Yeah, mwanamke anavyojiweka ndio jinsi ambavyo watu wanaweza kuwa na courage ya kumfuata au kutomfuata. It depends, kama ni mtu wa kujichekelesha ovyo na kujirahisisha kwa kila mtu ni rahisi sana kuingilika na watu kumpiga mistari.Mwambie abadilike awe very focused na kilichompeleka ofisini kuliko kuwa fused na watu ambao inturn ndio wanamletea usumbufu wa kumtaka kimapenzi.Lugha ya mwili ya mkeo inasababisha atongozeke kiurahisi, na hii ni hatari sana mzee baba, kwa kifupi mkeo yupo hivyo( anaingilika), sio kosa lake anapaswa kusaidiwa ni sababu ya mazingira , makuzi na malezi yake aliyopitia
Mfundishe na msaidie abadili lugha ya mwili wake inayojumuisha jinsi anavyofikiri, mawazo, hisia, muonekano, mwendo wake na hata mavazi pamoja na anavyowasiliana na wenzake( mawasiliano ya mwili wake kwa wenzake) na zaidi lazima aishi na kuwajibika kama mke wa mtu anayejiheshimu, akiwa ana msimamo hatasumbuliwa.
Pia kwepa na epuka kuingilia mawasiliano na bosi wake itakuletea stress sana hatimaye utakufa kwa presha bure ila umwambie yeye ndiye anapaswa kuwajibika kwa kuwa na udhaifu wa kuingilika kiurahisi na sio wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama FaizaFoxy na ww unajua hzo mambo za manyoya ??? Kweli mtu mzima wa digitalUkiona manyoya?
Angekuwa demu sawa... Mke mzee babaa acha utanii etii!! Mke wangu agongwe me ntuliee eti naatafuta pesaaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji15][emoji15][emoji15]Ukiambiwa hivyo unadanganywa, usiseme kuwa anakwambia kila kitu sio kweli! Akikuambia ujue hajampenda, wale ambao anawapa Huwa Hawasemi au hawataji Kamwe! Utaonyeshwa meseji Feki, calls Feki, hadi nanihii Feki lakini zile zenye uhalisia hutakaa uzione.
The way forward, relax, tafuta pesa, jenga maisha yako! Usipende kudanganywa!! Ukija kuujua ukweli utaumia Sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeyaona mengi. Hiyo ya huyo mwanamke ni "guilty conscious".Hata wewe?πππ
Anakupenda huyo ndio maana anakuambia
Ngoja akuchoke sasa sahau izo habari
Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha! kwema mkuuNyumba ninayokaa ni mali ya shirika nitaenda wapi boss akikasirika..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii mbinu hutumika kama mwanamke ana Cheat, akikwambia anajionesha Kuwa Royal kwako. Hata akiwa ana***** huko usifuatilie. [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha subiri tu usichoke, atakuambia.Hakuna kibaya alichokifanya labda kama kuniambia anasumbuliwa ndio liwe kosa lake
Shuhudia. Then leta ushuhuda hapa.[emoji16]Hayo ni mawazo yako na mtazamo wako,huenda kwako yanafanya kazi