GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nasisitiza tena hapa nawaongelea Marais wote tu wa Afrika, sasa Wewe jitutumue kuja Kukurupuka namsema wako nikupe ulichokuwa ukikitafuta kwa huko Kuwashwawashwa Kwako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinachofanyika Siyo Sawa Ni Uhuni TuNasisitiza tena hapa nawaongelea Marais wote tu wa Afrika, sasa Wewe jitutumue kuja Kukurupuka namsema wako nikupe ulichokuwa ukikitafuta kwa huko Kuwashwawashwa Kwako.
Naunga mkono hojaNasisitiza tena hapa nawaongelea Marais wote tu wa Afrika, sasa Wewe jitutumue kuja Kukurupuka namsema wako nikupe ulichokuwa ukikitafuta kwa huko Kuwashwawashwa Kwako.
GENTAMYCINE huwa napenda sana kukutana na Members Werevu mno hapa JamiiForums kama Wewe tofauti na Mipumbavu na Minafiki mingi iliyopo ( Praise Team )Ni aibu sana kwa rais kujisikia raha birthday yake kufanyiwa promo na media kiasi hicho huku asilimia kubwa tu ya watawaliwa wake wakiwa hawajui siku ya leo watakula nini hali inayochangiwa na kupanda kwa gharama za maisha kila kona ya nchi.
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji375][emoji375]Ni aibu sana kwa rais kujisikia raha birthday yake kufanyiwa promo na media kiasi hicho huku asilimia kubwa tu ya watawaliwa wake wakiwa hawajui siku ya leo watakula nini hali inayochangiwa na kupanda kwa gharama za maisha kila kona ya nchi.
Mada zingine ni za kipuuzi tu. Siku huna content soma za wengine na changia kujibu. Hakuna sifa ya kuanzisha mada.Nasisitiza tena hapa nawaongelea Marais wote tu wa Afrika, sasa Wewe jitutumue kuja Kukurupuka namsema wako nikupe ulichokuwa ukikitafuta kwa huko Kuwashwawashwa Kwako.
Rais gani kafanya promosheni?Nasisitiza tena hapa nawaongelea Marais wote tu wa Afrika, sasa Wewe jitutumue kuja Kukurupuka namsema wako nikupe ulichokuwa ukikitafuta kwa huko Kuwashwawashwa Kwako.
Lunatic huyoMada zingine ni za kipuuzi tu. Siku huna content soma za wengine na changia kujibu. Hakuna sifa ya kuanzisha mada.
This is far too low to be JF topic
Naona unajitaja na asili ya huko kwenuUshawaita wafrica unawatengenishqje na utamaduni wa maskini lakini lazima apige sherehe ya ngoma!
Hakuna aibu yoyoteNi aibu sana kwa rais kujisikia raha birthday yake kufanyiwa promo na media kiasi hicho huku asilimia kubwa tu ya watawaliwa wake wakiwa hawajui siku ya leo watakula nini hali inayochangiwa na kupanda kwa gharama za maisha kila kona ya nchi.
Rais hausiki na kujipendekeza kwa watu kuliko pitiliza! Hao CMG wanajipendekeza wala hawajatumwa na RaisNasisitiza tena hapa nawaongelea Marais wote tu wa Afrika, sasa Wewe jitutumue kuja Kukurupuka namsema wako nikupe ulichokuwa ukikitafuta kwa huko Kuwashwawashwa Kwako.
Wewe popoma acha vitisho vya kingese. Wewe ndo unawashwaNasisitiza tena hapa nawaongelea Marais wote tu wa Afrika, sasa Wewe jitutumue kuja Kukurupuka namsema wako nikupe ulichokuwa ukikitafuta kwa huko Kuwashwawashwa Kwako.
nadhani si kosa kisheria, kanuni na kiutaratibu...Nasisitiza tena hapa nawaongelea Marais wote tu wa Afrika, sasa Wewe jitutumue kuja Kukurupuka namsema wako nikupe ulichokuwa ukikitafuta kwa huko Kuwashwawashwa Kwako.