Je, ni magaidi wenyewe ndio wanajifungamanisha na uislam au waandishi wa habari ndio wanaoufungamanisha ugaidi na uislam

BOTH ARE TRUE
 
Dunia ina Waislam 1.8 bilion ambao kila siku wanasali kuilaani Israel lakini Allah wala hajibu maombi yao kamwacha Israel aendeleze kichapo kwa waumini wake....kuna shida mahali siyo bure
kweli shida ipo. shida kwamba waislam wameambiwa wakiristo wasiwafanya marafiki na wandani wao, walipowafanya marafiki ndio hayo yanatokea. au nimekufahamu vibaya?
 
Pole sana maalim
 
Si lazima kukubali. Ukweli kwamba ukifa nje ya uislam wewe ni moto. huo ndio ukweli
Kwa hiyo watakaoiona pepo.ni.waislam tuuu eeeeeeeeh.Wakati mwingine usiwe unaruhusu watu kuuona ujinga wako.Ni Fedheha.Ungezaliwa China kwa mujibu wako unekuwa condemned to hell?Puuzi kabisa wewe
 
Yale matoto ni terror breds future terrorists.

NO MERCY MAAMAEE
Ukiandika kama mkristo sishangai maana bible na tanakh vinawaamrisha kuuwa watoto ambao hawana hatia what peaceful religions anyway let me back up with some verses.

2 wafalme 2:23-24

(23)Elisha aliondoka Yeriko, akaenda Betheli. Alipokuwa njiani, wavulana fulani walitoka mjini wakaanza kumzomea wakisema, β€œNenda zako, nenda zako mzee kipara!”

(24)Elisha aligeuka akawatazama na kuwalaani kwa jina la Mwenyezi-Mungu. Dubu wawili majike wakatoka mwituni, wakawararua wavulana arubaini na wawili miongoni mwao.

1 samweli 15:3

Basi sasa nenda ukawapige Waamaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyonavyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, na mtoto anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda.
 
Kesho naenda kujaribu hii pale kariakoo nakuwa na begi kubwaaa na kipaza Sauti nasema Allah Akhabar tuone itakuwaje πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Hakuna muislamubaliyechinja mtu yoyote kusa dini ni watu wanaojifanya waislamu
Incharge,

Waislamu wengi si wote wapo emotional sensitive ukijaribu kupingana nae au kumtania kuhusu dini yake.

Mbona yalishatokea huko miaka ya nyuma mpaka watu wakauana.
 
Well said
 
kweli shida ipo. shida kwamba waislam wameambiwa wakiristo wasiwafanya marafiki na wandani wao, walipowafanya marafiki ndio hayo yanatokea. au nimekufahamu vibaya?
Uko sahihi mkuu

Waombaji 1.8 bil hawajapata majibu kwa dua zao. Bado Wazayuni, Manaswara na Wacomminist wa China wanadominate ulimwengu
 
Hizi mada zinagusa imaninza watu. Hivi Osama, Sadam na Aboubakar Baghdad yule jamaa wa IS na sisi waislam wa huku Tandare nani anafata misingi ya Imani yake?
Benjamin Nyetanyau na mkristo anayejiita muisrael kiimani wa hapa Masasi nani anafuata Imani yake kweli kweli?
Ndiyo maana hata mtu akiipinga Israelkwa utashibwake bado Imani yake itamfunga na mwingine hivyo hivyo ktk uislam. Maana yake huwezi kuwa mkristo ukawazidi wayahudi kwa haki ya Sheria wala huwezi kuwa muislam ukawazidi Saudia, Afghanistan, Iraq au Iran kwa ujanja.
Ndiyo maana wakristo magaidi wapi na wanaua na wakristo wachache ndo wanapinga the same to Islam na Buddhist
 
kwa hiyo nembo ni mtu kusema Mungu ni mkubwa ? basi kwa kiarabu ndio muislamu .

Nataka kuona hapa kundi la kigaidi limeenda Mecca kuhij ndio nitaamini , hawa hata kule hawafiki πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
Wanaoenda Kuhiji Mecca Muongozo wao sio Quran, Hadith, na Miratul Rasul??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…