Je, ni sahihi kwa Marais wa Afrika kufanya Promotions za Birthday Parties zao Redioni na Runingani huku nchi zao zikiwa ni Maskini na Wananchi wao?

Je, ni sahihi kwa Marais wa Afrika kufanya Promotions za Birthday Parties zao Redioni na Runingani huku nchi zao zikiwa ni Maskini na Wananchi wao?

Ni aibu sana kwa rais kujisikia raha birthday yake kufanyiwa promo na media kiasi hicho huku asilimia kubwa tu ya watawaliwa wake wakiwa hawajui siku ya leo watakula nini hali inayochangiwa na kupanda kwa gharama za maisha kila kona ya nchi.
 
Ni aibu sana kwa rais kujisikia raha birthday yake kufanyiwa promo na media kiasi hicho huku asilimia kubwa tu ya watawaliwa wake wakiwa hawajui siku ya leo watakula nini hali inayochangiwa na kupanda kwa gharama za maisha kila kona ya nchi.
GENTAMYCINE huwa napenda sana kukutana na Members Werevu mno hapa JamiiForums kama Wewe tofauti na Mipumbavu na Minafiki mingi iliyopo ( Praise Team )
 
Ni aibu sana kwa rais kujisikia raha birthday yake kufanyiwa promo na media kiasi hicho huku asilimia kubwa tu ya watawaliwa wake wakiwa hawajui siku ya leo watakula nini hali inayochangiwa na kupanda kwa gharama za maisha kila kona ya nchi.
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji375][emoji375]
 
Nasisitiza tena hapa nawaongelea Marais wote tu wa Afrika, sasa Wewe jitutumue kuja Kukurupuka namsema wako nikupe ulichokuwa ukikitafuta kwa huko Kuwashwawashwa Kwako.
Mada zingine ni za kipuuzi tu. Siku huna content soma za wengine na changia kujibu. Hakuna sifa ya kuanzisha mada.

This is far too low to be JF topic
 
Nasisitiza tena hapa nawaongelea Marais wote tu wa Afrika, sasa Wewe jitutumue kuja Kukurupuka namsema wako nikupe ulichokuwa ukikitafuta kwa huko Kuwashwawashwa Kwako.
Rais gani kafanya promosheni?
 
Uraisi ni mali yake binafsi na familia yake wewe unakuhusu nini,kama haujapata nafasi ya kulamba Kodi zetu kuwa mpole tu
 
Ni aibu sana kwa rais kujisikia raha birthday yake kufanyiwa promo na media kiasi hicho huku asilimia kubwa tu ya watawaliwa wake wakiwa hawajui siku ya leo watakula nini hali inayochangiwa na kupanda kwa gharama za maisha kila kona ya nchi.
Hakuna aibu yoyote

At the end of the day he or she ni human beings na wana different emotions

Wengine hatuna muda na birthdays, wengine wanajali
 
We uoni makonda ana msafara kuzidi hata raisi kusoma sio ujanja bali kupata ndio kusoma kwenyewe
 
Nasisitiza tena hapa nawaongelea Marais wote tu wa Afrika, sasa Wewe jitutumue kuja Kukurupuka namsema wako nikupe ulichokuwa ukikitafuta kwa huko Kuwashwawashwa Kwako.
Rais hausiki na kujipendekeza kwa watu kuliko pitiliza! Hao CMG wanajipendekeza wala hawajatumwa na Rais
 
Nasisitiza tena hapa nawaongelea Marais wote tu wa Afrika, sasa Wewe jitutumue kuja Kukurupuka namsema wako nikupe ulichokuwa ukikitafuta kwa huko Kuwashwawashwa Kwako.
Wewe popoma acha vitisho vya kingese. Wewe ndo unawashwa
 
Nasisitiza tena hapa nawaongelea Marais wote tu wa Afrika, sasa Wewe jitutumue kuja Kukurupuka namsema wako nikupe ulichokuwa ukikitafuta kwa huko Kuwashwawashwa Kwako.
nadhani si kosa kisheria, kanuni na kiutaratibu...

kama ni kosa au sio kosa linabaki kua ni suala la mtazamo au maoni na hukumu binafsi ya mtu..
 
Back
Top Bottom