Je, ni magaidi wenyewe ndio wanajifungamanisha na uislam au waandishi wa habari ndio wanaoufungamanisha ugaidi na uislam

Amejimaliza wapi na ndiyo anawafyeka magaidi wa Hamas kwa speed ya 5G.
Kwa upeo wako unaweza kuona hivyo ila wenye uelewa wa sheria na mambo ya kimataifa wanona kama kajimaliza na kaiangamiza israel akiwemo former mp wa israel ehud barak
Sasahivi ukiwa jew nje ya israel huna amani na unatengwa hata kwenye michezo na mambo ya kimataifa
Kiongozi wa nchi amekuwa kama kibaka wa manzese na amepewa status ya criminal na hadi nchi za ulaya zimeapa kumkamata sasa utaenda vipi kwenye mikutano ya kimataifa
Hadhi ya taifa la israel imeharibiwa na inaonekana kama kikundi cha wahuni tu mbele ya jumuia ya kimataifa hadj waisrael wenyewe wanaandamana kupinga sera za nchi yao
European union inafikiria kuiwekea vikwazo israel
Ndio maana nasema wenye akili wameshaona isael kapoteza na ndio maana tunasema mungu ana njia zake za kumuangamiza mtu taratibu bila ya yeye kujua
 
Dunia ina Waislam 1.8 bilion ambao kila siku wanasali kuilaani Israel lakini Allah wala hajibu maombi yao kamwacha Israel aendeleze kichapo kwa waumini wake....kuna shida mahali siyo bure
Hata farao na hitler walijidanganya hivyo hivyo ila muda ni mwalimu mzuri , na mungu hapangiwi anafanya kila kitu kwa wakati anaotaka yeye
 
kwa hiyo nembo ni mtu kusema Mungu ni mkubwa ? basi kwa kiarabu ndio muislamu .

Nataka kuona hapa kundi la kigaidi limeenda Mecca kuhij ndio nitaamini , hawa hata kule hawafiki πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
Kuisafisha dini yako kunahitaji kujitoa akili
 
Tatizo ni pale vikundi hivyo ya kigaidi vinavyojitambulisha kama wafia Uislam vinapofanya mauaji wapo Waislam wanavishabikia hata huku jukwaani wamo.
 
Your browser is not able to display this video.
 
WAKIRISTO NA MAYAHAUDI WNAACHUKI NA UISLAM NA WAISLAM. HAYO MAANDISHI YAPO KTIK QURAN. KAMA HUIJUI QURAN HAYO YANATOKEA UTASHANGAA LKN KAMA UNAIJUA HUTOPATA SHIDA
SEMA NINI BRO,
NINYI MNA POOR THINKING AND REASONING CAPACITY.
UMEELEWA NILICHO ANDIKA?
 
Kwa hiyo vile unavyoona ndege za Israel zikiwalenga wagonjwa mahistipalini, watoto na wanawake ktk kambi za wakimbizi wao si magaidi

Tulionao wamarekani waliofanya kama hivyo wao si magaidi.

Na wale vibaka wanaokaamatwa na kuchomoka moto. Iwapo waliomchoma moto ni wakristo itakuwa sahihi tukisema ukristo ni ugaidi.

Turudi kwa kikundi cha lord resistance army kule uganda je wao ni magaidi?

Ktk mauwaji yaliyotokea Rwanda taarifa sahihi ni kuwa raia watutsi waliokimbilia kanisani askofu wa kanisa aliwapigia wanajeshi wa kihudu na wanajeshi walikwenda kanisani na kuwatoa uhai. Je ukristo si ugaidi

Swali langu ni jepesi. Ugaidi ni nini hasa. Kila muislam anapofanya uhalifu, uhalifu huo ndio ugaidi.

Au waandishi wa habari za ugaidi ndio wanaonasibisha uislam na ugaidi.
 
Uliona wap dini inawafundisha waumini wake karete na Judo?...ni uhayawani mtupu....mbaya zaid wanashauriana wazaliane wengi ili wawe wengi Nchini na kuweza kuweka utawala wa kiuslamu...wasichikijiua elimu ya kushawishi hawana zaid tu ya kulalamika kwa kila jambo na kuongeza mzigo kwny familia kwa kigezo Cha kuwa wengi
 
Tatizo ni pale vikundi hivyo ya kigaidi vinavyojitambulisha kama wafia Uislam vinapofanya mauaji wapo Waislam wanavishabikia hata huku jukwaani wamo.
Huenda wao wakawa ni majuha kuhusu misingi ya 'jihad' na sifa zake na vipi inatakiwa kuwa au sababu za kuwepo kwake,,,,!!!

Ndio maana haijawapo kusikika kutoka kwa prominent and most influential muslim scholars wa Tanzania au popote pale duniani wanaohamasisha jihad in the universe kwa sasa!!!

Hao wanaoshabikia hayo mapigano hawana tofauti na mashabiki wa kisiasa waliofeli kiasi cha kuomba itokee vita au coup d'etat.
They are not patriots
 
Hamna jihad hapo ni utapeli yaani mtanzania akapigane somalia ni jihad gani? Jihad watu wanalipwa ? Jihad ambayo wanapigana kweny makazi ya watu ?

Hao ni matapeli nchi za kiislamu huwakuti wananyongwa mapema.
 
Islam is a religion of conquest. Sehemu yoyote walipo wanataka complete control ya taasisi na mifumo yote ktk nchi.
Wakristo walikuwa wanafanya kbla ya milenia mpya na walimwaga damu nyingi sana.
bado dini yao haija-mature kwasababu ktk Abrahamic religions ynyewe ndio changa. They will evolve eventually
 
ni magaidi wenyewe ndio wanajifungamanisha na dini ili kupata cheap labour ya wapiganaji wa bure wa kuwalipa wali maharage tu baada ya kuwafanyia brainwash vijana wasio na ufahamu wowote kuhusu imani ya dini yao zaidi ya mihemuko tu. makundi ya kigaidi yapo yajifungamana na Ukristu mfano Lord Restichance Arm la Jo seph Konny na la Ant baraka la central africa,yapo yaliyojifungamana na uislam eg boko,alqaeda,alshahb nk.makundi yote haya hayapiganii dini bali maslai ya kidunia thus viongozi wake wote wanaishi maisha ya kifahari ya wanawake pombe na anasa huku wapumbavu wa chini wakiwabrainwashed kwa sababu wao ni vipofu hawajui lengo la kundi.Makundi yote haya yanafanya matendo kinyume na mafundisho ya dini mfano kuua watu wasio na hatia,kufanya biashara haramu ili kupata pesa za kuendesha kundi mfano kuuza madawa ya kulevya,kuuza viungo vya binadamu baada ya kuwaua mateka,usafirishaji haramu wa binadamu,uuzaji wa silaha kuuza wanawake kwenye madanguro nk,je dini ngani imeruhusu haya.Kwann vijana wa kiislamu ni wengi wanasapoti makundi haya ishu ni hapa ni elimu na uelewa kuhusu falsafa ya makundi haya ndo hawana.
 
SEMA NINI BRO,
NINYI MNA POOR THINKING AND REASONING CAPACITY.
UMEELEWA NILICHO ANDIKA?
Nimekufahamu hivi. wasomi wengi na maprof wengi tz ni waislam na wameifanya kuwa maskini. ingalikuwa wakiristo ndio wasomi wengi tz tz ingalikuwa kama Ulaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…