakoo [emoji28], kuwaingiza mkenge hao wageni wakiamini wamepata rafiki kumbe ni tego...

Na kama wamekula vya Avic na walishaji ni Yanga, wajue wamekula vya Simba pia [emoji28]
Wee usitudanganye hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii kambaa haumfungi aseeeeh.
 
Hazijawahi kuacha kuwa kitu kimoja kwenye maslahi ya kitaifa...

Hizi ni habari ambazo wanachama wa kawaida hawatakiwo kujua...

Hivi unajua kuwa kwenye mechi kubwa hawa jamaa wanaweza tumia mchawi/wachawi wale wale...?
Mmmh kwa hili hapanaaa, tuachee kwani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe ndio kumbe hujui.

Simba na Yanga hazijawahi kuombeana mema kwa namna yeyote ile bila kujalisha ni katika ushiriki wa michuano ambayo inaweza kuitangaza nchi.

Kila timu ina hiyo spirit.

Hata wanaojitokeza hadharani kusema kwamba wanaiunga mkono Yanga au Simba kwa kigezo cha kuiwakilisha nchi, wengi hufanya kwa unafki tu sio kwa mapenzi ya kweli kutoka moyoni.

Utofauti unakuja ni kwenye njia zinazotumika katika kuonesha wewe huisapoti Yanga au Simba kwenye michuano ya kimataifa.

Kwa Simba utaona kabla na baada ya mechi wakionesha kutoitakia mema Yanga kwenye mechi yao ya kimataifa.

Hiyo inaitwa inderect

Lakini kwa Yanga utaona hilo lipo tofauti.

Kwani hadi viongozi wanahusika kama mpango kazi wa kuifelisha Simba.

Yanga ndio timu pekee ambayo viongozi wake waliwahi kwenda kuwapokea wapinzani wa Simba ili Simba ifungwe.

Yanga ndio timu pekee ambayo imewahi kuwatengea semina ya kuwapa mbinu wapinzani wa Simba ili waifunge Simba.

Yanga ndio timu pekee ambayo viongozi wao waliwahi kutoa shutuma za uongo kwa timu pinzani kuwa iwe makini na vyumba vya kubadilishia nguo kwa maana Simba hupulizia sumu.

Na jana tulisikia hizi tetesi za Jwaneng Galaxy kupokelewa hapo Kigamboni

Japo hiyo habari bado haijawa confirmed ila kupitia rekodi hizo hapo juu naona hilo linauwezekano mkubwa kuwa ni kweli.
Bora wee umesemaa hapa. Lol
 
Hatuui mada tuna expose ushamba wa Yanga.

Kuna baadhi ya vitu huwezi kushangazwa kuviona kwasababu vinafanywa na mashabiki.

Lakini kuona kiongozi wa juu kabisa wa Club anavaa hadi jezi ya timu pinzani huo ni ushamba
Nakazia ni USHAMBAAAAA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halafu anatoka mtu huko.kavimbiwa ugali wa muhogo anasema hersi ni kichwa cha mpira
Wapumbavu kabisa hao
Kichwa cha mpira atakuwa yule?

Hata kwenye mechi yao na Cr Belarouzidad nilishangazwa na baadhi ya watu waliokuwa wanasema viongozi wa Simba wajifunze kutoka kwa Hersi.

Wakasema sijui Simba inafanya Magumashi kwenye usajili na ndio gape ambalo Hersi amekuwa akiwapita.

Wamesahau kuwa ni Hersi huyo huyo aliyemleta Michael Sarpong na mashabiki walimbeba mabegani wakijua wamepata mtu.

Na Hersi akawaambia mashabiki wasipopata ubingwa aulizwe yeye, na mashabiki walivyokuwa watu wa hisia wakajaa kweli.

Lakini jamaa katika miezi mitano yote hata goli moja hakupata na hao hao mashabiki waliombeba wakamgeuka na kuamza kumzodoa.
 
Back
Top Bottom