Je, ni magaidi wenyewe ndio wanajifungamanisha na uislam au waandishi wa habari ndio wanaoufungamanisha ugaidi na uislam

Jf si kichaka cha upuuzi na uzushi.

Kwa wengine mada yenye uzushi itafungwa tu. Lkn ktk kundi hili linalosambaza taarifa ya kiintelijensia bandia hapa jf ni kichaka chao na wanahidhiwa kifua.

Si vema hata kidogo kwa maslahi ya taifa
Mada za kipuuzi na kizushi zipo nyingi sana, tusiwe wabaguzi kwakua maslahi yetu yameguswa.
 
Ndio maana tunaendelea kuwa maskini, tuko busy kubishana kuhusu Imani za Wageni na kuacha Mambo ya msingi! Kua mkristo au mwislam haikuondolei humanity! Hizi ni miongoni mwa mada ninazochukia mnooo
 
Pole sana ndugu yangu.

Hujatupatia maelezo ulipokuwa tangs uliuhusisha vipi wakazi wa tanga na ugaidi.

Pili nikwambie tu kama wewe unaamini taarifa za habari kuwa anachoongea ni ukweli basi pole.

95% taarifa ni uongo uliotengenezwa. Hujiulizi kwanini viongozi wanapoapishwa wanasema nitatunza (wataficha ) siri za serikali ili wewe usizijui.

Kwa ufupi soma kitu kinaitwa

Information warfare
Disinformation
False flage terror.

Ndicho kilichotokea arusha. Ambapo bomu bandia lilipolipuka alionekana kijana aliyevaa kanzu akikimbia. Lkn askari hawakumshughulikia. Rais wema wakamkamata. Baada ya uchunguzi alifahamika anaitwa joseph, akapelekwa mahakamani. Lkn hakuna anaejua kesho yake iliishaje.

False flage Terror. Ni ugaidi wa kutengenezwa
 
Ok. Taarifa zako yaonyesha ni za kichunguzi.

Naomba link inayoambatana na taarifa za huko Denmark. Waislam nchini Denmark ni sawa na wakristo pemba. Hivi yawezekana wakristo wa pemba wachukizwe hadi wafike hatua ya kuchoma misikiti. Hawawezi kwa kuwa ni wachache sana.

Hivyo kusema waislam wa denmark walichoma makanisa ni uongo. Ukinambia walichoma moto bendera nitakukubalia.

Suala la machafuko nigeria yapo. Wakristo wanauwawa na waislam wanauwawa. Mabango ya uchochezi yanaprintiwa na kubandikwa.

Lkn ni muhimu pia ujue nani anabandila mabango hayo.

kwasababu kuna hii vita vya fikra. Unaitwa information warfare, au disinformation. Ktk ugaidi kuna kitu kinaitwa False Flag Terror.

Ndicho kinachofanywa na wavuta bangi na kushadidiwa na waandishi wa habari.

Nimalizie kwa kukuuliza.

Kaskazini mwa nigeria ndiko kuna waislam wengi kama mwambao wa tanganyika.

Lkn kuna waislam wanawasifia kwa tabia njema za kipekee. Huku waandishi na vyombo vya habari vya wazungu wakiwaita magaidi.

Unadhani sisi kama waislam tutamwamini nani.

Watch this
View: https://youtu.be/m1lwOOcosDI?si=4LRBYYoDsJNLMwHS

View: https://youtu.be/nMGYj6A1K5w?si=7ycAARzQPqWCxyxr
 
Mada za kipuuzi na kizushi zipo nyingi sana, tusiwe wabaguzi kwakua maslahi yetu yameguswa.
Ni maslahi ya taifa. Ndio mana nimekuja na swali kupata experience. Kwasababu sisi kama waislam tuna uzoefu zinapojitokeza taarifa hizi siku chache zijazo linajitokeza wimbi la kamata kamata au tukio kubwa litakalonasibishwa na uislam. Kwa maana taarifa kama hizi zinajustofy plan iliyoandaliwa
 
Hivyo kusema waislam wa denmark walichoma makanisa ni uongo. Ukinambia walichoma moto bendera nitakukubalia.
Mohamed,

Hapana sehemu nimesema haya.
Msome Richard Hawkins kwenye ukurasa wa deserved respect kaelezea hilo tukio kwa undani zaidi

Halafu utasoma na hapa chini.


Kuna mahala kama dini viongozi wanapaswa kutazama hili jambo kwa mapana. Sababu binafsi sijawahi kuona viongozi wakubwa wa dini wakitoka kukemea vitu hivi. Ndio maana nikasema huenda ni waandishi au dini ina uhusiano na ugaidi.
 
Kuna mstari mwembamba Sana unaotenganisha kati ya Uislamu na Ugaidi
 
kinacho nichekesha waislamu wengi wanashinda kuelewa mafundisho yao yanapitia humo humo na kupandikiziwa wasicho kijua mfano wanaweza kumkubari mtu kuwashawishi bila kujua nafsi yake katumia mlengo wake.


siju kama wanapenda kusoma na walishawai kujifunza kupitia kwa NAZI hii tabia ambayo sasa wanatumia kama NAZI
 
Wewe uliyesoma nataka kujifunza.

Crusade ni nini. Nini asili yake
 
Umeleta taarifa mpya kabisa. Haifanani na taarifa yako ya awali.

Kwa ufupi waislam hawana kitu kinachoitwa uvumilivu wanapotukaniwa dini yao. Hili lieleweke. Na kama kukosa uvumilivu ni ugaidi sawa.

Tofauti na ukristo.

Hata leo akikashifiya paulo au yesu kuwa waliowana, walikuwa mashoga, au mariam alizaa na shetani wakristo watavulimia tu matusi hayo kwa mujibu wa dini Yao. Wakristo wanataka waislam nao wavumilie. Kwa hilo tutakutana barabarani. Kwa hilo aliyefanya hivyo kichwa ni halali yetu. Hatuwezi kuvumilia tukubali kufuru dhidi ya dini yetu
 
Kwa ufupi waislam hawana kitu kinachoitwa uvumilivu wanapotukaniwa dini yao. Hili lieleweke. Na kama kukosa uvumilivu ni ugaidi sawa.
Mohamed,

Soma hio taarifa vzuri.
Tatizo la gazeti la dernmark limekwenda kugharimu maisha ya watu wanaoishi indonesia, Pakistan, italia , Nigeria n.k.

Sijui kama unanielewa ninachomaanisha.yaani ndugu yangu Mohamed leo mimi nimekukashifu wewe. Lakini badala udili na mimi unaenda kuua watu wengine kabisa huku muhusika ukimuacha.

Kwako kama hilo ni sawa basi ni uamuzi wako. Ila sababu mimi ni mtu rational siwezi kwenda kuua mtu mwingine sababu ya kuambiwa kuna watu wamechora katuni inayofanana na mtume. Kwanini tusiwatafute hao hao?

Lakini baada ya yote hayo, hakuna anayetoka kukemea kwamba hawahusiani na imani yetu. Vikundi ambavyo vimekuwepo duniani vikijinasibisha na uislamu sikuwahi kusikia kiongozi yoyote au waislamu wakitoka kuandamana kupinga mambo hayo!

Ndio maana nikasema huenda waandishi wanawahusisha au uislamu unaambatana na ugaidi.

Siku njema mkuu.
 
Natamani kujua:J
  • Je ni kwa nini kwenye vutuo vya kuelekea watoto/shule za awali hutumika kufindisha watoto masuala yahusuyo ugaidi? Mapigano, kulipiza visasi n.k. Kuna ushahidi mwingi baada ya watu hao kukamatwa.
  • Je ni kwa nini Waislamu ni washari sana hata bila ya sababu za msingi? Mnaweza kuwa mbaongea taratibu tu, ila likija swala dogo tu la kidini ushari unaanza na dalili za wazi za kutaka kupigana zinaonekana.
Ukiona unasenwa vibaya kabla ya kuwakosoa wanaokusema, jitafakari ujirekebishe.
 
Mnapenda kuishi kwa kushindana ndiyo maana you're looked down as inferior as trash.Ulimwengu unabadilika kila leo.Badilikeni.
Ulimwengu umebadilika. Jua linatoka Kusini linaenda kaskazini? Hakuna tena usiku? hakuna kula na kunywa? Watu wanakunya kwa mdomo? Kipi kimebadilika zamani hakipo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…