Je, ni sawa kuoa mtu ambaye hujateseka naye?

Je, ni sawa kuoa mtu ambaye hujateseka naye?

Unajua buana kipind cha utafutaji sisi wanaume huwa tunatafta wadada flan hiv ambao ni wa level hiyo yaan mara nying wanakuaga wakawaida sanaa..na mara nying unakuta wala humpend kivile ila kwasabab anatimiza matakwa yako na hasumbui kwenye hik wala kile..unajikuta upo nae huyo bint kwenye shida zote..hakuachi humuachi...ila wew akilin mwako unajua kabisa huyi bint hapana kwakwel...hapo umeangilia kwa jicho la kibinadam zaid.
Kwa huu uandishi nakupa muda utakua sawa.

All in All vitu vingine ni kujitaftia laana kwa kweli Mungu atusamehe Wanaume.
 
We jamaa unanifurahhisha, ok let me drop my 2 cents.

Unajua mara nyingi women date/marry up, kwa iyo ukiona mwanamke yupo na wewe kipindi cha msoto, jua you are the best she can do, unafikiri akitokea mwanaume aliyejipanga kimaisha, mpenzi wako atafikri mara 2 kukuacha wewe? Kwa kifupi you can not choose from the options you wish were available, you can only choose from the options available na wewe ndio her best option.
Deep sana kaka..thanks
 
Once a man knows the gender dynamics he is unstoppable

Wanawake wanaijua gemu hii mapema sijui kwa nini...

I’m sure wanaume wakielewa huu mchezo wakawaendea wanawake kwa huo mtazamo wa economics na transactions kwenye mahusiano wakaweka mahisia pembeni wanawake watapata tabuu sanaa
Wewe unaiita gender dynamics, mimi naiita power dynamics.

You have to deal with women from a position of power, sio tu financially, intellectually, emotionally na socially.

Nashangaa sana mwanume anataka 50/50 kwenye provider role alafu anategemea kuwa kichwa cha familia.

Siwezi kabisa mahusiano yenye even playing ground, lazima niwe na leverage itakayokulazimisha kusubmit.
 
Unajua buana kipind cha utafutaji sisi wanaume huwa tunatafta wadada flan hiv ambao ni wa level hiyo yaan mara nying wanakuaga wakawaida sanaa..na mara nying unakuta wala humpend kivile ila kwasabab anatimiza matakwa yako na hasumbui kwenye hik wala kile..unajikuta upo nae huyo bint kwenye shida zote..hakuachi humuachi...ila wew akilin mwako unajua kabisa huyi bint hapana kwakwel...hapo umeangilia kwa jicho la kibinadam zaid.

Kuna wanapenda vichomi.
 
Mkuu hata uoeje wa sura gani Kama malaika utachepuka tu yaani hata iweje.
Sembuse Kuna chombo Kama hichi Ila bado wanachepuka.

Yaani iko binadamu hatujui lengo letu la kuwepo duniani.
Unadhani utajiri ndio utakupa furaha iyo furaha inaisha ndani ya mwaka.
Yaani uwe na magari majumba hata na trilioni kadhaa benki won't make you happy.
Hata uwe maarufu kiasi.

So hata unapochepuka you never be satisfied nikuambie.

Mana ulishazoea unayemuona wa level zako utaona Tena nje halima mkali zaidi ndugu.
Tena ukimpata Halima ukikaa naye mwaka tu umeshajua mpaka harufu yake ama k yake ikoje ukishakojoa so utaniona Agness and process goes on and on and so on.

Utatamani kuwala walatino America itakula baadaye utawaona wa kawaida later utataka waarabu utakula later wahindi utakula yaani nafsi hairidhi ni Kama unavyokula chakula hujawahi Shiba yaani unakuwa satisfied instant but in long run you'll remain you as you
View attachment 1886439
Acha kukumbatia umaskini mtoto wa kiume, there's no nobility in poverty.

Unajua nr 1 cause of divorce duniani na sio bongo ni ipi? jibu ni finances(pesa). Wanawake wachache sana wanaoacha maisha mazuri kisa mume ana michepuko, wengi hawajali michepuko ya mume wake, unajua kwa nini?

Mwanamke anao uwezo wa kupata ngono kutoka kwa mwanaume yeyote yule lakini si kila mwanaume anao uwezo wa kumpa mwanamke maisha ya kifahari. Peponi na motoni panaweza kuwa hapa hapa duniani kutokana na maisha unayoishi, wengi hawapo tayari kuiacha pepo kisa mume ana cheat wakati haiathiri finances za familia.

Kingine ambacho wanawake wengi hawawezi kukuambia ni kwamba wapo tayari kushare mwanaume mwenye mafanikio kuliko yeye kuwa na fukara wa kwake peke yake. Umesikia wapi mwanamke anamtaka mwanaume ambaye wanawake wengine hawamtaki?
 
Huwa sielewi mnaposema mwanamke sio level yenu yani dunia hii hii kweli ? Unasema pesa umetafuta mwenyewe haya mkuu muache tu
 
Acha kukumbatia umaskini mtoto wa kiume, there's no nobility in poverty.

Unajua nr 1 cause of divorce duniani na sio bongo ni ipi? jibu ni finances(pesa). Wanawake wachache sana wanaoacha maisha mazuri kisa mume ana michepuko, wengi hawajali michepuko ya mume wake, unajua kwa nini?

Mwanamke anao uwezo wa kupata ngono kutoka kwa mwanaume yeyote yule lakini si kila mwanaume anao uwezo wa kumpa mwanamke maisha ya kifahari. Peponi na motoni panaweza kuwa hapa hapa duniani kutokana na maisha unayoishi, wengi hawapo tayari kuiacha pepo kisa mume ana cheat wakati haiathiri finances za familia.

Kingine ambacho wanawake wengi hawawezi kukuambia ni kwamba wapo tayari kushare mwanaume mwenye mafanikio kuliko yeye kuwa na fukara wa kwake peke yake. Umesikia wapi mwanamke anamtaka mwanaume ambaye wanawake wengine hawamtaki?
Umekuwa biased sana. Ila poa tu.
Mie nimemaanisha kuwa hata ule k Aina gani nafsi haitosheki. Na Tangiapo sikumbatii umasikini.
Na ninajua ukiwa na life zuri kila k utaipata. Ukiwa na mafanikio wao wanakutafuta wenyewe Ila mwisho wa siku hakuna Cha Mana unacho gain mkuu ni sawa ukila Leo msosi mzuri ukiingia tu tumboni tayari ni mavi hayatamaniki.

Naona Kama unapambana kuonekana Kama unajua dunia as our future is certainty.

Pia ni aheri uwe na hela Mana hutokaa kuwaza hela so utakuwa mentally stable.
Ila sio kuwa ndio utakuwa na furaha mazima.

Mbona Jeff Benzos ametoa talaka,Bill gate naye iko mbioni hapo unasemaje teacher wa mahusiano.

Na wale walio na hela wanawake afu wanaolewa na asiye mbele Wala nyuma inakuwaje hapa ticha naomba unifahamishe
 
Unajua nr 1 cause of divorce duniani na sio bongo ni ipi? jibu ni finances(pesa). Wanawake wachache sana wanaoacha maisha mazuri kisa mume ana michepuko, wengi hawajali michepuko ya mume wake, unajua kwa nini?
Unakubaliana kuwa Hawa wanawake ni masikini tokea kwao lakini wa dizaini hii.
Hivi utamfanyia hivi MTT wa jk kweli ama wa lowasa akuvumilie kisa una vimilioni ama trilioni zako.

Naomba twende sawa ticha tunapeana mawazo mbadala ili kuondoana our beliefs and thoughts Mana sijui hii research uliifanyia wapi.

Nina Imani sio wote wanaotukuza pesa ama nakosea.
Twaweza kumtokea demu mmoja akaenda kwa wa kawaida Ila akamuacha wa pesa.

Pia ke anakuwa mtumwa kisa life zuri
 
Kama hakuna uwezekano wa kumbadilisha akawa level zako, na huna hata chembe ya hisia nae muache tu lakini ujiandae inawezekana yule umpendae wewe{kwenye level zako} akakuona Filipo tu ila akakuvumilia kwaajili ya vicent vyako.. Siku vicent vikikata au nae akapata wa level zake uchukulie poa tu maana si unajua tena dunia duara!
 
Umekuwa biased sana. Ila poa tu.
Mie nimemaanisha kuwa hata ule k Aina gani nafsi haitosheki. Na Tangiapo sikumbatii umasikini.
Na ninajua ukiwa na life zuri kila k utaipata. Ukiwa na mafanikio wao wanakutafuta wenyewe Ila mwisho wa siku hakuna Cha Mana unacho gain mkuu ni sawa ukila Leo msosi mzuri ukiingia tu tumboni tayari ni mavi hayatamaniki.

Naona Kama unapambana kuonekana Kama unajua dunia as our future is certainty.

Pia ni aheri uwe na hela Mana hutokaa kuwaza hela so utakuwa mentally stable.
Ila sio kuwa ndio utakuwa na furaha mazima.

Mbona Jeff Benzos ametoa talaka,Bill gate naye iko mbioni hapo unasemaje teacher wa mahusiano.

Na wale walio na hela wanawake afu wanaolewa na asiye mbele Wala nyuma inakuwaje hapa ticha naomba unifahamishe
Mbona unapinga sana suala la mwanaume kuwa na pesa? Are you allergic to money my brotha?

Unajua mwanaume kuwa na pesa equates to having answers, na ukiwa hauna kitu unaonekana this thing called life, you haven't figured it out. Aya niambie sasa mwanamke gani anataka kuwa na mwanaume ambaye hana majibu? Yeye anakuletea wewe matatizo yake akitegemea utamtatulia, hauna kitu unafanyaje? Unamuimbia nyimbo za kihindi kumbembeleza au unampelekea moto to kama mnavyosema as if that solves all of her problems.

Kingine ni kwamba mwanaume ukiwa na pesa, unakuwa na maamuzi, unakuwa na msimamo, sasa we hauna kitu( chawa), unamtegemea fulani kula mpaka muda anaotaka yeye, akiongea pumba lazima umsapoti kisa anakutoa. Wewe kama mwanaume hauoni aibu kuwa tegemezi, hapo inabidi tukuweke kundi moja na wanawake na watoto. Hapo mwanamke akiwa na wewe anataka kukuburuza tu coz anajua hauna ujanja.

Kuwa na pesa ni symbol ya accomplishments, wanawake kwa wanaume wote wanarespect accomplishments. Sasa wewe utakuwa mwanaume wa aina gani ambaye hauna respect, hapo we utakuwa mwanamke tu kama sio mtoto.

Suala la wanaume waliooa wanawake wenye pesa, tutajie wawili watatu ambao hawaburuzwi na wake zao au ambao wanaume wengine wanawaona kama role models.
 
Unajua kipindi cha utafutaji sisi wanaume huwa tunatafta wadada fulani ambao ni wa level hiyo yaan mara nyingi wanakuwa wa kawaida sanaa. Mara nyingi unakuta wala humpendi kivile ila kwasababu anatimiza matakwa yako na hasumbui kwenye hiki wala kile, unajikuta upo nae huyo binti kwenye shida zote, hakuachi humuachi ila wewe akilini mwako unajua kabisa huyu binit hapana kwakwel...hapo umeangilia kwa jicho la kibinadam zaidi.

Sasa badae mambo yamekunyookea na ukimwangalia yule bint sio level yako kabisaaaa na wala humpendi kivile, yaani huwezi spend naye maisha yako yote kama mweza

Muda mwingine unawaza daah huyu dada hata tukijaliwa watoto hawatakua unavotaka bla bla bla nying...(msinijudge..hapa nawasilisha mawazo ya wanaume wengi mjue.ohooo)

Unajikuta unataka uachane nae huyo binti na hapo umepata mtoto m1 wa ajabu yaani, mtoto mzur saana na unampenda kwelkwel na ndo upo nae maisha yanaenda vzur...hata kama kakupendea pesa sawa...au unakuta na yeye anapesa pia ..na maisha yanaenda

Hivyo, Wakuu nauliza utakua unatenda dhambii?
Au je una deni kwa huyo binti

Mind u...hata ukisema uwe na huyu bint uliepata nae shida kuna uwezekano ukamtesa sana sabab lazima utachepuka tuu....na lazima atalia snaaa

So naendelea kuuliza..jee hii ni sawa kwel wakuu??

Mtihani huu ujue

Ndomana skuhiz sis vijana wataftaj weng hatuoi ..tunawazalisha tu..

Unakua na bebi mamaz kibao..unawahudumia fresh maisha yanaendelea..nawee unaendelea kudemka kidimbwi had uzee unakukuta..na badae unaweza tafta kabint kengine under 24 ukakaweka ndani ...urithi unaandika watoto wako tu ..game over

Hapo vip wakuu...ushauri wenu unahitajika saaaana....mtu afanye maamuz sahih hapa

Sio mim lakin...
Ww jamaa umepta mle mle mm nakaonea huruma sana cz kuna PC flani matata naiona inasomeka ... nawaza naogopa ntapata kalaana nn

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mbona unapinga sana suala la mwanaume kuwa na pesa? Are you allergic to money my brotha?

Unajua mwanaume kuwa na pesa equates to having answers, na ukiwa hauna kitu unaonekana this thing called life, you haven't figured it out. Aya niambie sasa mwanamke gani anataka kuwa na mwanaume ambaye hana majibu? Yeye anakuletea wewe matatizo yake akitegemea utamtatulia, hauna kitu unafanyaje? Unamuimbia nyimbo za kihindi kumbembeleza au unampelekea moto to kama mnavyosema as if that solves all of her problems.

Kingine ni kwamba mwanaume ukiwa na pesa, unakuwa na maamuzi, unakuwa na msimamo, sasa we hauna kitu( chawa), unamtegemea fulani kula mpaka muda anaotaka yeye, akiongea pumba lazima umsapoti kisa anakutoa. Wewe kama mwanaume hauoni aibu kuwa tegemezi, hapo inabidi tukuweke kundi moja na wanawake na watoto. Hapo mwanamke akiwa na wewe anataka kukuburuza tu coz anajua hauna ujanja.

Kuwa na pesa ni symbol ya accomplishments, wanawake kwa wanaume wote wanarespect accomplishments. Sasa wewe utakuwa mwanaume wa aina gani ambaye hauna respect, hapo we utakuwa mwanamke tu kama sio mtoto.

Suala la wanaume waliooa wanawake wenye pesa, tutajie wawili watatu ambao hawaburuzwi na wake zao au ambao wanaume wengine wanawaona kama role models.
Pamoja mkuu. Sipingi Ila nakuambia kuwa mkeo unampatia kila kitu Ila analipia hotel ili akawekwe poa na jamaa tu hata boda boda. Hapo inakuwaje
 
We jamaa unanifurahhisha, ok let me drop my 2 cents.

Unajua mara nyingi women date/marry up, kwa iyo ukiona mwanamke yupo na wewe kipindi cha msoto, jua you are the best she can do, unafikiri akitokea mwanaume aliyejipanga kimaisha, mpenzi wako atafikri mara 2 kukuacha wewe? Kwa kifupi you can not choose from the options you wish were available, you can only choose from the options available na wewe ndio her best option.

Kuhusu kustruggle maisha na mwanamke, I do not endorse that, F *** struggle love.

Ukishajijenga ndio utafute mrembo mbichi anayekizi vigezo vyako na wewe umzawadie the good life. Ni vigumu sana kupata mtoto mkali ambaye ni 8/10 au 10/10 huku finances zako zikiwa hazisomeki. Unajua relationships/ marriages ni transactions, kuna vitu hauna unataka kutoka kwake na ye kuna vitu hana anataka kutoka kwako. Mwanaume usipopendewa pesa utapendewa nini sasa? Pesa ni symbol kwamba we ni provider, protector una intelligence fulani.

Lastly, kama unajua kutafuta fortune basi jielimishe na njia za kuilinda ili ata mrembo akizingua anakuwa amejizingua mwenyewe.
Huwa nacheka sana nikikutana na mawazo ya wadau kama wewe😅
 
Mbona unapinga sana suala la mwanaume kuwa na pesa? Are you allergic to money my brotha?

Unajua mwanaume kuwa na pesa equates to having answers, na ukiwa hauna kitu unaonekana this thing called life, you haven't figured it out. Aya niambie sasa mwanamke gani anataka kuwa na mwanaume ambaye hana majibu? Yeye anakuletea wewe matatizo yake akitegemea utamtatulia, hauna kitu unafanyaje? Unamuimbia nyimbo za kihindi kumbembeleza au unampelekea moto to kama mnavyosema as if that solves all of her problems.

Kingine ni kwamba mwanaume ukiwa na pesa, unakuwa na maamuzi, unakuwa na msimamo, sasa we hauna kitu( chawa), unamtegemea fulani kula mpaka muda anaotaka yeye, akiongea pumba lazima umsapoti kisa anakutoa. Wewe kama mwanaume hauoni aibu kuwa tegemezi, hapo inabidi tukuweke kundi moja na wanawake na watoto. Hapo mwanamke akiwa na wewe anataka kukuburuza tu coz anajua hauna ujanja.

Kuwa na pesa ni symbol ya accomplishments, wanawake kwa wanaume wote wanarespect accomplishments. Sasa wewe utakuwa mwanaume wa aina gani ambaye hauna respect, hapo we utakuwa mwanamke tu kama sio mtoto.

Suala la wanaume waliooa wanawake wenye pesa, tutajie wawili watatu ambao hawaburuzwi na wake zao au ambao wanaume wengine wanawaona kama role models.
We jamaa inaelekea unapelekeshwa sana na wanawake yani hujiamini kabisa .. na unachunwa Ile mbaya, kuwa na msimamo bro .. pesa hainunui mapenzi ya kweli kama mwanamke anakupenda basi anakupenda tu hata akichepuka ni kwaajili ya tamaa tu ila atarudi tu .. kuwa na msimamo ..
 
Huwa nacheka sana nikikutana na mawazo ya wadau kama wewe[emoji28]
Ni kweli jamaa anafurahisha sana .. alafu anaonekana wanawake wanamburuza sana, anashindwa kuelewa kwamba hata hao wanawake pia wana mioyo ya kupenda na wakipenda wanapenda kweli despite the fact that wana tamaa lakini haiondoi uhalisia kwamba na wao wanapenda ..
 
Hata ukimpata kama Malaika kama wewe mchepukaji utachepuka tu!Kwenye mapenzi baada ya muda unapitia phase ya kuzoeana hapo ndo timbwili linapoanza.Kama wewe mchepukaji hata mkeo awe mzuri vipi ukishamzoea utamuona wakawaida tu.....

Muhimu ya yote usijiingize kwenye mahusiano na mtu ambae huna malengo nae.Au lah mkubaliane kwamba mna starehe tu mpaka kila mmoja wenu atakapopata mwenza husika.
Very true
 
Ni kweli jamaa anafurahisha sana .. alafu anaonekana wanawake wanamburuza sana, anashindwa kuelewa kwamba hata hao wanawake pia wana mioyo ya kupenda na wakipenda wanapenda kweli despite the fact that wana tamaa lakini haiondoi uhalisia kwamba na wao wanapenda ..
Ukiwa real na maisha utakuja gundua kuna uzembe sana baina yetu wanaume hasa wanaofikiria kutumia pesa kurubuni wanawake ndio wanapata penzi la kweli wakati wako makapuku kibao wanainjoy mapenzi bila stress!
 
Muache tu ataumia baadae atazoea. Usidate na mtu sababu unamuonea huruma au unaogopa laana(hakuna laana hio kwanza).
 
Back
Top Bottom