Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
Naomba nijibiwe kwa hekima kidogo.
Ni binti naweza sema ni mchumba wangu japo kwetu hajulikani, yeye anakaa na mama yake ni mtumishi.
Tunafahamiana na mama yake tu hatujawahi kuonana japo jambo lililofanya nijuane na mama yake kwa kipindi hicho ni kibaya sana na hatua aliyochukua ni mbaya sana ambayo kila siku inanipa sonona nikifikiria.
Imepita miaka sasa sijawahi kuwasiliana nae, japo dogo siku zote ana push agenda ya Mimi kuwasiliana na mama yake huwa namkatalia.
Leo kanisumbua nimtafute mama yake, nikaamua kumpigia lakini kaniomba hela kidogo amepata shida fulani.
Mimi kwangu sioni ubaya kuombwa hela, kwenye familia yangu hakuna mtu anaeweza kuniomba hela na hawajawai (wanao uwezo kunizidi)..
Swali linakuja je, ni sawa kutoa hela kwa mama mkwe ambae hujamuoa binti yake?..
Kwa wazoefu tu
Ni binti naweza sema ni mchumba wangu japo kwetu hajulikani, yeye anakaa na mama yake ni mtumishi.
Tunafahamiana na mama yake tu hatujawahi kuonana japo jambo lililofanya nijuane na mama yake kwa kipindi hicho ni kibaya sana na hatua aliyochukua ni mbaya sana ambayo kila siku inanipa sonona nikifikiria.
Imepita miaka sasa sijawahi kuwasiliana nae, japo dogo siku zote ana push agenda ya Mimi kuwasiliana na mama yake huwa namkatalia.
Leo kanisumbua nimtafute mama yake, nikaamua kumpigia lakini kaniomba hela kidogo amepata shida fulani.
Mimi kwangu sioni ubaya kuombwa hela, kwenye familia yangu hakuna mtu anaeweza kuniomba hela na hawajawai (wanao uwezo kunizidi)..
Swali linakuja je, ni sawa kutoa hela kwa mama mkwe ambae hujamuoa binti yake?..
Kwa wazoefu tu