chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Ni dhahiri kwamba Waitara "ameshauona mwisho" kabla ya kuufikia.
Leo amefanya mahojiano na waandishi wa habari akilalamika kwamba serikali imeweka mipaka ya hifadhi ya Serengeti bila kumshirikisha, Waitara alikuwa akilia kwa kwikwi na akijiapiza kwa kidole.
Anadai Chadema wamepita jimboni "wakamtwanga vilivyo" na anadai kwamba Mkuu wa Mkoa alim-fix akaenda kuongea kwa wananchi kwamba watashirikishwa, lakini alipotega mgongo, serikali ikamtupa mkono. Amekuwa akiendesha vita ya "msituni" dhidi ya viongozi wa serikali, bila shaka anapata wakati mgumu katika ubunge wake.
Waitara ni moja ya wabunge walionunuliwa katika mnada wa hadhara ili ajiunge CCM enzi ya jiwe, kwa Sasa haoni pa kwenda, labda ACT Wazalendo, ni kama CCM wanamtema kimtindo.
Baadhi ya wanaomfahamu, wameshauri atafute dereva na asiwe anatembea peke yake, anaweza kupata ajali kubwa sana kutokana na msongo wa mawazo kuelekea 2025.
Leo amefanya mahojiano na waandishi wa habari akilalamika kwamba serikali imeweka mipaka ya hifadhi ya Serengeti bila kumshirikisha, Waitara alikuwa akilia kwa kwikwi na akijiapiza kwa kidole.
Anadai Chadema wamepita jimboni "wakamtwanga vilivyo" na anadai kwamba Mkuu wa Mkoa alim-fix akaenda kuongea kwa wananchi kwamba watashirikishwa, lakini alipotega mgongo, serikali ikamtupa mkono. Amekuwa akiendesha vita ya "msituni" dhidi ya viongozi wa serikali, bila shaka anapata wakati mgumu katika ubunge wake.
Waitara ni moja ya wabunge walionunuliwa katika mnada wa hadhara ili ajiunge CCM enzi ya jiwe, kwa Sasa haoni pa kwenda, labda ACT Wazalendo, ni kama CCM wanamtema kimtindo.
Baadhi ya wanaomfahamu, wameshauri atafute dereva na asiwe anatembea peke yake, anaweza kupata ajali kubwa sana kutokana na msongo wa mawazo kuelekea 2025.