Upo uzi humu ulielezea hizo baraka vizuri tu,shida mkisoma hamuelewi na hata mkielewa hamuamini,baraka sio maneno wazee baraka ni kitu cha kushikika kabisa sio maneno tu kama mnavyojidanganya na ndo maana inaisha na hapewi kila mtu,ingekuwa ni maneno tu basi yasingeisha na kila mtu angepata,Mungu alimueka alama kaini ili asiuliwe na raia wengine huko aendako baada ya kumuua nduguye,Daudi alipakwa mafuta ili awe mfalme na kadhalika na kadhalika.Kifupi baraka au laana ni kama uchawi tu,mtu anapewa laivu na sio maneno kama muaminivyo.na hakuna laana ya kuvua nguo au kutamka kama hakuna means zingine za kijadi hazijatumika,kwa leo naishia hapa.