Je, ni mwanzo wa mwisho wa Mwita Waitara mbunge wa Tarime Vijijini?

Je, ni mwanzo wa mwisho wa Mwita Waitara mbunge wa Tarime Vijijini?

Hilo jimbo Tayari lipo mikononi mwa Heche....Kayafa ltd waendereyee na maandalizi ya KUFUNGASHA
Heche anapisha kwani si wanahubiria demokrasia , Kuna wengine wenye uwezo mkubwa kuliko huyo Heche.kwani yeye ndiye amezaliwa awe mbunge pekee. Tarime huwa inatoa Ajira bila upendeleo
 
28 March 2023
Tarime, Tanzania

WANANCHI WAGOMEA ZOEZI, MKUU WA MKOA WA MARA AWA MBOGO "MTAKE MSITAKE ZOEZI LITAKAMILIKA" AMLAUMU MBUNGE MWITA WAITARA NA MWENYEKITI WA CCM TARIME


Zoezi la kuweka beacon kuonesha mpaka lafanyika chini RC Major General Suleiman Mzee na viongozi wa serikali ya CCM mkoa wa Mara.

Wananchi wazira hivyo kutotokea kushuhudia zoezi la mipaka lililoorodheshwa katika gazeti la serikali GN Govt Notice iliyotolewa na kuchapishwa mwaka 1968 yaani miaka karibu 54 iliyopita.
 
Hilo jimbo Tayari lipo mikononi mwa Heche....Kayafa ltd waendereyee na maandalizi ya KUFUNGASHA
Hivi kwann uwa mnaamini sana kwa watu walioshindwa,Chadema nzima hakuna mwingine zaidi ya heche au ni kufia madarakani kama mbowe?
 
Ni dhahiri kwamba Waitara "ameshauona mwisho" kabla ya kuufikia.

Leo amefanya mahojiano na waandishi wa habari akilalamika kwamba serikali imeweka mipaka ya hifadhi ya Serengeti bila kumshirikisha, Waitara alikuwa akilia kwa kwikwi na akijiapiza kwa kidole.

Anadai Chadema wamepita jimboni "wakamtwanga vilivyo" na anadai kwamba Mkuu wa Mkoa alim-fix akaenda kuongea kwa wananchi kwamba watashirikishwa, lakini alipotega mgongo, serikali ikamtupa mkono. Amekuwa akiendesha vita ya "msituni" dhidi ya viongozi wa serikali, bila shaka anapata wakati mgumu katika ubunge wake.

Waitara ni moja ya wabunge walionunuliwa katika mnada wa hadhara ili ajiunge CCM enzi ya jiwe, kwa Sasa haoni pa kwenda, labda ACT Wazalendo, ni kama CCM wanamtema kimtindo.

Baadhi ya wanaomfahamu, wameshauri atafute dereva na asiwe anatembea peke yake, anaweza kupata ajali kubwa sana kutokana na msongo wa mawazo kuelekea 2025.

Karma is real. Leo waitara analia Kama mtoto. Aisee!
 
Waitara anadai ametelekezwa. Kwa kweli wengi walifanya maamuzi kwa mihemko. Leo wamebaki kulia. Bado kina Silinde na yule Petrobas katambi.
 
Apunguze matumizi ya pombe kali.
 
28 March 2023
Tarime, Tanzania

WANANCHI WAGOMEA ZOEZI, MKUU WA MKOA WA MARA AWA MBOGO "MTAKE MSITAKE ZOEZI LITAKAMILIKA" AMLAUMU MBUNGE MWITA WAITARA NA MWENYEKITI WA CCM TARIME


Zoezi la kuweka beacon kuonesha mpaka lafanyika chini RC Major General Suleiman Mzee na viongozi wa serikali ya CCM mkoa wa Mara.

Wananchi wazira hivyo kutotokea kushuhudia zoezi la mipaka lililoorodheshwa katika gazeti la serikali GN Govt Notice iliyotolewa na kuchapishwa mwaka 1968 yaani miaka karibu 54 iliyopita.

Naona waitara analeta u po inzani ndani ya ccm,akichinganisha wananchi na serikali!
 
Waitara anadai ametelekezwa. Kwa kweli wengi walifanya maamuzi kwa mihemko. Leo wamebaki kulia. Bado kina Silinde na yule Petrobas katambi.
Mwitta Mwikabe Waitra hafai kwa lolote. Hana msimamo na ana tamaa ya madaraka. Ni msaliti Huyu Mwita Waitra amepata kuteuliwa kuwa Naibu Waziri kwenye Serikali ya Jiwe kama shukrani za Jiwe kwa kumsaliti Tundu Lissu. Akiwa Bungeni mnamo tarehe 7/ Septemba/ 2017 yeye ndiye alikuwa anawasiliana na Makonda kuhusu movement za Lissu toka Bungeni kwenda nyumbani kwake.
 
Ni dhahiri kwamba Waitara "ameshauona mwisho" kabla ya kuufikia.

Leo amefanya mahojiano na waandishi wa habari akilalamika kwamba serikali imeweka mipaka ya hifadhi ya Serengeti bila kumshirikisha, Waitara alikuwa akilia kwa kwikwi na akijiapiza kwa kidole.

Anadai Chadema wamepita jimboni "wakamtwanga vilivyo" na anadai kwamba Mkuu wa Mkoa alim-fix akaenda kuongea kwa wananchi kwamba watashirikishwa, lakini alipotega mgongo, serikali ikamtupa mkono. Amekuwa akiendesha vita ya "msituni" dhidi ya viongozi wa serikali, bila shaka anapata wakati mgumu katika ubunge wake.

Waitara ni moja ya wabunge walionunuliwa katika mnada wa hadhara ili ajiunge CCM enzi ya jiwe, kwa Sasa haoni pa kwenda, labda ACT Wazalendo, ni kama CCM wanamtema kimtindo.

Baadhi ya wanaomfahamu, wameshauri atafute dereva na asiwe anatembea peke yake, anaweza kupata ajali kubwa sana kutokana na msongo wa mawazo kuelekea 2025.
Kuna clip ya bunge niliona anamwambia waziri akawaambie wanchi kuhusu kupata mamlaka ya mji mdogo hawana pesa wakati kisheria kata zimekidhi vigezo badala awatetee wananchi wapate iliyo halali yao yy anawachonganisha
 
BWANA asema hivi,
Amelaaniwamtu yule
amtegemeaye mwanadamu,
Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake
Na moyoni mwake
amemuacha BWANA
Yeremia 17:5
 
Back
Top Bottom