๐๐๐๐Mambo ya kusingiziana mimba ndio mwisho wake IJE TU kubabake kumbe tunaipaka mabegani mi nilijua tunapaka kwenye dushelele maana Mkongo umeshawahi seat nilijua tunauchanganya na dawa ya uzazi wa mpango
๐๐Na ndo kitu wanaume tuna hofiaAaaaah.....hii ni kizungumkuti maana unaweza pakwa bila kujua
๐๐Ume represent mtazamo wa vijana wengi sana.duuh tunakoelekea sasa๐๐พ๐๐พ,,wacha nizae chapu kabla vizazi havijaanza kua changamoto kwa pande zote 2 sasa
madhara yanayotukumba wanawake sababu ya huo uzazi wa mpango wameona haitosho,wanaleta kwa wanaume sasa๐๐พ.
๐yani nilipanga kuzaa kila baada ya miaka mitatu ila napunguza sasa,,,hayo madawa yanatutesa tu that's why wanawake wengine matumbo makubwa kama nini unaeza sema bia kumbe mpango uzaz,,, ingawa sijawahi tumia mimi toka nizaliwe.๐๐Ume represent mtazamo wa vijana wengi sana.
Wengi wao wamebakia kusifia hivyo uwezo na ufanisi wa kazi hamna
Ila tumbo lipo ๐ (joking).ingawa sijawahi tumia mimi toka nizaliwe.
Point๐Yaani lengo wanataka tusiwe wengi.
Ndo maana hata wanalazimisha ushoga na usagaji wanajua.mkifanyana wenyewe kwa wenyewe hamuwezi kupata mtoto
๐๐๐ muanze kutumia njia zingineCondom zinatosha sana.
๐๐๐ muanze kutumia njia zingine
sijawahi miliki kitambi mimi sipendi hua napambania sanaaa,,niwe kimbaumbau na tumbo tena๐๐พ๐Ila tumbo lipo ๐ (joking).
Kwani tatizo liko wapi?Atukatai ila sio hii ya kupaka kama lotion tu, ukipakwa bila kujua je?
Mxiuuu jinga hili๐๐Ije wanawake tupumzike kutumia p2 ๐
๐คฃ๐คฃ๐คฃ Ukifanya mchezo mbaya roho kolikoli unawaza kunywa p2, bora watumie nao uzazi wa mpango tupumzike.!!Mxiuuu jinga hili๐๐
kumbe naweye unakunywa๐๐๐ebu nisimulie zikoje basi wii๐คฃ๐คฃ๐คฃ Ukifanya mchezo mbaya roho kolikoli unawaza kunywa p2, bora watumie nao uzazi wa mpango tupumzike.!!