Je, ni kweli Yanga tunafanya hivi?

Je, ni kweli Yanga tunafanya hivi?

Wewe ndio kumbe hujui.

Simba na Yanga hazijawahi kuombeana mema kwa namna yeyote ile bila kujalisha ni katika ushiriki wa michuano ambayo inaweza kuitangaza nchi.

Kila timu ina hiyo spirit.

Hata wanaojitokeza hadharani kusema kwamba wanaiunga mkono Yanga au Simba kwa kigezo cha kuiwakilisha nchi, wengi hufanya kwa unafki tu sio kwa mapenzi ya kweli kutoka moyoni.

Utofauti unakuja ni kwenye njia zinazotumika katika kuonesha wewe huisapoti Yanga au Simba kwenye michuano ya kimataifa.

Kwa Simba utaona kabla na baada ya mechi wakionesha kutoitakia mema Yanga kwenye mechi yao ya kimataifa.

Hiyo inaitwa inderect

Lakini kwa Yanga utaona hilo lipo tofauti.

Kwani hadi viongozi wanahusika kama mpango kazi wa kuifelisha Simba.

Yanga ndio timu pekee ambayo viongozi wake waliwahi kwenda kuwapokea wapinzani wa Simba ili Simba ifungwe.

Yanga ndio timu pekee ambayo imewahi kuwatengea semina ya kuwapa mbinu wapinzani wa Simba ili waifunge Simba.

Yanga ndio timu pekee ambayo viongozi wao waliwahi kutoa shutuma za uongo kwa timu pinzani kuwa iwe makini na vyumba vya kubadilishia nguo kwa maana Simba hupulizia sumu.

Na jana tulisikia hizi tetesi za Jwaneng Galaxy kupokelewa hapo Kigamboni

Japo hiyo habari bado haijawa confirmed ila kupitia rekodi hizo hapo juu naona hilo linauwezekano mkubwa kuwa ni kweli.
Sio kweli
 
Ndio maana nimeweka angalizo kuwa shabiki wa kawaida huwezi elewa kitu nilichoandika...

Kwa hiyo ulitaka Hersi avae jezi ya Simba hadharani?

Unadhani kitu gani kingetokea endapo angevaa jezi ya Simba?

Upinzani wa Simba na Yanga upo ndani ya mipaka ya Tanzania pekee...
Upinzani wa Simba na Yanga upo kila siku na ndio maana watu wanasema pengine Simba na Yanga ndio derby inayochezwa kila siku.

Hapa pichani ni Hersi ambaye ndio raisi wa sasa wa Yanga akiwa amevaa jezi ya Kaizer Chiefs kwa ajili ya kuwasapoti kwenye mechi ya marudiano

1709413863214.png
 
Wewe ndio kumbe hujui.

Simba na Yanga hazijawahi kuombeana mema kwa namna yeyote ile bila kujalisha ni katika ushiriki wa michuano ambayo inaweza kuitangaza nchi.

Kila timu ina hiyo spirit.

Hata wanaojitokeza hadharani kusema kwamba wanaiunga mkono Yanga au Simba kwa kigezo cha kuiwakilisha nchi, wengi hufanya kwa unafki tu sio kwa mapenzi ya kweli kutoka moyoni.

Utofauti unakuja ni kwenye njia zinazotumika katika kuonesha wewe huisapoti Yanga au Simba kwenye michuano ya kimataifa.

Kwa Simba utaona kabla na baada ya mechi wakionesha kutoitakia mema Yanga kwenye mechi yao ya kimataifa.

Hiyo inaitwa inderect

Lakini kwa Yanga utaona hilo lipo tofauti.

Kwani hadi viongozi wanahusika kama mpango kazi wa kuifelisha Simba.

Yanga ndio timu pekee ambayo viongozi wake waliwahi kwenda kuwapokea wapinzani wa Simba ili Simba ifungwe.

Yanga ndio timu pekee ambayo imewahi kuwatengea semina ya kuwapa mbinu wapinzani wa Simba ili waifunge Simba.

Yanga ndio timu pekee ambayo viongozi wao waliwahi kutoa shutuma za uongo kwa timu pinzani kuwa iwe makini na vyumba vya kubadilishia nguo kwa maana Simba hupulizia sumu.

Na jana tulisikia hizi tetesi za Jwaneng Galaxy kupokelewa hapo Kigamboni

Japo hiyo habari bado haijawa confirmed ila kupitia rekodi hizo hapo juu naona hilo linauwezekano mkubwa kuwa ni kweli.
Bila kusahau Raisi wao yule msomali alivaa jezi ya kazier chiefs, kweupe
 
1.simba ilikandwa 5 kwa 1 na timu ambayo siitaji
2. Simba inazidiwa mataji na timu ambayo siitaji
3. Simba h2h imefungwa match nyingi na timu ambayo siitaji
4. Timu ya simba imezidiwa kila kitu na timu ambayo siitaji

OVAAAA
 
Muache tabia zenu za kingese, sasa kuwasaidia galaxy imewasaidia nini ?

Basi tuseme na nyie pia mmewasaidia belouizdad kuifunga yanga imewasaidia nn kama huna ushahidi wa uhakika basi hio ni propaganda tuuuu
 
Basi tuseme na nyie pia mmewasaidia belouizdad kuifunga yanga imewasaidia nn kama huna ushahidi wa uhakika basi hio ni propaganda tuuuu
We umewahi ona wapi Simba kuwa na tabia za kindezi kama hizo za Yanga.

Haya tufanye hii ya leo ni propaganda, vipi Ile ya Kaizer chiefs ? Ile ya TP mazembe kipindi zahera yupo Yanga ?

Mpaka Raisi wa TFF alikosoa hili swala, je hapo mliona mlilolifanya ni sawa ?

Mkubali tu kuwa mambo mengi mnakosea
 
Hizi habari sio za kweli ni uzushi Kabisa kwanza inabidi uulize sisi tunakaa kigamboni kwanza Hawa jamaa hawajafanya mazoezi avic town sio kweli
Hapa ni wapi au mnawakana sasa hivii baada mipango yenu kwend kombo?
 

Attachments

  • 20240301_105740.jpg
    20240301_105740.jpg
    61.5 KB · Views: 1
Wewe ndio kumbe hujui.

Simba na Yanga hazijawahi kuombeana mema kwa namna yeyote ile bila kujalisha ni katika ushiriki wa michuano ambayo inaweza kuitangaza nchi.

Kila timu ina hiyo spirit.

Hata wanaojitokeza hadharani kusema kwamba wanaiunga mkono Yanga au Simba kwa kigezo cha kuiwakilisha nchi, wengi hufanya kwa unafki tu sio kwa mapenzi ya kweli kutoka moyoni.

Utofauti unakuja ni kwenye njia zinazotumika katika kuonesha wewe huisapoti Yanga au Simba kwenye michuano ya kimataifa.

Kwa Simba utaona kabla na baada ya mechi wakionesha kutoitakia mema Yanga kwenye mechi yao ya kimataifa.

Hiyo inaitwa inderect

Lakini kwa Yanga utaona hilo lipo tofauti.

Kwani hadi viongozi wanahusika kama mpango kazi wa kuifelisha Simba.

Yanga ndio timu pekee ambayo viongozi wake waliwahi kwenda kuwapokea wapinzani wa Simba ili Simba ifungwe.

Yanga ndio timu pekee ambayo imewahi kuwatengea semina ya kuwapa mbinu wapinzani wa Simba ili waifunge Simba.

Yanga ndio timu pekee ambayo viongozi wao waliwahi kutoa shutuma za uongo kwa timu pinzani kuwa iwe makini na vyumba vya kubadilishia nguo kwa maana Simba hupulizia sumu.

Na jana tulisikia hizi tetesi za Jwaneng Galaxy kupokelewa hapo Kigamboni

Japo hiyo habari bado haijawa confirmed ila kupitia rekodi hizo hapo juu naona hilo linauwezekano mkubwa kuwa ni kweli.
Picha zilipigwa wakiwa avic town
 

Attachments

  • 20240301_105740.jpg
    20240301_105740.jpg
    61.5 KB · Views: 1
Mada inasema kwa kipindi hiki achana na mada za miaka ya nyuma
Mada inazungumzia tabia za Yanga kuwapokea wageni na kuwasaidia mbinu ili Simba ifungwe.

Hiyo ndio mada

Na mimi nimekuja kumjibu mdau ambaye anakataa kuwa Yanga haiwezi kuwapokea wageni kwasababu kwenye michuano ya kimataifa anaamini Yanga na Simba zinasapotiana.

Lengo lilikuwa kumuonesha kuwa hicho kitu hakipo kwa upande kwasababu hawajaanza leo kuwapokea wageni.

Hata raisi wa TFF aliwahi kukemea hiki kitendo kwa hiyo sishangazwi kusikia Jwaneng Galaxy walipokelewa na Yanga
 
Mada inazungumzia tabia za Yanga kuwapokea wageni na kuwasaidia mbinu ili Simba ifungwe.

Hiyo ndio mada

Na mimi nimekuja kumjibu mdau ambaye anakataa kuwa Yanga haiwezi kuwapokea wageni kwasababu kwenye michuano ya kimataifa anaamini Yanga na Simba zinasapotiana.

Lengo lilikuwa kumuonesha kuwa hicho kitu hakipo kwa upande kwasababu hawajaanza leo kuwapokea wageni.

Hata raisi wa TFF aliwahi kukemea hiki kitendo kwa hiyo sishangazwi kusikia Jwaneng Galaxy walipokelewa na Yanga
Hapo unaua mada kwa kujieleza sana
 
Picha zilipigwa wakiwa avic town
Umeona kasheshe hii?

Halafu wiki kadhaa zilizopita waliitana kindugu kufanya press eti kusapotiana kimataifa

Ndio maana Afisa Habari wa Simba hakuenda, kwasababu walikuwa wanafanya unafiki tu.
 
Back
Top Bottom