BinSalum7
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 1,733
- 3,847
- Thread starter
- #201
Ww ulikuwa na chuma gani mkuu?Siku moja nilikuwa najikongoja sehemu za mbarara uganda kuna barabara moja iko njema sana kuanglia dash board yangu niko 230 nyuma yangu ikaja chuma moja kuangalia ni Jaguar jamaa alipita kama upepo dk moja hata haikufika jamaa kaishapote