Je ni sahihi kufanya mapenzi na mwenza kama majaribio kabla ya kuoana na kufunga ndoa?

Je ni sahihi kufanya mapenzi na mwenza kama majaribio kabla ya kuoana na kufunga ndoa?

Mnakuwa mnakuta nini ambacho hamkukitegemea eti?
Bwawa


Ina maji mengi inafoka



Inatoa harufu sugu



Inajamba jamba hasa ukimuweka dog



Mvuvi hajitumi



Inabana sana analalamika namuumiza

Labda simrizishi siendani na spidi zake


Mwili wake haujanivutia



Vitu kama hivyo kikipatikana kimojawapo basi na sex life inakuwa changamoto na sex life yako kwenye ndoa ikiwa changamoto

Basi side effects unazijua hakuna ndoa hapo
 
Bwawa


Ina maji mengi inafoka



Inatoa harufu sugu



Inajamba jamba hasa ukimuweka dog



Mvuvi hajitumi



Inabana sana analalamika namuumiza

Labda simrizishi siendani na spidi zake


Mwili wake haujanivutia



Vitu kama hivyo kikipatikana kimojawapo basi na sex life inakuwa changamoto na sex life yako kwenye ndoa ikiwa changamoto

Basi side effects unazijua hakuna ndoa hapo
😂😂Aisee...

Kwahiyo na kubana sana napo ni tatizo! Kwahiyo ukikuta inabana unamuumiza unamuacha?

Mwili haujakuvutia? Kwani si alikuvutia ndo ukamfuata au? Au sehemu zake za Siri ndo hazijakuvutia?

Mtu akitaka kukutafutia sababu bwana hakosi.

Mnaondelea kubana miguu endeleeni tu. Hamna cha maana zaidi ya kuwa sex toy wa binadamu mwenzio. No love, no spiritual/emotional connection out here.

Unless akupe sababu nzuri kabisa ya wasiwasi wake, na me sababu pekee nayoona ni ya kueleweka ni kama issue za bwawa/vibamia.
 
Mambo ya ndoa ni siri za wanandoa ila utandawazi umeharibu huu utaratibu wa kuwa siri, badala yake hakuna siri tena.

Madhara yake ndio haya mambo ya kuonja/kujaribu kabla ya maamuzi yameshamiri, na itafika kipindi itakuwa jambo la kawaida na lalazima.

Sijui kizazi cha miongo 2 ijayo kitakuwa hali ikoje...
 
Aaaagh@financial services hata wewe unasapoti kutest. Tatizo wanatest zaidi ya mmoja, Sasa hapo inakuwa sio test tena
Kiukweli mimi ntatest , maana kile kiapo ni hadi kifo kitakapotutenganisha, sasa huna dudu hadi kifo wee si kutafutiana kesi huko😂

Ila hapo kutest zaidi ya mmoja ndiyo siyo vizuri kweli
 
Back
Top Bottom