Je, ni magaidi wenyewe ndio wanajifungamanisha na uislam au waandishi wa habari ndio wanaoufungamanisha ugaidi na uislam

Je, ni magaidi wenyewe ndio wanajifungamanisha na uislam au waandishi wa habari ndio wanaoufungamanisha ugaidi na uislam

Southampton
main-qimg-362eb8cccacb0b71ffcf421eef6033f1-lq.jpeg
 
Kwa akili zako nyepesi je boko haram wanajidaisha waislam kuua kumbe wakristo ee osama nae ni vile vile tena yule alikua myahudi kabisa ee
naona akili yako nzito, nakwambia ni rahisi mtu yoyote kujinasibu kuwa ni muislamu akiwa na agenda zake mwenyewe
 
Yawezekana ukawa wewe ndio PUNGUANI ila kwasababu umemezeshwa UJINGA tangu ukiwa mdogo huwezi kuelewa tofauti. Ungekuwa umezaliwa India ungekuwa unaabudu ng'ombe, ungezaliwa China ungekuwa huna ujinga mwingi uliojaza kichwani. Kufa na kitorudi ni nature ndo maana wengine wanakufa siku hiyohiyo wengine wanazaliwa. Kwahiyo kwa akili yako timamu unaamini kuna mtu anayekufa anaenda kupewa mabikra 72!??,nijibu kwa kutumia akili zako (common sense),sio ujinga uliokaririshwa tangu ukiwa mtoto..
india hakuna waislam wala Urusi hakuna waislam? wote wanaabudia Ngombe? Ujue hata Saudia kuna wakiristo ambao hawajitambui kwanini wameumbwa kama ulivyokuwa hujitambui wewe
 
india hakuna waislam wala Urusi hakuna waislam? wote wanaabudia Ngombe? Ujue hata Saudia kuna wakiristo ambao hawajitambui kwanini wameumbwa kama ulivyokuwa hujitambui wewe
Wewe unayeishi kwa matumaini ya kwenda kupewa mabikra 72 huko kusikojulikana ndiye usiyejitambua. Ukifa biashara yako imekwisha.
 
Wewe unaishi kwa matumaini ya kwenda kupewa mabikra 72 huko kusikojulikana ndiye usiyejitambua. Ukifa buashara yako imekwisha.
Unashangaa mabikra, hushangai wewe kunya kupitia tundu badala ya mdomo. siku yakitokea kwenye mdomo itakuwaje? ulijua kama utakunya kupitia huko? Allah ndio muweza wa kila kitu
 
Unashangaa mabikra, hushangai wewe kunya kupitia tundu badala ya mdomo. siku yakitokea kwenye mdomo itakuwaje? ulijua kama utakunya kupitia huko? Allah ndio muweza wa kila kitu
Mbona unaongea utopia, kwani nyie Waislam mnakunya kupitia midomo yenu?
 
Unajidanganya. kwani ulijua kama utazaliwa? Unajua lini utakufa? kama yote hayo huyajui kwanini huamini baada ya kufa kuna maisha?
Thibitisha hicho unachosema. Vinginevyo kaa kimya na amini unachoamini,na usimuone asiye amini unachoamoni ni mjinga kwani naye anakuona vivyo hivyo.
 
india hakuna waislam wala Urusi hakuna waislam? wote wanaabudia Ngombe? Ujue hata Saudia kuna wakiristo ambao hawajitambui kwanini wameumbwa kama ulivyokuwa hujitambui wewe
Upeo wako wa kufikiri (thinking capacity)upo chini sana. Unadhani kuwa mkristo au muislam ni kujitambua, hayo yote umemezeshwa ukiwa mdogo. Ungeweza kuzaliwa China na ukiwa mchina, sasa hivi ungekuwa bize na kujenga madaraja au kutengeneza, Tv au ubunifu wowote, sasa umezaliwa Tanzania ndo maana una hizo Imani za asubuhi,mchana na usiku kwenda kumsifu Mohamed. Huwezi kunielewa sababu akili yako 98% imeshashikiliwa na dini ya waarabu.
 
Me nadhani ndugu zangu mnaoshikamana na imani ya kiislam ni wakati sasa wa kuwaumbua na kujitenga mbali na hawa wanavikundi vya wavuta misokoto ya bangi kwa kutumia kurasa za Quran takatifu.

Nina walaumu kwanza ninyi sababu ninyi wenyewe hampo mstari wa mbele kukemea jambo ambalo linadhalilisha imani yenu ila bado inapotokea iman zingine zimakemea ninyi ndio mtakuja juu juu kama moto wa gesi.

Kimsingi ukikalia kimya jambo maana au tafasiri yake ni kuwa unaliunga mkono na halikupi shida.

Ugaidi si uislamu ila upo ugaidi ambao unajishikisha na uislamu kwa watu kutumia dini kujipatia fedha, rasilimali, mamlaka na kadhalika. Why mnawachekea hawa why hakuna maandiko, waraka au makemeo ya kuwaumbua?

Mbona mnaandika sana kumhusu mnyama kitimoto kumponda mbona hamuandiki maandiko marefu kuhusu tabia mbaya ya hawa wahalifu wanaotumia uislam kama chaka la uovu wao?

Hebu mjitathimini na kujitafakari. Haya mambo yakomeshwe.
 
Kuna Propaganda mpya dhidi ya Waislamu.

Wako wanaofurahia propaganda hizo.

Wako wanaoamini propaganda hizo.

Wako wanaolipwa kwa kuandaa propaganda hizo.

Propaganda hivi zimaendezwa kwaa media kupitia waandishi

Lakini wapo waandishi waliotaka kujua ukweli wa ugaidi. Kuwa ni magaidi wenyewe ndio wanaojinasibisha na Uislam au ni waandishi wenziwao ndio wanaoufungamanisha Uislam na Ugaidi.

Mmoja wa waandishi hao ni AZORY. Hata hivyo alipotaka kutekeleza jukumu hilo alipotezwa na watu wasiojilikana. Kila mmoja unaelewa ni nani wasiojilikana kuwa ni watu waliosikiliza amri kutoka juu.

Hata hivyo limejitokeza akina Azory wa Bandia. Wameweza kukusanya uchunguzi na kuzungumzia ugaidi wa waislam.

Kundi hilo linauzungumzia ugaidi kwa ustadi zaidi ya waongoza muvi za BOLLYWOOD wa na wasimulia muvi wa kule tandale.

Cha ajabu wameyafanya yote na hatimae kuanza kusambaza kwenye mitandao.

Hata hivyo kikundi hiki kinafanya yote haya kama kwamba tz ni sehemu salama kwao kujificha kwa kutengeza na kusambaza uongo uliotengezwa huku wakikingiwa kifua.

Waislam nchini wanaitahadharisha SERIKALI izingatia zaidi maslahi ya Taifa katika kuiendea na kuishughulikia dhana ya ugaidi nchini.

Kuna waandishi hao ambao jf inawalinda wameendelea kuandika makala zinazozungumzia ugaidi wa Waislamu nchini na kwa nchi za jirani.

Kuna waraka wenye anuani ya Njua ya Kibiti kwenda kwenye laana Cabo Delgado.

Moja ya suala linalojitokeza katika makala hiyo ni Uislamu na ugaidi, ingawa mwandishi anadai kuwa magaidi ndio wanao husisha Dini ya Uislamu na ugaidi lakini kwa hakika yeye (Mwandishi) ndiye anayehusisha Uislamu na Ugaidi.

Tunawashauri viongozi wazingatie zaidi maslahi ya Taifa katika suala hili la ugaidi, kwani sasa zimeanza kuibuka propaganda mpya za ugaidi zinazo wanasibisha Waislamu.

Tunaishauri serikali ifute kabisa sheria ya ugaidi na badala yake itumie shera ya uhalifu ambao ipo ili kuwapumzisha na kuwaondolea waislam wasiwasi wa operasheni zinazoibuka baada ya kuanza kwa propadanga hizi ili niweze kuhalalisha uovu wa baadhi ya watendaji wa serikali waovu, wavuta bangi waliopandikizwa chuki kupitia propaganda hizi dhidi ya Waislamu.

Tunaikumbusha Serikali kwamba, Taifa la Tanzania limejengwa juu misingi mitatu ambayo ni Serikali, Bunge na Mahakama.

Na huu mpango mpya wa propaganda zenye uongo uliotengenezwa si ktk misingi sahihi ya kuendesha serikali.

Waraka huu umesomwa na kiongozi mwenye ushawishi mkubwa kwa waislam nchini Sheikh Ponda Issa Ponda.

Ameeleza kuwa mwaka 2002, wakati wa mchakato wa Sheria ya Ugaidi, Wabunge walisema maneno mazito Bungeni, na kufafanua kuwa Tanzania hakuna ugaidi na Sheria hiyo ya Ugaidi inawalenga zaidi raia Waislamu.

Akasema, hivi sasa matokeo ya utekelezaji wa Sheria hiyo yanaonekana wazi kwani wanaokamatwa na kutuhumiwa kwa ugaidi wengi wao ni Masheikh na Waislamu wa kawaida.

Lakini la kusikitisha zaidi ni kwamba hata kesi zake mahakamani zinakwama kusikilizwa na Waislamu wakabaki wafungwa mahabusu wa muda mrefu.

Akizungumzia kuhusu makala hayo Sheikh Ponda, anasema ingawa mwandishi anadai kuwa magaidi ndio wanao husisha Dini ya Uislamu na ugaidi, lakini makala hiyo ipo wazi kuwa yeye ndiye anayehusisha Uislamu na ugaidi.

Akifafanua Sheikh Ponda, amesema Mwandishi wa Makala hiyo amewataja Waislamu wasomi wa Vyuo vya Kiislamu kama Magaidi huku Misikiti, Madrasa, Asasi kama vile vituo vya Yatima na Shule za Kiislamu amevitaja kuwa ni vituo vya Kigaidi.

Aidha amesema, katika makala yake hiyo ameyataja mataifa kadhaa aliyodai kuwa yanayoelekea kusambaratika kutokana na hicho alichokiita ni ugaidi.

Sheikh Ponda amemtanabahisha mwandishi huyo kuwa uandishi wake unatakiwa azingatie maamuzi yaliyotolewa na Mahakama kuhusu suala hili zito linalohusu uhai wa watu na mustakbali wa Taifa, badala ya kuja na uchambuzi wa taarifa bandia za Intelijensia.

Kwani taarifa sahihi anazo Azory.
Muarabu+Uislam=UGAIDI.
 
Si sahihi, uislamu unakataza kwenda kinyume na amri za Mungu, mtume na serikali yenye mamlaka kutoka kwa wananchi, yeyote anayefanya uhuni kwa kisingizio cha uislamu huyo ana personal interest na hicho anachokifanya, kuhusu baadhi ya ayah za quran zilizoamrisha kupigana ziliteremka madina zenyewe zililenga kuwapa ruhusa waislamu wa wakati huo kujihami na kulipa kisasi kwa maovu waliyofanyiwa pasipo na sababu za msingi kutoka kwa watu wa Makkah ambao walikuwa waabudu masanamu wenye chuki binafsi dhidi ya muhammad na wafuasi wake, na ndio maana kwa sasa hakuna nchi ya kiislamu inayolingania kwenye jihad kwa sababu waislamu wa dunia ya leo wako mbali na manyanyaso kutoka kwa wasio waislamu, lakini tumeshuhudia matukio kadhaa ya kibaguzi dhidi ya uislamu wakati huo huo viongozi wa mataifa mengi ya kiislamu wameishia kulaani kwa maneno na sio mapigano kwa sababu kwa sasa hakuna hoja ya msingi ya kupigana, kinachoendelea gaza na Israel ni vita ya uhuru wa kitaifa na maslahi ya kisiasa, kadhalika katika maeneo mengine duniani kuna makundi yanayozozana kimaslahi na si kidini.

Uislamu unaamrisha amani na upendo kwenye jamii.
Uislamu na ugaidi ni sawa na mtoto na uji
 
Kuna Propaganda mpya dhidi ya Waislamu.

Wako wanaofurahia propaganda hizo.

Wako wanaoamini propaganda hizo.

Wako wanaolipwa kwa kuandaa propaganda hizo.

Propaganda hivi zimaendezwa kwaa media kupitia waandishi

Lakini wapo waandishi waliotaka kujua ukweli wa ugaidi. Kuwa ni magaidi wenyewe ndio wanaojinasibisha na Uislam au ni waandishi wenziwao ndio wanaoufungamanisha Uislam na Ugaidi.

Mmoja wa waandishi hao ni AZORY. Hata hivyo alipotaka kutekeleza jukumu hilo alipotezwa na watu wasiojilikana. Kila mmoja unaelewa ni nani wasiojilikana kuwa ni watu waliosikiliza amri kutoka juu.

Hata hivyo limejitokeza akina Azory wa Bandia. Wameweza kukusanya uchunguzi na kuzungumzia ugaidi wa waislam.

Kundi hilo linauzungumzia ugaidi kwa ustadi zaidi ya waongoza muvi za BOLLYWOOD wa na wasimulia muvi wa kule tandale.

Cha ajabu wameyafanya yote na hatimae kuanza kusambaza kwenye mitandao.

Hata hivyo kikundi hiki kinafanya yote haya kama kwamba tz ni sehemu salama kwao kujificha kwa kutengeza na kusambaza uongo uliotengezwa huku wakikingiwa kifua.

Waislam nchini wanaitahadharisha SERIKALI izingatia zaidi maslahi ya Taifa katika kuiendea na kuishughulikia dhana ya ugaidi nchini.

Kuna waandishi hao ambao jf inawalinda wameendelea kuandika makala zinazozungumzia ugaidi wa Waislamu nchini na kwa nchi za jirani.

Kuna waraka wenye anuani ya Njua ya Kibiti kwenda kwenye laana Cabo Delgado.

Moja ya suala linalojitokeza katika makala hiyo ni Uislamu na ugaidi, ingawa mwandishi anadai kuwa magaidi ndio wanao husisha Dini ya Uislamu na ugaidi lakini kwa hakika yeye (Mwandishi) ndiye anayehusisha Uislamu na Ugaidi.

Tunawashauri viongozi wazingatie zaidi maslahi ya Taifa katika suala hili la ugaidi, kwani sasa zimeanza kuibuka propaganda mpya za ugaidi zinazo wanasibisha Waislamu.

Tunaishauri serikali ifute kabisa sheria ya ugaidi na badala yake itumie shera ya uhalifu ambao ipo ili kuwapumzisha na kuwaondolea waislam wasiwasi wa operasheni zinazoibuka baada ya kuanza kwa propadanga hizi ili niweze kuhalalisha uovu wa baadhi ya watendaji wa serikali waovu, wavuta bangi waliopandikizwa chuki kupitia propaganda hizi dhidi ya Waislamu.

Tunaikumbusha Serikali kwamba, Taifa la Tanzania limejengwa juu misingi mitatu ambayo ni Serikali, Bunge na Mahakama.

Na huu mpango mpya wa propaganda zenye uongo uliotengenezwa si ktk misingi sahihi ya kuendesha serikali.

Waraka huu umesomwa na kiongozi mwenye ushawishi mkubwa kwa waislam nchini Sheikh Ponda Issa Ponda.

Ameeleza kuwa mwaka 2002, wakati wa mchakato wa Sheria ya Ugaidi, Wabunge walisema maneno mazito Bungeni, na kufafanua kuwa Tanzania hakuna ugaidi na Sheria hiyo ya Ugaidi inawalenga zaidi raia Waislamu.

Akasema, hivi sasa matokeo ya utekelezaji wa Sheria hiyo yanaonekana wazi kwani wanaokamatwa na kutuhumiwa kwa ugaidi wengi wao ni Masheikh na Waislamu wa kawaida.

Lakini la kusikitisha zaidi ni kwamba hata kesi zake mahakamani zinakwama kusikilizwa na Waislamu wakabaki wafungwa mahabusu wa muda mrefu.

Akizungumzia kuhusu makala hayo Sheikh Ponda, anasema ingawa mwandishi anadai kuwa magaidi ndio wanao husisha Dini ya Uislamu na ugaidi, lakini makala hiyo ipo wazi kuwa yeye ndiye anayehusisha Uislamu na ugaidi.

Akifafanua Sheikh Ponda, amesema Mwandishi wa Makala hiyo amewataja Waislamu wasomi wa Vyuo vya Kiislamu kama Magaidi huku Misikiti, Madrasa, Asasi kama vile vituo vya Yatima na Shule za Kiislamu amevitaja kuwa ni vituo vya Kigaidi.

Aidha amesema, katika makala yake hiyo ameyataja mataifa kadhaa aliyodai kuwa yanayoelekea kusambaratika kutokana na hicho alichokiita ni ugaidi.

Sheikh Ponda amemtanabahisha mwandishi huyo kuwa uandishi wake unatakiwa azingatie maamuzi yaliyotolewa na Mahakama kuhusu suala hili zito linalohusu uhai wa watu na mustakbali wa Taifa, badala ya kuja na uchambuzi wa taarifa bandia za Intelijensia.

Kwani taarifa sahihi anazo Azory.sio kila mwislamu ni gaidiila kila gaidi ni muislamu,ngumu sana kuutenganisha uislamu na ugaidi hapa tunaongelea wae radical islamist.
 
Back
Top Bottom