ChalaX Nyato
Member
- Aug 24, 2024
- 92
- 167
SIO SAWA.
Hii imekaa aje wadau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii imekaa aje wadau
Zimefikaa..Wasalimu huko Kigax😂😂😁😁 Wasalimie uko dodoma 😎
Hiyo habari ipo hat YouTubeDuh dogo Hana akili amefanya Kosa kubwa sana
Aisee sio poa miaka saba kabisa
Age gap haikubaliki
Toeni maoni ni kwanini sio sawa?Hii siyo sawa. Kwa kifupi sio sawa kuoa hata mwanamke unaelingana nae umri.
Kiufupi hakuatakuwa na heshima ndani ya nyumba kwa sababu atakuwa anakuita wee dogo nkToeni maoni ni kwanini sio sawa?
Kwani measurements za kila mmoja zipojeHii imekaa aje wadau
Measurements zipi mkuuKwani measurements za kila mmoja zipoje
Kwanza kiutaratibu si vizuri mwanaume kuzidiwa umri, gape ya miaka 7 ni kubwa mno.Toeni maoni ni kwanini sio sawa?
Kiufupi hakuatakuwa na heshima ndani ya nyumba kwa sababu atakuwa anakuita wee dogo nk
Mmh lakini fuatilia ndoa nyingi zinazodumu utakuta zipo hivyoKwanza kiutaratibu si vizuri mwanaume kuzidiwa umri, gape ya miaka 7 ni kubwa mno.
Kutakuwa na some level of disrespect ndani maana mmoja atamuona mwenzie mtoto.
Atleast wangekuwa sawa kiumri, ila mwanaume kuzidiwa umri tena gape ya 7 years is a big no
Tatizo unakaza fuvu kichwa isuzu injini ya suzuki basi sawasawa endelea we OA tu 😬😬😊😊Mbon kuna ndoa nyingi za hivyo na heshima ipo?
Umesha sikia kupatwa Kwa jua au kupatwa Kwa mwezi mara kadhaa.Hii imekaa aje wadau
Hajaelewa mfafanulie zaidiiiii 😂😂Umesha sikia kupatwa Kwa jua au kupatwa Kwa mwezi mara kadhaa.
Sasa hii uliyosema wewe ni kupatwa Kwa kiagazi. Yaani mvua Ina nyesha na jua linawaka Kwa Wakati mmoja bila kuleta shida yoyote.
Makali ya jua yapo palepale na Ngurumo na Radi za mvua zipo palepale.
Sijui umenielewa au sijaeleweka??
Hii imekalia mwibaHii imekaa aje wadau