Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 17,003
Dah! Mwisho wa siku Hela inakupa unachotaka.. acha tuzisakwKuna vitu unabadili kwenye hio process. Kama sio chixi magari hutaweza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Mwisho wa siku Hela inakupa unachotaka.. acha tuzisakwKuna vitu unabadili kwenye hio process. Kama sio chixi magari hutaweza.
Ushawahi kumaliza sahani?Bro we ni muongo, any way unapopasema hapo kupita Tinde napajua lakini hiyo gari Ina speed mwisho 180, hiyo 186 uliitoa wapi?
Unaweza kufikisha ila kwa kukandamiza mguu sehemu ndefu sana😁😁😁😁 Ila dashboard inasoma 180 au wajapan wametupiaa ?
Sehemu ndefu mnazungumzia gari gani? Kwani hizo 2jz si mnasema zina nguvu kuliko 4gr? Mbona 4gr sekunde kadhaa tu imefutwa sahani?Unaweza kufikisha ila kwa kukandamiza mguu sehemu ndefu sana
Uzuri mafuta hayaba bei 😁😁😁Unaweza kufikisha ila kwa kukandamiza mguu sehemu ndefu sana
Litre moja ni sawa na £1 naona bei bado ni rafikiUzuri mafuta hayaba bei 😁😁😁
Nazungumzia Vits ya 99Occ ile 😂😂😂, 2JZ ni moto mwengine kabisaSehemu ndefu mnazungumzia gari gani? Kwani hizo 2jz si mnasema zina nguvu kuliko 4gr? Mbona 4gr sekunde kadhaa tu imefutwa sahani?
Hiyo bei nzuri sana, juzi nilikutana na mtu ana V8 kompressor E 63 AMG nikasema haya Sasa wapendwa ligi wazee wa crown na Subaru fateni hapo 😁😁😁😁Litre moja ni sawa na £1 naona bei bado ni rafiki
😂😂😂Huyo kumfuata labda uwe na 2GR iliokatwa kamba yani! Kama ile masterplan ikikaa vizuri itabidi tuweke kichwa kimoja maalum kwa ajili ya kukata kamba za mjapan.Hiyo bei nzuri sana, juzi nilikutana na mtu ana V8 kompressor E 63 AMG nikasema haya Sasa wapendwa ligi wazee wa crown na Subaru fateni hapo 😁😁😁😁
2GR anamfata Kwa point ipi hapo 😁😁😁 atapata maumivu ya kichwa, sio Kwa bampa to bampa wala mbio ndefu asogezi mguu 😁😁😁😂😂😂Huyo kumfuata labda uwe na 2GR iliokatwa kamba yani
Wanasema na gearbox ( aina ya gearbox ) inachangia kitu kuchomoka chap chap plus other technology ambazo zipo Kwa engineSehemu ndefu mnazungumzia gari gani? Kwani hizo 2jz si mnasema zina nguvu kuliko 4gr? Mbona 4gr sekunde kadhaa tu imefutwa sahani?
Masikhara hayo mzee!😂😂😂Huyo kumfuata labda uwe na 2GR iliokatwa kamba yani! Kama ile masterplan ikikaa vizuri itabidi tuweke kichwa kimoja maalum kwa ajili ya kukata kamba za mjapan.
Itakuwa entry strategy nzuri kwenye soko.
Haina shida huyo anapewa Lexus LS 450h biashara inakuwa imeishaMasikhara hayo mzee!
Kwa hizi specs, Crown hata ikikatwa kamba itaweza kweli? Labda kwa stage 2 tuning ya maana kidogo!
Mi nlidhani umewahi kuendesha gari kwa speed ya juu sana kumbe unazungumzia hizi za kawaida za 180 mpaka 190?Kwema wakuu, je ni speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki na ilikuwa ni gari gani au pikipiki gani...
😂😂😂😂In keta Raha lkn kwa Mungu sio kwa mzungu punguzeni makasirikoDogo punguza makasiriko. Kila binadamu na ulevi wake. Walioweka hizo speed ni hayo 'majitu mazima' na yana akili mara bilioni yako.
Aisee! Sasa hio si ndio mtoto kabisa. 300+hp Vs 549hp ?Haina shida huyo anapewa Lexus LS 450h biashara inakuwa imeisha
Mwenzio wala haangalii specs yeye anataja Japanese car tu anakwambia itashinda.2GR anamfata Kwa point ipi hapo 😁😁😁 atapata maumivu ya kichwa, sio Kwa bampa to bampa wala mbio ndefu asogezi mguu 😁😁😁
Sana tu, isitoshe mimi ni driver by professional wa NGO's na niko na gari zangu ndogo kadhaa za miseleUshawahi kumaliza sahani?