kilamuruzi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,232
- 1,075
Vw golf 5 1.9 tdiWw ulikuwa na chuma gani mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vw golf 5 1.9 tdiWw ulikuwa na chuma gani mkuu?
Huo mti ndio nautaka asee,ni cc ngapi vileTuareg v8 petrol speed 330
Safety kwenye magari ya Europe ipo juu sana.Hahaha nilishawahi kupaa darajani baada ya tairi la mbele kushoto kubust, nilikuwa nawahi shindano la Miss.
Baada ya hiyo ajali mpaka leo siendeshi gari tofauti na bimmer.
Hiyo ajali ingekuwa mjapan long time kaburi lilishaota majani.
Nafaham mkuu, kuna vyuma vya Diesel vinaamsha yani petrol haitii mguu, ila engine ya diesel ili iwe na jeuri ni lazima iwe na turbo au intercooler.Watu mna underestimate sana diesel vehicles. Siku hizi diesel engines zinawasha moto vizuri tu.
200Kph kwa XC90 D5 ni kugusa tu
Kuna jamaa yupo Tunduma Huwa anaingia Malawi,Zambia kusaka gari hizo ila body Kule si watunzaji sana. Akipata anakuvushia na kulipia ushuru Kisha mtamalizana😄😄 Kitu inauzwa $33,531 mamamae,Kuna 1 nilishawahi kuona inauzwa $46,000 nikasema tu Hiiiiiiiiiiiiiiiii.
Mie nikipitwa huwa napatwa na hasira sana kiukwel. [emoji16]Hiii wanayoiita mishangingi wakuu iacheni.
Tu siku nyingine tunatoka bagamoyo kuna ile sehemu pana roundabout tupo na crown nyeusi mbele mbele kidogo tumefika LC amazon hiyo nikasema huyu nanyooka nae mda huo ni saa 12 tochi zishaaanza kupungua nikamuacha atakuangulie kidogo..
Nikaanza sasa kukanyaga jamaa nilipo mfikia karibu nikampigia pasi kumuomba..
Tunyooshe mguu kidogo aka-respond...
Jamaa akawa kila akijitahidi wapi![emoji16] tukafika maeneo ya tegeta kuna kafoleni akatanua nikaungaa nikawasha hazad nae kawasha mwenge ndo tulikuja kuachana!
Yeye anaelekea ubungo mimi nanyoosha.
Nikiwa barabarani njia nyeupe namuona mtu kanipita alafu namuweza huwa sikubali[emoji16] lazima nipiane nae kidogo.
Watu pekee naowaheshimu ni watu wenye
Benz,Bmw,LC, na mjerumani yeyote.
Ilibaki robo niangushe Noah kwenye kona kali kabla ya Manyoni, niliilaza 150 ikainua miguu ya kushoto, ikabidi niikubalie ninyooshe nikatoka nje ya road na brake za kunyunyiza.Kuna siku naenda Manyara mida ya saa 4 usiku, nipo 170kph aisee nilikutana na kona kali haishi, nililala nayo tairi zinalalamika hatare.
Naimaliza nakutana na nyingine kushoto ina daraja, nimevuka daraja nikapaki gari pembeni siamini kilichotokea.
Wakati nashusha pumzi, Mwenyeji wangu akanipigia simu "ukifika maeneo flani kuna kona kali sana, kuwa makini". Ananijua mi ni mtu wa spidi kali
Bimmer - Germany Machine
Range Rover ipi?Range Rover haina mbio mkuu kwa kifupi gari yoyote yenye ilionyanyuka juu hua ina pea pea..hio Range nilitoka nayo Comfort mpaka Iyovi ikanipita kwenye mlima...
1jz v6?1JZ-GE 200hp yenye v6 iskose mkuu
Kuna bike usipokuwa na roho mbaya unaweza ukaishia gear 2 tu tena hapo kwa tabu haswaa.Kwan speed ndogo kuna faida gani? Speed kali ni ipi kwa uelewa wako....maana kuna nchi mfano Germany kuna njia ni free tembea vile unaweza kule ndo unakuta bike ya 1000cc 4cyl inaaibishwa ...tena bike ambayo 1st gear inaenda hadi 140 gia ya pili 200kph kule unaaibishwa japo kwa bongo bike ya hata cc 400 unasumbua gari nyingi sana
Kwa hio Mungu aliepusha kifo chako sababu ulikua kwenye BMW ..poor thinkingHahaha nilishawahi kupaa darajani baada ya tairi la mbele kushoto kubust, nilikuwa nawahi shindano la Miss.
Baada ya hiyo ajali mpaka leo siendeshi gari tofauti na bimmer.
Hiyo ajali ingekuwa mjapan long time kaburi lilishaota majani.
Zingne mpk zipate down ndio zichanganye. [emoji23][emoji23][emoji23]Inategemea na uwezo wa gari, gari kama inachelewa changanya basi hizo speed utakuwa unasikia tu kwa watu, crown hizo 180 ni kugusa tu, na magari mengi sasa ukianza jarbu futa sahani kwenye rumion ndo shida inaanza
Passo limited😁Zingne mpk zipate down ndio zichanganye. [emoji23][emoji23][emoji23]
Noma mkuuuMie nikipitwa huwa napatwa na hasira sana kiukwel. [emoji16]