Je, ni wakati wa kuwatambua Mbowe na Lissu kama maadui wa taifa?

Je, ni wakati wa kuwatambua Mbowe na Lissu kama maadui wa taifa?

Mkuu swali ni kwamba mbona kakaa kimya hakosoi haya yanayoendelea? Hatujasema aanzishe mgomo,maandamano wala movement yeyote bali kinachowashangaza watu ni kimya chake.
Hivi bro una akili timamu?
 
Nyie wapumbavu wa CCM si ndiyo mlikuwa mnapiga vigelegele wakati yule dhalim mporipori wenu anatumia mitutu ya bunduki kuhakikisha Bunge lote linakuwa la CCM? Sasa mnataka Mbowe na Lissu wakasemee wapi wakati hata mikutano ya hadhara ya vyama vya upinzani imepigwa marufuku kwa amri ya Rais? Ndiyo mjifunze mjue hasara ya kuwa na Bunge la kijani tupu. Hao wabunge wenu vilaza wameshapigwa pini kutopinga hoja yoyote inayoletwa Bungeni na Serikali. Na tozo ndiyo imeshatungiwa sheria na hao mazezeta wenu wameshaipitisha,sasa mnataka wapinzani washike bunduki? Mimi nasema tozo na kodi nyingine ziongezwe ili wapumbavu kama wewe mleta uzi huu akili ziwakae sawa.
Viongozi wenu wanapoharibu nchi mnashangilia mkifiri wanawakomoa wapinzani,sasa mtulie kimyaaa dawa iwaingie fresh.
Asante
 
Hapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.

Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.

Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.

Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.

Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.

Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??

Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.

Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??

NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
zitto ni tapeli wakutupwa!
 
Kwa hiyo unaamini kuwa kesi ya Mbowe iliisha kwa kuombewa???!!!! Kulikuwa na ushahidi gani pale hata wa kusema tu kuwa ana kesi ya kujibu? Mbaya zaidi mpuuzi mmoja aliyesababisha hayo anateuliwa kwenye nafasi moja nyeti sana!!!
Wewe unaongea mambo ya ushahidi wakati nakwambia huko jela kuna watu washafungwa kabisa kwa kesi za kubambikiwa na hakuna wa kwenda kuwaombea kwa rais kama ilivyofanyika kwa Mbowe.
 
Nionyeshe uzi wowote au bandiko lolote ulilopandisha humu JF ukiilalamikia serikali au hata kuishauri. Wewe si ulikuwa unakejeli watu humu na kutaka mbowe afungwe?
Kumbe umechanganya mafile, hebu lete huo uzi ambao nilikuwa nasema Mbowe afungwe.
 
Kipimo gani huwa unatumia wewe kujijua kuwa una akili timamu ili tuweze kutumia kipimo hiko kunipima na mimi hapa?
Kitendo cha wewe kutumia muda mwingi kumlaumu mbowe asiekuwa bungeni badala ya kuwalaumu waliopo bungeni ni kipimo tosha cha upumbavu wako

Wabunge wenu waliopo mjengoni wamesha-play part gani mpaka sasa? Kama bado, je wa kulaumiwa ni nani?
 
Hapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.

Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.

Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.

Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.

Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.

Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??

Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.

Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??

NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
Kwani Bungeni mmechagua chama gani?Kila mtu akale alipo peleka ugali,si mmechagua CCM wenyewe Kwa kishindo,Watu napata ulemavu ,wengine wanafungwa gerezani ,lakini mnaotetewa hamtaki kubadilika...
 
Kwako mtoa mada Lissu kawa mlemavu wewe umepoteza hata ukucha kwa sababu ya kutetea Nchi,Mbowe amesota mahabusu karibu mwaka wewe ushawahi kukaa hata usiku mmoja,binasfi naona kukaa kwao kimya ni vizuri maana walikuwa wanaumia peke yao kwa kutetea kundi la watu wengi.
Hawachi hujawahi kuniangusha
 
Kitendo cha wewe kutumia muda mwingi kumlaumu mbowe asiekuwa bungeni badala ya kuwalaumu waliopo bungeni ni kipimo tosha cha upumbavu wako

Wabunge wenu waliopo mjengoni wamesha-play part gani mpaka sasa? Kama bado, je wa kulaumiwa ni nani?
Kwanza wapi nimemlaumu Mbowe kuhusu tozo? Maana naona mmeng'ang'ania hilo sijui hamjui maana ya kaulumu.
Watu wanauliza ukimwa wa Mbowe kwamba hasikiki kukosoa kwa lolote katika serikali hii na si kwamba watu wanamlaumu Mbowe kuhusu tozo sasa yeye kama nani hadi alaumiwe kuhusu tozo?

Chengine wale waliyokuwepo kule bungeni ni wabunge wako pia uwe hukuwachagua au hukupiga kura kabisa kama mimi ila bado inabaki kuwa wale ndio wabunge wako uwe ccm au uwe chadema haijarishi.

Halafu kwani wewe ni nani kwa Mbowe?
 
Mimi kama mimi siamini kamakuna wapinzani tz kwani uchaguzi ukiisha wanasema hawamtambui Rais baada yamuda wanasema wanataka kuonana na Rais kwahiyo nashindwa kuelewa labda mnisaidie kwani mimi sijui siasa kwasasa tunasema subilia 25 tutasema subilia 30 kilasiku nihivo lakini for my opinion CCM haiwezi kutoka mpaka watuwote walio muona nyerere wawe hawapo Duniani lakini kama tupo hapa hatuwezi kuitoa CCM kama kunamtu anabisha tusubilie 25 tuone itakuaje
 
Kwani Bungeni mmechagua chama gani?Kila mtu akale alipo peleka ugali,si mmechagua CCM wenyewe Kwa kishindo,Watu napata ulemavu ,wengine wanafungwa gerezani ,lakini mnaotetewa hamtaki kubadilika...
Baada ya kwenda ikulu na kupewa mapesa na Mama ndio mnajua leo watu hawataki kubadilika?
 
Hapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.

Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.

Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.

Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.

Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.

Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??

Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.

Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??

NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
Uzi wako ndio umeishia hapa au unaendelea?
 
Back
Top Bottom