Je, ni upi mwitikio wa jamii ya kitanzania katika dawa mpya ya uzazi wa mpango kwa wanaume?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈ
Em rudi kwanza 🀣🀣🀣
 
PointπŸ“Œ
mmmh pointi gani? Yaani Ndio maana nasema ngozi nyeusi kuna kasoro, hivi waache kuingiza ushoga kwenye madawa wanayoyazalisha au chanjo watoto wanapozaliwa waje kuhangaika na njia ngumu?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ila mkuu kwani hizo dawa zinakuwaje Kwa kweli sijaelewa🀣🀣?
 
mmmh pointi gani? Yaani Ndio maana nasema ngozi nyeusi kuna kasoro, hivi waache kuingiza ushoga kwenye madawa wanayoyazalisha au chanjo watoto wanapozaliwa waje kuhangaika na njia ngumu?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Soma vizuri hoja ya mdau, nadhani hujaielewa.
Ila mkuu kwani hizo dawa zinakuwaje Kwa kweli sijaelewa🀣🀣?
πŸ˜‚ Ni kama lotion (Gel) ya kupaka mabegani.
 
Wanaume pekee watakaotumia hiyo dawa ni timu MARIOO, maana hao hawana tofauti na 'chawa', ni rahisi kupokea maelekezo na kutekeleza
 
Ndo mjue hawa wajinga wakiamua kufanya jambo hawashindwi.
Kuna Uzi uliletwa na mdau kwamba kuna sabuni za kuogea zinasababisha ushoga tukapinga ila kupitia hili la lotion kuzuia uzazi, nimeanza kuelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…