Hamna sio hivyo basi tu nilivyo kivuruge nataka mwanaume wa kusimama km baba yangu na vile baba alinipata akiwa na 21 basi age hiyo nayopenda nawaona km wababa wapenzi nadeka nakulelewa kwa wakati mumoja
Mtume Muhammad (S.A.W), kipenzi cha Allah, akiwa na miaka 25 alimwoa Mwanamke Mhasibu Bi Khadija akiwa na miaka 40...na ndoa yao ilidumu ndio useme gap ya miaka 7?