yvegenc prymacov
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,530
- 1,961
Hofu ya CDM miaka 2 kabla ya uchaguzi, CHADEMA hoyeeeeeee!Ni dhahiri kwamba Waitara "ameshauona mwisho" kabla ya kuufikia.
Leo amefanya mahojiano na waandishi wa habari akilalamika kwamba serikali imeweka mipaka ya hifadhi ya Serengeti bila kumshirikisha, Waitara alikuwa akilia kwa kwikwi na akijiapiza kwa kidole...
Mbowe ana akili sana hata sijui alipataje ziro fomu siksi!Bora jpm alinunua kwa lejaleja,mbowe ye kauza chama kwa bei ya jumla.na samia kanunua kama mtu ananunua tenga la kuku.
Chadema imtumie Abdul Kambaya yuko vizuri kiuhamazishaji.Kambaya alihamia Chadema baada ya kufukuzwa CUF
Kati ya wanao umia sana kwa kifo cha Jiwe basi ni Waitara,Muro na Happy na mwenzao yule wa Gwambina bila kumsahau DABNi kondomu iliyotumika....
Cdm ni chama masikini cha watu makini wasiyo na tabia ya udokozi wa mali ya umma.Na kambaya amenunuliwa shs ngapi na Chadema?